Kwanini kitabu cha Enoch kinapingwa vikali na Wanathiolojia?

Ha ha ha ha
Hizo Ni Kauli Za Wajuaji wanaposhindwa kutetea hoja Hakuna Kubishana Hapa tunaeleweshana tu.
Napingana sana na kauli kama hizo zinaonnyesha uchanga wakimawazo maana jambo la kujadiliana halafu mtu unaseama anapenda kubishana ni kauli za ujuaji maana yake lolote utakaloongea likubalike.
hakuna maisha kama hayo face the challenge and be more wisely
Uchanga wa kimawazo na ujuaji wako vyote sio factor za kufikia lengo kuu la kujua neno ambalo ni kuingia katika uzima wa milele na kutawala na Mungu.

Wewe ulikataa na kusema nalazimisha kusema asiyeamini amekwisha kuhukumiwa nimekuonesha mstari upo straight unataka kubishia nini? Nini kimekaririshwa?

Sijakuelewa hoja yako unataka nini hasa inabidi nikuache labda kuna watakaokuelewa muendelee, binafsi hunidhuru kwa lolote sina haja ya kubishana nawe. Mimi ni msomaji wa biblia na ninasali na ninauwezo wa kuchambua na maana nimesoma tokea ikiwa kama theolojia na katika namna na kujifunza kiimani.

Kuna vitu huwezi kupindua wala kumanuva
 
Kuna Vitu huwa tunajipa vichwa ngumu sana kama mtu unaweza kuchanganyikiwa basi utachanganyikiwa tu
na kama umeona kuna mkanganyiko nakuomba usije jaribu kitu hiki cha kusoma biblia iliyoandikwa kwa kiingereza na ukaufuata msitari huo huo katika kiswahili.
Kwa kufanya uchunguzi kama huo imenisaidia kuelewa sana neno tofauti na nilivyokuwa mwanzo
Kuna mahali ukisoma katika kiswahili unakuta kabisa maana imepotea ama inapungua ukisoma katika kiingereza unakuta kile kitu kipo full kabisa.
Mfano mzuri chukua bible yako soma isaya 60 then anza kulinganisha na bible ya kiingereza hapo sasa ndio utajua Neno La Mungu linakaa moyoni wala sio kitabuni.
Kusoma vitabu vilivyoondolewa katika biblia na kujua sababu inatukomaza kiroho pia.
nakumbuka hapa kunawengine wanasomakwasababu wanahitaji wakafundishe wengine, wengine wanasoma kama burudani,wengine wanasoma kwasababu mtumishi anawashauri wasome neno la Mungu.
Hata biblia yenyewe inamikanganyiko usipokuwa makini kwahiyo suala la kuzuia mtu kusoma sio tatizo.
Ndio maana hata ukisoma Biblia haisemi uwe unasoma Biblia inasema Usome Neno.
Neno halikai katika maandishi neno Linakaa Moyoni mwako ndio maana Biblia anaweza kuibeba hata mchawi ama mtenda dhambi na asidhurike lakini mtenda dhambi na ama mchawi hawezi kumgusa mtu aliye na neno la Mungu.

Ndio Maana wakristo waleo mnapata shida sana mtu akikwambia thibitisha kwa Mungu yupo mnakuwa mnatoa mirejeo isiyokuwa na mantiki kwasababu hamtaki kujifunza na mnawazuia watu kujifunza.
Usidhani kwa kumkir Mungu tu unaokoka hata ukikosa maarifa na Ukawa na Mungu unaaangamia tu.
Ndioa Maana anasema watu wangu mnaangamia kwa kukosa maarifa.
Ukiona hujanielewa replya hapa nakuja kuwaeleza tena.
Mkuu kwanza kitabu hakikuandikwa na Henoko wala nabii wa Mungu ndio maana kimeachwa

Pia kina mkanganyiko na vitabu vingine vya biblia..... Jana nmekisoma kitabu cha Jasher kwakweli mambo niliyoona huko sidhani kma mkristo wa kawaida akisoma ataiamini biblia maana kinajichanganya sana na biblia ingawa kina details kuliko Genesis

Anyway hoja yangu ni kwamba tusome kama kuongeza ufaham tu ila tusiconsider hivi vitabu maana tutajikuta tunatoka nje ya reli na kuona maarifa ya huku nje ni bora kuliko ya biblia takatifu ambao mitume wa kale waliona ndio vinafaa kujenga imani ya mkristo hivyo tujikite kumtafuta Yesu sio kung'ang'ania vitabu vya manabii feki wanaotumia jina la Henoko ili kipate uungaji mkono
 
Ni hv kwa kifupi tu huko nyuma kuna tukio kubwa sana lilitokea na hadi leo athari zake zinatawala maisha yetu.tukio hilo ni interaction kati ya binadamu na viumbe fulani wengine wa Mwenyezi Mungu(huwa tunawaita tu malaika hii inatupa upofu sana)walikuwa 200 wakiongozwa na mkuu wao Azazel waliposhuka ktk kilele cha mlima Hermon na kuigiza maumbile ya kibinadamu.kilichowaleta ni kutamani binadamu.walitaka kukaa nao,wawatawale,wazae nao,waanzishe empire yao tofauti na utaratibu waliopangiwa na Mungu.wakafanya hivyo.ikazaliwa offspring ya ajabu,majitu makubwa yenye nguvu za kutisha na akili za ajabu na roho za ajabu maana nusu binadamu nusu malaika.waliitwa nephilims,leo tunawaita titans(usifikiri hadithi ya kigiriki hii)!kutokana na hiyo offspring kuwa imbalance,ilileta vurugu kubwa duniani,na kama Mungu asingeingilia kati mbegu ya binadamu pure ingetoweka.hao malaika pamoja na hayo matoto yao ndio walifundisha binadamu mambo meengi ambayo leo yana sehemu kubwa ktk sayansi,elimu na tamaduni zetu hasa mashariki ya mbali,India na america.base yao kuu ilikuwa bara la Atlantis lililokuwepo katikati ya america na ulaya.kitendo hiki kilimchukiza Mungu mno akaamua kutuma gharika ya maji na kuteketeza dunia nzima pamoja na bara la Atlantis isipokuwa binadamu mmoja anaitwa Nuhu na watoto wake na baadhi ya wanyama ambao hawakuchafuliwa(nephilims walizaana hata na mijusi,kilichotoka hapo ni balaa).LAKINI kuna laana alitamka Mungu,kwamba roho za viumbe hao hataziangamiza,ataziacha na zitakuwa chanzo cha kila uovu duniani kwa umri wote wa dunia hadi mwisho ili viumbe wake wote wapate darasa how serious was this mistake!roho hizo ndizo zilimuongoza Nimrod kuijenga Babylon na kuanzisha idol worshiping na tamaduni za Atlantis zikaanza kurudi taratibu huku spidi yake ikivurugwa na elimu ya dini ya mitume na manabii wa Mungu.ilibidi utaratibu wa kuinteract na binadamu ili kutimiza lengo lao waufanye kwa siri,taratibu,miaka na miaka,wakiibadili dunia taratibu hadi mazingira yakiruhusu,roho hizi zikiwa ndani ya miili ya kibinadamu,zitaigeuza dunia nzima kuwa kama Atlantis!ndipo hapa vyama vya siri na dini zisizoeleweka vinaposhamiri underground.

Duh nipo shallow!

I thought tukio la Nuhu ni Sodoma na Gomola.
kumbe ni Nephilims
 
Salam

Katika soma soma zangu na kutafuta ukweli na kumtafuta Mungu wa kweli nikagundua kuna vitabu viliondolewa kwenye biblia i.e non canonical books mfano ni book of Enoch na rest of Ester

Sababu zinazotolewa ni kwamba eti kina verses ambazo wao wanaamini hazikuongozwa na roho mtakatifu.

Nilichojifunza katika kitabu cha Enoch ni juu ya origin ya mtu mweupe (kina eleza Mungu aliumba mtu mweusi ila mtu mweupe alitokana na malaika wenye tamaa i.e fallen angels waliokuwa wakiwaingilia kimwili binadamu). Vile vile kinaeleza juu ya mpinga kristo na siku za mwisho.

Swali langu:
Nini kinachowafanya wajue kama ni hekima za binadamu ukilinganisha na vitabu vingine?

Ni kwanini kilitolewa ikiwa kama hekima za Enoch i.e great grandfather of Noah zilitambuliwa na kutajwa waziwazi na waandishi wa agano jipya mfano Jude?


The Book of Esther, also known in Hebrew as "the Scroll" (Megillah), is a book in the third section (Ketuvim, "Writings") of the Jewish Tanakh (the Hebrew Bible) and in the Christian Old Testament. It is one of the five Scrolls (Megillot) in the Hebrew Bible. It relates the story of a Hebrew woman in Persia, born as Hadassah but known as Esther, who becomes queen of Persia and thwarts a genocide of her people. The story forms the core of the Jewish festival of Purim, during which it is read aloud twice: once in the evening and again the following morning. The books of Esther and Song of Songs are the only books in the Hebrew Bible that do not explicitly mention God.[2]


Who is Esther in the Holy Bible?
According to the Hebrew Bible, Esther was a Jewish queen of the Persian kingAhasuerus. Ahasuerus is traditionally identified with Xerxes I during the time of the Achaemenid Empire, although Flavius Josephus wrote that Esther's king husband was Xerxes' son Artaxerxes.



Who is the author of the Book of Esther?
Tradition has it that the core of the book was written by Mordechai, its main character and the cousin of Esther, and that the text was later redacted by the Great Assembly (a Jewish council of sages in antiquity)


What does Esther do in the Bible?
Esther (ĕs´tər), book of the Bible. It is the tale of the beautiful Jewish woman Esther[Heb.,= Hadassah], who is chosen as queen by the Persian King Ahasuerus (Xerxes I or II) after he has repudiated his previous wife, Vashti. ... Haman was hanged, and Mordecai became the king's chief minister.


What is the story of Esther all about?
The Story of Esther. Long ago, in a country called Persia (Babylon), there was a king named Achashveyrosh (as known in Jewish... His Persian name was Xerxes) and a queen named Vashti. King Achashveyrosh ordered his wife the queen to appear before him at a party so he could show everyone how pretty she was.


What is the story of the Book of Esther?
The Book of Esther, also known in Hebrew as "the Scroll" (Megillah), is a book in the third section (Ketuvim, "Writings") of the Jewish Tanakh (the Hebrew Bible) and in the Christian Old Testament. ... Esther is the only book in the Bible that does not explicitly mention God.


Who is the mother of Esther?
"Esther 2:7 And he brought up Hadassah, that is, Esther, his uncle's daughter: for she had neither father nor mother, and the maid was fair and beautiful; whom Mordecai, when her father and mother were dead, took for his own daughter." Esther was the daughter of a Benjamite, Abihail.

Who was Haman in the book of Esther?
Haman (also known as Haman the Agagite המן האגגי, or Haman the evil המן הרשע) is the main antagonist in the Book of Esther, who, according to the Hebrew Bible, was a vizier in the Persian empire under King Ahasuerus, traditionally identified as Xerxes I. As his name indicates, Haman was a descendant of Agag, the king


WHO adopted Esther?
Biblical account. Mordecai resided in Susa (Shushan or Shoushan), the metropolis of Persia (now Iran). He adopted his orphaned cousin (Esther 2:7), Hadassah (Esther), whom he brought up as if she were his own daughter.
 
Salam

Katika soma soma zangu na kutafuta ukweli na kumtafuta Mungu wa kweli nikagundua kuna vitabu viliondolewa kwenye biblia i.e non canonical books mfano ni book of Enoch na rest of Ester

Sababu zinazotolewa ni kwamba eti kina verses ambazo wao wanaamini hazikuongozwa na roho mtakatifu.

Nilichojifunza katika kitabu cha Enoch ni juu ya origin ya mtu mweupe (kina eleza Mungu aliumba mtu mweusi ila mtu mweupe alitokana na malaika wenye tamaa i.e fallen angels waliokuwa wakiwaingilia kimwili binadamu). Vile vile kinaeleza juu ya mpinga kristo na siku za mwisho.

Swali langu:
Nini kinachowafanya wajue kama ni hekima za binadamu ukilinganisha na vitabu vingine?

Ni kwanini kilitolewa ikiwa kama hekima za Enoch i.e great grandfather of Noah zilitambuliwa na kutajwa waziwazi na waandishi wa agano jipya mfano Jude?


