Kwanini kunguru akifa hatoki funza?

Kwanini kunguru akifa hatoki funza?

Hii ni kweli,sio funza tu hata Sisimizi hawasogelei mzoga wake.
 
True, its abt 200yrs
Hawa viumbe wa ajabu. Sijui kama na wale ndege wanaitwa bwana afya ni jamii yao.Nilikuwa ukelewa wakanipa story jamaa waliowahi kula hao ndege. Walikufa kwa kiu. Kila wakinywa maji ndo kwanza kiu inaongezeka. Nasikia unaweza kunywa hata pipa zima.
 
Kila mymana anashambuliwa na parasite mbalimbali ktotokana na bio composition ya mwili wake. Parasite wengi huweza kubadilika wakati ukiwa hai wanaishi na wewe bila madara ( symbiotic relation) lakini ukifa tuu wanabadilika kuwa decomposes wengi ni wale waitwao ( facultative parasites). Hoja kwamba kunguru hashambuliwi na decomposers si ya kweli kwani ingekuwa hivyo wakifa miili yao ingekuwa inadumu kama plastic au mifuko ya rambo ambayo ni non biodegradable, kwa kuwa niili yao huisha baada ya kufa, basi kuna parasite wanaowashambulia ambao sii lazima waonekane kwa macho. KILA MKUU ANA MKUU WAKE NA KILA MBABE KUNA MBABE ZAIDI YAKE.
Nadhani umemaliza kila kitu... unless kuna kichwa ngumu mmoja awe na swali la nyongeza
 
Yeye hapigwi shoti kwa sababu anakua haja complete circuit ila binadamu anaposhika nyaya anakua kama vile kajifanya waya wa kupitisha huo umeme kwenda ardhini(Niko tayari kusahihishwa)
But ukishika live wire inakuaje?
 
Kila mymana anashambuliwa na parasite mbalimbali ktotokana na bio composition ya mwili wake. Parasite wengi huweza kubadilika wakati ukiwa hai wanaishi na wewe bila madara ( symbiotic relation) lakini ukifa tuu wanabadilika kuwa decomposes wengi ni wale waitwao ( facultative parasites). Hoja kwamba kunguru hashambuliwi na decomposers si ya kweli kwani ingekuwa hivyo wakifa miili yao ingekuwa inadumu kama plastic au mifuko ya rambo ambayo ni non biodegradable, kwa kuwa niili yao huisha baada ya kufa, basi kuna parasite wanaowashambulia ambao sii lazima waonekane kwa macho. KILA MKUU ANA MKUU WAKE NA KILA MBABE KUNA MBABE ZAIDI YAKE.
kunguru haozi sheikh.....anakaukiana concept yako hapo juu nimeilewa sana lakin i think kuna cha ziada kwa kunguru
 
Kweli mm nilishuhudia fundi anashika waya live bila wasi nikachoka nikamuuliza akanijibu something to do with conductivity au Earthing sikumbuki vzr.
nyaya utashika iwapo tu kuna plastic cover....kama haina hiyo ndugu hakuna ufundi hapo...lazima uwake....
 
Kunguru anasumu asee. Kuna mwehu alimbahatisha akadai kapata kuku. Keshoye alikuwa marehem.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom