lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,130
Cheating bana imechochewa na tekelinalotujia! Leo nawetetea wanaume kwa hisani ya BF!!!!( For once!!!) Ujue wanawake siku hizi tunapenda KUBANANA HAPO HAPO!!!!! Haswaaa bwana akiwa loaded! Sio kwamba wanaume hatoshi!!! Noooo! Unaemtaka wewe na mie namtaka huyo huyo! Wewe umfaidi una nini? Na mie nimkose nina nini? TUTABANANA HAPA HAPA!!!!! Alafu na utandawazi umemake things WORSE KABISA! U cant imagine nimeingia BBM ya BF (Toka nimpate mtakoma humu ndaniiii mbona! kutajwa kutwa mara 3) nimekuta kuna jitu bayaaaa limemtongoza BF + kumtumia mipicha yake limevaa kihasara hasara hadi BIKINI!!! Alafu linamuinvite Zanzibar, her treat! Hapo hajakubaliwa!!!!! Biashara matangazo ila yamezidi siku hizi! HAPA NAMVUTIA KASI!!! Anahamu nimchambe wkt nikimchamba atazimia!!!!!