Tukwazane Taratibu
Senior Member
- Dec 20, 2012
- 195
- 537
Nimeki download na nitaanza kukisoma
Nmekisoma kimejaa upotoshaji mkubwa sana Kwamba ''ukifunga unapata dhambi...... ukifanya maombi unajinajisi''Habari nzima hii
Sijui kama uliwahi kujibiwa au la...sidhani kama ni iyo
hayo majamaa yanafungiwa gerezani chini ardhini mwishoni jamaa anashuka kwenda kupigana nao yeye na malaika ili kuwatokomeza wasirudi duniani maana wataangamiza dunia katika hayo mapigano malaika karibia wote waliuawa akabaki mkubwa wa malaika alichokifanya ni kuangusha majengo yote ya iyo jela wakafa wote humohumo.......
Ndo mana wakakiengua mapema.Nmekisoma kimejaa upotoshaji mkubwa sana Kwamba ''ukifunga unapata dhambi...... ukifanya maombi unajinajisi''
This is blasphemous
umetishaMwanzo 6:1-8
[1]Ikawa wanadamu walipoanza kuzidi usoni pa nchi na wana wa kike walizaliwa kwao,
[2]wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri; wakajitwalia wake wo wote waliowachagua.
[3]BWANA akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini.
[4]Nao Wanefili
walikuwako duniani siku zile; tena, baada ya hayo, wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu, wakazaa nao wana; hao ndio waliokuwa watu hodari zamani, watu wenye sifa.
[5]BWANA akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani na kwamba kila kusudi analowaza moyoni mwake ni baya tu sikuzote.
[6]BWANA akaghairi kwa kuwa amemfanya mwanadamu duniani, akahuzunika moyo.
[7]BWANA akasema, Nitamfutilia mbali mwanadamu niliyemwumba usoni pa nchi; mwanadamu na mnyama, na kitambaacho na ndege wa angani; kwa maana naghairi ya kwamba nimewafanya.
[8]Lakini Nuhu akapata neema machoni pa BWANA...
HAPO INAJIDHIHIRISHA WAZI BINADAMU SI WANA WA MUNGU WANA WA MUNGU NI MALAIKA PEKEE.
MkuuAcha uongo wewe hebu taja hizo biblia zako
Kama Mungu aliiangamiza Atlantis, kwann asiiangamize dunia ya sasa?Ni hv kwa kifupi tu huko nyuma kuna tukio kubwa sana lilitokea na hadi leo athari zake zinatawala maisha yetu.tukio hilo ni interaction kati ya binadamu na viumbe fulani wengine wa Mwenyezi Mungu(huwa tunawaita tu malaika hii inatupa upofu sana)walikuwa 200 wakiongozwa na mkuu wao Azazel waliposhuka ktk kilele cha mlima Hermon na kuigiza maumbile ya kibinadamu.kilichowaleta ni kutamani binadamu.walitaka kukaa nao,wawatawale,wazae nao,waanzishe empire yao tofauti na utaratibu waliopangiwa na Mungu.wakafanya hivyo.ikazaliwa offspring ya ajabu,majitu makubwa yenye nguvu za kutisha na akili za ajabu na roho za ajabu maana nusu binadamu nusu malaika.waliitwa nephilims,leo tunawaita titans(usifikiri hadithi ya kigiriki hii)!kutokana na hiyo offspring kuwa imbalance,ilileta vurugu kubwa duniani,na kama Mungu asingeingilia kati mbegu ya binadamu pure ingetoweka.hao malaika pamoja na hayo matoto yao ndio walifundisha binadamu mambo meengi ambayo leo yana sehemu kubwa ktk sayansi,elimu na tamaduni zetu hasa mashariki ya mbali,India na america.base yao kuu ilikuwa bara la Atlantis lililokuwepo katikati ya america na ulaya.kitendo hiki kilimchukiza Mungu mno akaamua kutuma gharika ya maji na kuteketeza dunia nzima pamoja na bara la Atlantis isipokuwa binadamu mmoja anaitwa Nuhu na watoto wake na baadhi ya wanyama ambao hawakuchafuliwa(nephilims walizaana hata na mijusi,kilichotoka hapo ni balaa).LAKINI kuna laana alitamka Mungu,kwamba roho za viumbe hao hataziangamiza,ataziacha na zitakuwa chanzo cha kila uovu duniani kwa umri wote wa dunia hadi mwisho ili viumbe wake wote wapate darasa how serious was this mistake!roho hizo ndizo zilimuongoza Nimrod kuijenga Babylon na kuanzisha idol worshiping na tamaduni za Atlantis zikaanza kurudi taratibu huku spidi yake ikivurugwa na elimu ya dini ya mitume na manabii wa Mungu.ilibidi utaratibu wa kuinteract na binadamu ili kutimiza lengo lao waufanye kwa siri,taratibu,miaka na miaka,wakiibadili dunia taratibu hadi mazingira yakiruhusu,roho hizi zikiwa ndani ya miili ya kibinadamu,zitaigeuza dunia nzima kuwa kama Atlantis!ndipo hapa vyama vya siri na dini zisizoeleweka vinaposhamiri underground.
Hoja ya kijinga hii.Yetu niyale ambayo ametufunulia ambayo hatujafunuliwa sio yetu wala tusihamgaike nayo maana hakuna awezae kuongeza limo cha urefu ulio nao. WEWE MKUBALI YESU KUWA MWOKOZI WA MAISHA YAKO TU.
Funguka ndugu.Shukran sana mkuu kwa kunileta huku....
Mkuu,unajua kuna mambo hata huwezi kusema unajikuta unabaki nayo wewe mwenyewe tu huku ukijiuliza mambo mengi sana.Siyo kila kitu ni cha kusema kila mahali maana unaweza kujikuta watu wanaanza kukuchukulia wa ajabu sana na pengine wanaanza kuhisi labda una shida upstairs kumbe siyo.....
Niliwahi,na bado nina hisia hasi sana kuhusu watu weupe na chanzo au asili yao.Niliwahi kumuambia mtu mmoja tena ni memba wa hapa JF kwamba niliwahi kujiuliza sana kati ya mtu mweusi na mweupe ni nani aliyepungua,yaani ni yupi anaonekana ana "mapungufu"...
Nilipokuja kukumbana na ishu ya melanin hapo ndipo nikaanza kupata ka picha kadogo sana kwa mbaaali....
Mkuu,kuna mambo ya kutisha sana huko sirini na kuna makundi makubwa makubwa sana yanayoheshimika sana mbele za watu yamehusika na ufichaji huu wa kutisha sana wa mambo haya,good thing ni kwamba BWANA WA MABWANA alisema "hakuna kilicjho sirini ambacho hakitafichuliwa" na leo hapa tunajadili mambo ambayo kuna watu hata hawapiti kusoma maana wanaona ni upuuzi....
Niliwahi kusema na ninasema tena,ogopa sana mambo yanayoonwa ni ya kipuuzi kama haya maana yamebeba ukweli mwingi sana tena sana.....
Huwa tunaangalia movie kama movie tu lakini hawa "wajinga" huwa wanapitisha humo ujumbe wao wa kweli na yale wanayoyapanga.tatizo moja kubwa la ukweli ni kwamba uko mama moto,utauficha sana lakini moshi utakukereketa na utatoka tu,ukweli upo hivyo,utakusumbua sana lakini utausema hata kwa namna nyingine na wao wanasema sana kupitia movie.....
Hivi ni kwanini kwa mfano kwenye Movie ya Babylon A.D aliyocheza Vin Diesel amevaa t-shirt imeandikwa Afreeca mwanzoni tu inapoanza,tena ni nyeusi?
Ni kwanini jina la Movie linaonekana baana ya kuonekana "Statue of Liberty"? Unajua hiyo sanamu ni ya nani?
Mkuu,nataka nikupe ushauri ambao utakuja kushangaa sana na pengine utatoa machozi siku zijazo kama tutajaaliwa uzima,anza kuangalia movie kwa mtazamo mwingine kabisa na soma sana habari za "siri" utakuja kuniambia kitu.....
Ninaandika haya nikiwa na hzuni sana maana wengi wanadharau sana mambo haya lakini iko siku watalia na kusaga meno.Tunapenda sana kudharau yanayodharaulika,ni nani anaweza kufikiria kuwa kichaa huwa ni mpelezi wakati mwingine?
Mkuu,wewe na mimi tuna nafasi moja muhimu sana hapa duniani.Waangalie Wabantu wote duniani na uwaache kama walivyo,iko siku utaelewa ni kwanini.....
Nakuomba mkuu uwe mpole tu.....
Unaandika lini? Nataka kusoma hapo.Ninawaza kuandika uzi kuhusu mambo kadhaa ya "sirini" kisha utapata mwanga mkuu....
Kama mbaya niwewe.Kuna bonge la kitabu lilitolewa pia lilikuwa linaitwa gospel of Thomas!....... Nafikiri hiki ndo kilikuwa kitabu bora kabisa katika bibilia!.....Sisi wanadamu hasa wa dini ya kikatoliki ni wabaya sana!
Hayo yote yakifanyika Mungu yupo wapi?Ni hv kwa kifupi tu huko nyuma kuna tukio kubwa sana lilitokea na hadi leo athari zake zinatawala maisha yetu.tukio hilo ni interaction kati ya binadamu na viumbe fulani wengine wa Mwenyezi Mungu(huwa tunawaita tu malaika hii inatupa upofu sana)walikuwa 200 wakiongozwa na mkuu wao Azazel waliposhuka ktk kilele cha mlima Hermon na kuigiza maumbile ya kibinadamu.kilichowaleta ni kutamani binadamu.walitaka kukaa nao,wawatawale,wazae nao,waanzishe empire yao tofauti na utaratibu waliopangiwa na Mungu.wakafanya hivyo.ikazaliwa offspring ya ajabu,majitu makubwa yenye nguvu za kutisha na akili za ajabu na roho za ajabu maana nusu binadamu nusu malaika.waliitwa nephilims,leo tunawaita titans(usifikiri hadithi ya kigiriki hii)!kutokana na hiyo offspring kuwa imbalance,ilileta vurugu kubwa duniani,na kama Mungu asingeingilia kati mbegu ya binadamu pure ingetoweka.hao malaika pamoja na hayo matoto yao ndio walifundisha binadamu mambo meengi ambayo leo yana sehemu kubwa ktk sayansi,elimu na tamaduni zetu hasa mashariki ya mbali,India na america.base yao kuu ilikuwa bara la Atlantis lililokuwepo katikati ya america na ulaya.kitendo hiki kilimchukiza Mungu mno akaamua kutuma gharika ya maji na kuteketeza dunia nzima pamoja na bara la Atlantis isipokuwa binadamu mmoja anaitwa Nuhu na watoto wake na baadhi ya wanyama ambao hawakuchafuliwa(nephilims walizaana hata na mijusi,kilichotoka hapo ni balaa).LAKINI kuna laana alitamka Mungu,kwamba roho za viumbe hao hataziangamiza,ataziacha na zitakuwa chanzo cha kila uovu duniani kwa umri wote wa dunia hadi mwisho ili viumbe wake wote wapate darasa how serious was this mistake!roho hizo ndizo zilimuongoza Nimrod kuijenga Babylon na kuanzisha idol worshiping na tamaduni za Atlantis zikaanza kurudi taratibu huku spidi yake ikivurugwa na elimu ya dini ya mitume na manabii wa Mungu.ilibidi utaratibu wa kuinteract na binadamu ili kutimiza lengo lao waufanye kwa siri,taratibu,miaka na miaka,wakiibadili dunia taratibu hadi mazingira yakiruhusu,roho hizi zikiwa ndani ya miili ya kibinadamu,zitaigeuza dunia nzima kuwa kama Atlantis!ndipo hapa vyama vya siri na dini zisizoeleweka vinaposhamiri underground.
Cc. Yamakagashi take it ..Pitia hapa.....
The Book of Enoch, Chapters 1-60