The Book of Enoch (also 1 Enoch;[1] Ge'ez: መጽሐፈ ሄኖክ mets’iḥāfe hēnoki) is an ancient Jewish religious work, ascribed by tradition to Enoch, the great-grandfather of Noah, although modern scholars estimate the older sections (mainly in the Book of the Watchers) to date from about 300 BC, and the latest part (Book of Parables) probably to the first century BC.[2]

It is not part of the biblical canon as used by Jews, apart from Beta Israel. Most Christian denominations and traditions may accept the Books of Enoch as having some historical or theological interest, but they generally regard the Books of Enoch as non-canonical or non-inspired. It is regarded as canonical by the Ethiopian Orthodox Tewahedo Church and Eritrean Orthodox Tewahedo Church, but not by any other Christian groups.

It is wholly extant only in the Ge'ez language, with Aramaic fragments from the Dead Sea Scrolls and a few Greek and Latin fragments. For this and other reasons, the traditional Ethiopian belief is that the original language of the work was Ge'ez, whereas non-Ethiopian scholars tend to assert that it was first written in either Aramaic or Hebrew; Ephraim Isaacsuggests that the Book of Enoch, like the Book of Daniel, was composed partially in Aramaic and partially in Hebrew.[3]:6No Hebrew version is known to have survived. It is asserted in the book itself that its author was Enoch, before the Biblical Flood.

Some of the authors of the New Testament were familiar with some of the content of the story.[4] A short section of 1 Enoch (1:9) is cited in the New Testament, Epistle of Jude, Jude 1:14–15, and is attributed there to "Enoch the Seventh from Adam" (1 En 60:8), although this section of 1 Enoch is a midrash on Deuteronomy 33. Several copies of the earlier sections of 1 Enoch were preserved among the Dead Sea Scrolls.



Which Bible has the Book of Enoch?
It is not part of the biblical canon as used by Jews, apart from Beta Israel. Most Christian denominations and traditions may accept the Books of Enoch as having some historical or theological interest, but they generally regard the Books of Enoch as non-canonical or non-inspired.


Who are the watchers in the Bible?
The Mercer Dictionary of the Bible makes a distinction between the Grigori and the fallen angels by stating that in fifth heaven, Enoch sees "the giants whose brothers were the fallen angels." The longer recension of 2 Enoch 18:3 identifies the prisoners of second heaven as the angels of Satanail.


Is the book of Enoch part of the Dead Sea Scrolls?
The Book of Enoch was not included in either the Hebrew or most Christian biblical canons, but could have been considered a sacred text by the sectarians. The original Aramaic version was lost until the Dead Sea fragements were discovered. Milik, Jazef. T., ed.


What happened to Enoch son of Cain?
Enoch (son of Cain) ... After Cain arrived in the Land of Nod, to which he was evicted by the Lord as his punishment for murdering his brother Abel, his wife became pregnant and bore Cain's first child, whom he named Enoch.


What is the meaning of Enoch?
masc. proper name, in Old Testament eldest son of Cain, father of Methuselah, from Latin Enoch, from Greek Enokh, from Hebrew Hanokh, literally "dedicated, consecrated," from hanakh "he dedicated," whence also Hanukkah.



How did Enoch walk with the Lord?
Key Text: And Enoch walked with God after he begat Methuselah three hundred years, and begat sons and daughters: and Enoch walked with God: and he was not; for God took him." Genesis 5:22,24. ... Enoch walked with God. He constantly set God before him and walked pleasingly before the Lord.


Who killed who Cain or Abel?
and for you is its longing, but you will rule over it." And Cain said to Abel his brother, "Let us go out to the field," and when they were in the field Cain rose against Abelhis brother and killed him.
 
Uchanga wa kimawazo na ujuaji wako vyote sio factor za kufikia lengo kuu la kujua neno ambalo ni kuingia katika uzima wa milele na kutawala na Mungu. Wewe ulikataa na kusema nalazimisha kusema asiyeamini amekwisha kuhukumiwa nimekuonesha mstari upo straight unataka kubishia nini? Nini kimekaririshwa? Sijakuelewa hoja yako unataka nini hasa inabidi nikuache labda kuna watakaokuelewa muendelee, binafsi hunidhuru kwa lolote sina haja ya kubishana nawe. Mimi ni msomaji wa biblia na ninasali na ninauwezo wa kuchambua na maana nimesoma tokea ikiwa kama theolojia na katika namna na kujifunza kiimani.
Kuna vitu huwezi kupindua wala kumanuva

Unaweza ukawa na degree bado ikawa vile vile kwani kusoma theolojia ndio kuelewa? Kumbuka Theolojia kusoma nikama elimu tu, sio lazima uwe mtu a dini theolojia ni elimu wala sio Neno la Mungu.

sasa nashangaa unavyojipa credit na hiyo theolojia yako. Kwa maelezo yako kama ulisoma basi umesoma kweny magazet ila sio theolojia yenyewe, maana msitari ulioutoa nimekupa misitari ya ziada inayotolea ufafanuzi juu ya hukumu unayoiongelea wewe.
Kumbuka biblia si kila msitari unakaa kwa maana yake vile vile ulivyo ndio maana nikakupa mistari mingine inayoelezea hiyo hukumu katika kitabu hicho hicho cha yohana.

Naona wewe ndio kichwa Ngumu
HIvi unavyofikiria Mungu angemhukumu mwanadamu kila afanyapo kosa unadhani watu tungeishi?

Nikakupa mfano mzuri juu ya taifa la israel walikuwa wakitenda kosa asubuhi mchana au jioni kichapo wanapokea walihukumiwa siku hiyo hiyo.

lakini kwa sasa baada ya Neema ya Yesu Kristo hilo jambo halipo, kumbuka hukumu ikitolewa maana yake ndio maamuzi ya mwisho lakini wewe unatenda dhambi mara ngpi na unaomba toba kila siku mbona haujaukumiwa?

Ndio maana nimesema unakaririshwa na watumishi soma biblia elewa ndugu.
Hukumu haipo hivyo kama unavyofikilia
 
Mkuu kwanza kitabu hakikuandikwa na Henoko wala nabii wa Mungu ndio maana kimeachwa

Pia kina mkanganyiko na vitabu vingine vya biblia..... Jana nmekisoma kitabu cha Jasher kwakweli mambo niliyoona huko sidhani kma mkristo wa kawaida akisoma ataiamini biblia maana kinajichanganya sana na biblia ingawa kina details kuliko Genesis

Anyway hoja yangu ni kwamba tusome kama kuongeza ufaham tu ila tusiconsider hivi vitabu maana tutajikuta tunatoka nje ya reli na kuona maarifa ya huku nje ni bora kuliko ya biblia takatifu ambao mitume wa kale waliona ndio vinafaa kujenga imani ya mkristo hivyo tujikite kumtafuta Yesu sio kung'ang'ania vitabu vya manabii feki wanaotumia jina la Henoko ili kipate uungaji mkono

Katika siku zote umenijibu hili ndilo jibu nililokuwa nalitaka leo, sio wazuiwe watu kusoma bali mtu apate tahadhari maana naweza kupotelea hukohuko na asirudi tena.

Hapo umenigusa jambo nililopenda kulisikia mkuu
 
Unaweza ukawa na degree bado ikawa vile vile kwani kusoma theolojia ndio kuelewa?
Kumbuka Theolojia kusoma nikama elimu tu, sio lazima uwe mtu a dini theolojia ni elimu wala sio Neno la Mungu.
sasa nashangaa unavyojipa credit na hiyo theolojia yako.
Kwa maelezo yako kama ulisoma basi umesoma kweny magazet ila sio theolojia yenyewe, maana msitari ulioutoa nimekupa misitari ya ziada inayotolea ufafanuzi juu ya hukumu unayoiongelea wewe.
Kumbuka biblia si kila msitari unakaa kwa maana yake vile vile ulivyo ndio maana nikakupa mistari mingine inayoelezea hiyo hukumu katika kitabu hicho hicho cha yohana.
Naona wewe ndio kichwa Ngumu
HIvi unavyofikiria Mungu angemhukumu mwanadamu kila afanyapo kosa unadhani watu tungeishi?
Nikakupa mfano mzuri juu ya taifa la israel walikuwa wakitenda kosa asubuhi mchana au jioni kichapo wanapokea walihukumiwa siku hiyo hiyo.
lakini kwa sasa baada ya Neema ya Yesu Kristo hilo jambo halipo, kumbuka hukumu ikitolewa maana yake ndio maamuzi ya mwisho lakini wewe unatenda dhambi mara ngpi na unaomba toba kila siku mbona haujaukumiwa?
Ndio maana nimesema unakaririshwa na watumishi soma biblia elewa ndugu.
Hukumu haipo hivyo kama unavyofikilia
Haya unajua wewe
 
