prince john john
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 2,084
- 3,116
Wewe tu huubiwa sana labda makanisani (Catholic)/endelea kuhhdhuria Ibada za kila siku asubuh saa 12:30 na jumatano saa 10:30 jioni pamoja jumapili utavisikia...Alafu nnachoshangaa mi kitabu cha tobiti akiubiliwi kabisa na wachungaji maaskofu mapadre kwanini???