Weee.kwenye umeme mkubwa anachapika.Ivi sumu aliyonayo ndo inasababisha asinaswe na umeme? Maana namuonaga kwenye nyaya za umeme akiwa anatabasamu!
Hawa viumbe wa ajabu. Sijui kama na wale ndege wanaitwa bwana afya ni jamii yao.Nilikuwa ukelewa wakanipa story jamaa waliowahi kula hao ndege. Walikufa kwa kiu. Kila wakinywa maji ndo kwanza kiu inaongezeka. Nasikia unaweza kunywa hata pipa zima.True, its abt 200yrs
Nadhani umemaliza kila kitu... unless kuna kichwa ngumu mmoja awe na swali la nyongezaKila mymana anashambuliwa na parasite mbalimbali ktotokana na bio composition ya mwili wake. Parasite wengi huweza kubadilika wakati ukiwa hai wanaishi na wewe bila madara ( symbiotic relation) lakini ukifa tuu wanabadilika kuwa decomposes wengi ni wale waitwao ( facultative parasites). Hoja kwamba kunguru hashambuliwi na decomposers si ya kweli kwani ingekuwa hivyo wakifa miili yao ingekuwa inadumu kama plastic au mifuko ya rambo ambayo ni non biodegradable, kwa kuwa niili yao huisha baada ya kufa, basi kuna parasite wanaowashambulia ambao sii lazima waonekane kwa macho. KILA MKUU ANA MKUU WAKE NA KILA MBABE KUNA MBABE ZAIDI YAKE.
Mkuu unajua kanuni za umeme ama unataka ubishiWe uctudanganye umeme hauna mwenyewe shoti lazima
Hii ndio jf utajifunza na kuyajua mengiHii mpya kwangu
Anashambuliwa na sisimiziNaona umejibu kitaalam kwamba kuna parasites wanaomshambulia ambao sio funza wala inzi je hawana majina ya kiswahili katika umoja?
But ukishika live wire inakuaje?Yeye hapigwi shoti kwa sababu anakua haja complete circuit ila binadamu anaposhika nyaya anakua kama vile kajifanya waya wa kupitisha huo umeme kwenda ardhini(Niko tayari kusahihishwa)
Hata ukiwa nyumbani kwako unaweza kushika live wire lakini ukiwa chini umevaa kiatu/viatu vya ngozi unaweza kushika wire mmoja na usiweze kupigwa shoti ya umemeBut ukishika live wire inakuaje?
kunguru haozi sheikh.....anakaukiana concept yako hapo juu nimeilewa sana lakin i think kuna cha ziada kwa kunguruKila mymana anashambuliwa na parasite mbalimbali ktotokana na bio composition ya mwili wake. Parasite wengi huweza kubadilika wakati ukiwa hai wanaishi na wewe bila madara ( symbiotic relation) lakini ukifa tuu wanabadilika kuwa decomposes wengi ni wale waitwao ( facultative parasites). Hoja kwamba kunguru hashambuliwi na decomposers si ya kweli kwani ingekuwa hivyo wakifa miili yao ingekuwa inadumu kama plastic au mifuko ya rambo ambayo ni non biodegradable, kwa kuwa niili yao huisha baada ya kufa, basi kuna parasite wanaowashambulia ambao sii lazima waonekane kwa macho. KILA MKUU ANA MKUU WAKE NA KILA MBABE KUNA MBABE ZAIDI YAKE.
nyaya utashika iwapo tu kuna plastic cover....kama haina hiyo ndugu hakuna ufundi hapo...lazima uwake....Kweli mm nilishuhudia fundi anashika waya live bila wasi nikachoka nikamuuliza akanijibu something to do with conductivity au Earthing sikumbuki vzr.
Sababu anakanyaga waya mmoja hivyo anakuwa hajacomplete circuit(hajaunganisha)Ivi sumu aliyonayo ndo inasababisha asinaswe na umeme? Maana namuonaga kwenye nyaya za umeme akiwa anatabasamu!
Hana damu !Kiumbe yoyote akifa anaoza then funza wanamshambulia lakini kwa kunguru ni tofauti nimeshuhudia kunguru mfu wengi lakini sijaona funza, huyu kunguru ana nini?!
alitumwa na nuhu akacheki kama maji yameisha hakurudi tena kwa nuhu akanogewa na mapochopocho aloyakuta yanaeleaelea
Ni kweli mkuukuna haja ya kupata somo la umeme