Enoch 2:2,Observe ye everything that takes place in the heaven, how they do not change their orbits, and the luminaries which are in the heaven, how they all rise and set in order each in its season
 
Dini ni kazi za wanadamu. Usipoteze muda kwenye liturjia. Soma biblia , ukipata maandiko mengine kama hayo yasome, omba Roho Mtakatifu akuongoze. Utamuona Mungu. Ubarikiwe sana.
 
Ajabu na kweli, hawa wanaoleta hizi stories hapa wana hidden agendas na mipango mikakati maalumu ya kuzitekeleza.

Kama mtu ana weza kuandika haya kuhusu kitabu cha Henoko lakini eti kashindwa kuona wakati ule Bwana Yesu anasulubiwa msalabani mmoja wa wale wawili waliosulibiwa naye alingia mbinguni kwa kumuomba Bwana Yesu palepale wakiwa wametundikwa, haikuhitaji nukuu ya Henoko wala Yashua ili ahakikishiwe huo wokovu wake.

Na Mungu kawapiga upofu na utahira wa kudhania kuwa kukosoa Biblia kutasaidia kuwarudisha nyuma wale ambao walishakata shauri kumpokea Yesu. Alishindwa Paulo wakati ule akitwa Sauli wataweza hawa wa kizazi cha makinikia?


Na washawasha!
Huelewi kitu nimesoma post zako.
 
Nmeweka sababu nyingi sio moja tu

1. Biblia inasema Nuhu alijenga safina ila Henoko anasema Malaika ndio walijenga safina

2. Henoko anamtambua Yesu kma malaika tu wa kawaida ila Biblia nzima inamtambua Yesu kama Mwana wa Mungu

3. Henoko anasema ukifanya dhambi unahukumiwa yaani hakuna neema ya kuokoka ila Biblia inatupa tumaini kwamba Mungu anasamehe dhambi zetu

4. Henoko anasema wana wa Mungu ni malaika ilihali Biblia inasema Wana wa Mungu ni wale wanaotenda mapenzi ya Bwana yaani wanaomcha Mungu

5. Henoko anasema wanefili walifika futi 450 ilihali Biblia inatueleza mtu mrefu zaidi kurekodiwa alikuwa Futi 13.5 Yaani mfalme ogu wa bashani

6. Henoko anasema Yesu atakuja kuhukumu na kuangamiza wenye dhambi ila Biblia inasema Yesu atakuja kuhukumu na kuokoa wenye dhambi

Anyway tofauti zipo nyingi so ukilazimisha kitabu cha Henoko kisikilizwe basi amini pia kuwa HAKUNA MSAMAHA na sisi wengine wenye dhambi hatutaonja mbingu!!!!
Nimegundua kitu apa...bibilia inatuongopea,iv safina kubwa kiasi kile wanaweza kujengwa watu 4-7 na ilichukua muda gani?


,alafu kwny dhambi hapa ivi mtu unaweza kufanya uovu wowote ule ili hali uamini utasamehewa kwa kuwa mungu ni mwenye kusamehe basi hata waovu hawatapewa hukumu watasamehewa tu.


Kitabu cha enock kinaonekana na ukweli fulani hivi endapo utatathimini kwa makini...hata uyu yesu sizani kama atarudi kwa mema lazima aangamize tuliolaanika wote....nipo nawasoma endelezeni hoja ila nimehisi bibilia inadanganya sana kwanza ina mistari inayojipinga yenyewe.
 
