Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,873
Uvccm ndio wanapopigia hela wa El
Kulia na kucheka ni sehemu ya maisha
Mkuu ni hatari sana. ... tukiingia mkenge na kumchagua t usije kulalamika.
Kulia na kucheka ni sehemu ya maisha
Sijaona sera yoyote ya Lowassa zaidi ya kuonesha nia ya kutaka kujiongezea utajiri.
slaa akiwa rais hadi akatajirike,na wapambe kima yerico wakaotesha vitambi ndo aanze kuleta maendeleo saa ngapi?.
maneno tu hayo hatutak rais anayekuja kutafuta utajir tunataka rais mchapa kazi kama lowasa
hivi kumbe ufisadi​ ni dini?
itakuwa dini mpya imeanzishwa hivi karibuni ha ha ha
May God forbid! Jamani miaka kumi ni mingi sana ... tusifanye makosa ... kila ntu na ntu ... jitahidi kumuonya jirani yako kwamba huyu ntu ni hatarina tulivyo wajinga tutamchagua na kuja kulalamika.
Hahahaah......ni kutoa elimu kwa kila tunayekutana naye.May God forbid! Jamani miaka kumi ni mingi sana ... tusifanye makosa ... kila ntu na ntu ... jitahidi kumuonya jirani yako kwamba huyu ntu ni hatari
Ni dini ya siku nyingi Madame sema ilikuwa na wafuasi wachache ukilinganisha na sasa.