Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Nimekua nikjiuliza na kutafakari maswali mengi na kutafakari baadhi ya majibu yanayoweza kuleta mabadiliko ya kweli.
Nimetafaaki utendaji wa keshi letu la JWTZ na namna ambavyo kama wenye maamuzi, maono na washauri wakijaribu tunaweza kushinda japo vita moja kama nyingine zimekuwa ni ngumu.
Kwa uelewa wangu mdogo na uchambuzi wa haraka sioni kama tanzania ina tishio halisi na kubwa la adui atakayetumia silaha within 10 or 15 yrs to come .
Kwa mtazamo huu nadahani ingekuwa vizuri JWTZ ikawa na mtazamo kiamaendeleeo zaidi . na kama kazi kubwa ya jeshi ni vita basi amiri jeshi mkuu atangaze kuwa adui anayetakiwa kupigwa ni NJAA.
JWTZ likiungana vizuri na wanavijiji katika nagzi za wilaya na vijiji linaweza kua chanzo ka kutokomeza huyu adui. wakiwa na mashamba ya mifano na matreka ambayo wanaweza kuwakodisha wanavijiji huyu adui atakuwa historia
Kuna watu watasema ipo JKT lakini ninepnda hii Vita ipewe JWTZ na kama JKT basi tunaomba tuwe wabunifu. Sio kwa sabau Jeshi la USA hawalimi basi tuseme Sio kazi ya JWTZ.
Labda vita ya NJAA inaweza kuwa rahis kuliko vita ya UFISADI na zaidi ya hapo itafanya JWTZ kuwa ya wanachi zaidi kuliko kohofiwa .
Nimetafaaki utendaji wa keshi letu la JWTZ na namna ambavyo kama wenye maamuzi, maono na washauri wakijaribu tunaweza kushinda japo vita moja kama nyingine zimekuwa ni ngumu.
Kwa uelewa wangu mdogo na uchambuzi wa haraka sioni kama tanzania ina tishio halisi na kubwa la adui atakayetumia silaha within 10 or 15 yrs to come .
Kwa mtazamo huu nadahani ingekuwa vizuri JWTZ ikawa na mtazamo kiamaendeleeo zaidi . na kama kazi kubwa ya jeshi ni vita basi amiri jeshi mkuu atangaze kuwa adui anayetakiwa kupigwa ni NJAA.
JWTZ likiungana vizuri na wanavijiji katika nagzi za wilaya na vijiji linaweza kua chanzo ka kutokomeza huyu adui. wakiwa na mashamba ya mifano na matreka ambayo wanaweza kuwakodisha wanavijiji huyu adui atakuwa historia
Kuna watu watasema ipo JKT lakini ninepnda hii Vita ipewe JWTZ na kama JKT basi tunaomba tuwe wabunifu. Sio kwa sabau Jeshi la USA hawalimi basi tuseme Sio kazi ya JWTZ.
Labda vita ya NJAA inaweza kuwa rahis kuliko vita ya UFISADI na zaidi ya hapo itafanya JWTZ kuwa ya wanachi zaidi kuliko kohofiwa .