Mimi lmani yangu Iko stable, najua uongo ni UPI na ukweli UPI , hivyo hata nisome kitabu kipi hakiwezi niteteresha kiimani maana ukweli naujua. Mkristo mwenye imani changa akisoma katabu cha Enoch ataweza kuterereka katika imani..kitabu cha Enoch hakijulikani mwandishi ni nani. Ukitazama kwa undani zaidi, utakuta mafundisho ya Gnostic yanabeba sehemu Fulani katika kitabu cha Enoch. Vile vile kitabu cha Enoch kina alama au symbols zinazotumiwa na waabudu mashetani. Kwa mfano nyota ya pentagram, (nyota ya pembe tano iliyosimamia ncha moja). Nyota ya Mfalme Daudi,(pembe tatu mbili zinazoingiliana).Vile vile kitabu cha Enoch kina maelezo zaidi kuhusu malaika kuliko kumhusu Mungu. Kwa hivyo kitabu cha Enoch hakimsaidii Mtu mchanga kiimani, isipokuwa kumuelekeza katika kuabudu malaika ambao ndio walioelezewa zaidi ndani ya kitabu hicho.
Hicho ndo kizuri hata mimi sitaki kuamini kama dhami inasamehewa.
 
Nimegundua kitu apa...bibilia inatuongopea,iv safina kubwa kiasi kile wanaweza kujengwa watu 4-7 na ilichukua muda gani?


,alafu kwny dhambi hapa ivi mtu unaweza kufanya uovu wowote ule ili hali uamini utasamehewa kwa kuwa mungu ni mwenye kusamehe basi hata waovu hawatapewa hukumu watasamehewa tu.


Kitabu cha enock kinaonekana na ukweli fulani hivi endapo utatathimini kwa makini...hata uyu yesu sizani kama atarudi kwa mema lazima aangamize tuliolaanika wote....nipo nawasoma endelezeni hoja ila nimehisi bibilia inadanganya sana kwanza ina mistari inayojipinga yenyewe.
Mkuu sijakataa kinaweza kuwa na ukweli ila hoja yangu ni kwamba kinajikanganya na vitabu vingine vya Biblia hivyo kingewekwa kwenye agano la kale ingesababisha mkanganyiko kwa wakristo wasijue kipi ni kweli kipi sio kweli.

Mfano biblia inasema Nuhu alijenga safina ila Henoko anasema malaika walijenga safina sasa hapo wakristo wamuamini nani kati ya Mwanzo au Henoko 1?? Hivyo ilibidi tu kimoja kitolewe kafara
 
Hicho ndo kizuri hata mimi sitaki kuamini kama dhami inasamehewa.
Kwanini huamini dhambi itasamehewa..... Mungu amejaa rehema na neema ndio maana licha ya dhambi zetu alimtuma mwanawe wa pekee aje atukomboe....

Ametuhubiria na kutupa neema ya kuokoka hukumu ile ya Moto wa milele hivyo amini nakwambia Bwana wa majeshi atakusamehe dhambi zako fikiria mtu kama mobutu dhambi zote zile ila wiki moja kabla ya kufariki alikiri dhambi zake na kuongozwa sala ya toba hivyo tunaamini tutamkuta mbinguni ndio sembuse wewe??? Hii ni baadhi ya mistari inayosupport msamaha wa Mungu kwetu

Zaburi 103
5 Nalikujulisha dhambi yangu,Wala sikuuficha upotovu wangu.Nalisema, Nitayakiri maasi yangu kwa BWANA,Nawe ukanisamehe upotovu wa dhambi yangu.

Zaburi 78:38
38 Lakini Yeye, kwa kuwa anayo rehema,Husamehe uovu wala haangamizi.Mara nyingi huipishia mbali ghadhabu yake,Wala haiwashi hasira yake yote.

Isaya 44:22
22 Nimeyafuta makosa yako kama wingu zito, na dhambi zako kama wingu; unirudie; maana nimekukomboa.

Ahsante
 
Mungu tutamwonaje na hataki kujitambulisha tumuone live.
Mungu ni roho sasa kivipi Roho ukaiona kwa macho ya kimwili.

Ila kupitia maombi na kusoma maneno yake utazidi kumjua Mungu haihitaji umuone ili umuamini ila anaweza kuyagusa maisha yako kwa namna usivyotegemea na ukamuona kupitia maisha ya kila siku ila ukweli ni kwamba Mungu yupo maana binafsi ''nimemuona'' kwenye maisha yangu ya kila siku
 
Back
Top Bottom