Kwanini infidelity imeongezeka sana kwa jamii yetu?

Kumekuwa na hoja mbali mabali kuhusu marital infidelity wengine tukipinga na wengine kutetea na pengine hata kufikia kutoa guidelines ya jinsi ya kumcheat mkeo/mumeo/mpenzio. Huwa najiuliza kuwa hakuna binadamu hata mmoja ambaye yeye anapenda kufanyiwa hivi, Je kwa nini sasa mtu unaendeleza tabia hii hali wewe mwenyewe hupendi kufanyiwa mchezo huu?

Kuna uwezekana wa wana JF walio wengi ni infidelists?

Halafu kuna walugaluga wanaothubutu kusema eti MMU hakuna stress. Hakuna stress my azz! Jukwaa lisilo na stress ni lile la utani na udaku.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Unachosema HP kinaweza kuwa kweli watu wamepinda sana hawaheshimu ndoa zao kabsaaa na wengine hufurahisha jamvi lakini kutokukatika thread kama hizi MMU it means something serious behind it...
 
NN unanichekesha; utapata stress kwa matatizo ya nyumba ya jirani au kwa sababu ya guidelines?

Halafu kuna walugaluga wanaothubutu kusema eti MMU hakuna stress. Hakuna stress my azz! Jukwaa lisilo na stress ni lile la utani na udaku.
 
Tatizo hili lipo na ni gumu kuliko nadharia na facts tunazojijengea....utafanyiwa kila kitu lakini uaminifu ni aghali...ndiyo! Hata km kwenye life time umecheat mara moja,mzani unasoma pia...binafsi najiomba msamaha mwenyewe pale napoweka kando kichwa kufikiri na kuruhusu nafsi kunipeleka peleka...by the way makosa mengine ni funny angalabu kuyatenda mara moja ndo maana wengine tunachelea kuomba radhi kwa hofu huenda na kesho ukatenda...
 
NN unanichekesha; utapata stress kwa matatizo ya nyumba ya jirani au kwa sababu ya guidelines?

Hivi unadhani wale wote wanaolia kutendwa hapa hawako stressed?

Hivi unadhani kuwa na extra-marital affair siyo stressful?

Hivi unadhani infidelity ni stress-free?

Ni wazi drama za wengine haziwezi kunipa stress lakini watu wengi drama wanazozipitia kwenye mapenzi ni stressful. Unabisha?

Kuna mtu kaja na mada humu inayosema "Nyumba ndogo inanitesa". Hivi unadhani hayo mateso siyo stressful?
 
Sasa watu kama hao watasema stress zao zimesababishwa na MMU au wamekuja kubwaga stress zao hapa MMU kama njia ya kuzipunguza?

Hivi unadhani wale wote wanaolia kutendwa hapa hawako stressed?

Hivi unadhani kuwa na extra-marital affair siyo stressful?

Hivi unadhani infidelity ni stress-free?

Ni wazi drama za wengine haziwezi kunipa stress lakini watu wengi drama wanazozipitia kwenye mapenzi ni stressful. Unabisha?

Kuna mtu kaja na mada humu inayosema "Nyumba ndogo inanitesa". Hivi unadhani hayo mateso siyo stressful?
 
Sasa watu kama hao watasema stress zao zimesababishwa na MMU au wamekuja kubwaga stress zao hapa MMU kama njia ya kuzipunguza?

Mkuu NK nitakupa mfano mmoja wa hapa jamvini ambayo nadhani naukumbuka vizuri. Kuna njemba mmoja alikuwa mwanachama hapa siku hizi simuoni si ajabu kabadilisha ID yake. Huyu na mkewe wote walikuwa wana laptop zao. Njemba kakaa kipande hii na Mama chanja kakaa kipande ile kila mtu anafanya vitu vyake kwenye LT. Siku moja mama akatoka pale living room kwa dakika chache na kuacha LT ikiwa wazi. Njemba ikaona ichungulie mwenzie anafanya nini. Akaona amelog hapa jamvini, alikuwa hajui mwenzie kama ni mwanachama hapa hivyo akagundua na ID yake. Akaamua kuminya hadi nafasi ilipomruhusu nadhani kesho yake akataka aangalie michango ya mwenzie. Akagundua mwenzie michango yake mingi hapa ilikuwa ni ya raha ya kuliwa Tigo. Jamaa alichanganyikiwa sana maana hawakuwahi hata siku moja kuzungumza mambo ya Tigo na mkewe, sasa kama anasifia utamu wa kuliwa Tigo je kaujulia wapi? na ni nani anamla Tigo? Jamaa akaandika hapa huku akidai kachanganyikiwa kupita kiasi hajui hata pa kuanzia mjadala huo mzito na mkewe kuhusu mambo ya Tigo. Kama nilivyosema huyo jamaa sijamuona tena au aliamua kudabilisha ID.

Na kwa maoni yangu nadhani haya maswali mengi yanayoulizwa hapa asilimia kubwa yanawahusu waulizaji ila wanaandika kuonyesha kama wanaandika kwa niaba ya 3rd party.


 
Sasa watu kama hao watasema stress zao zimesababishwa na MMU au wamekuja kubwaga stress zao hapa MMU kama njia ya kuzipunguza?

Nilichokuwa namaanisha ni kwamba dhana ya kwamba MMU ni jukwaa lililo stress-free ukilinganisha ma majukwaa mengine kama ya siasa na dini ni dhana potofu. MMU nayo ina stress zake na nyingi ziko dominated na heartbreaks. Watu kila leo wanalia maumivu tu.

Mapenzi ni moja ya mambo yaliyo stressful sana katika maisha. Na ndiyo maana humu utasikia kauli kama za 'usipekue simu ya mwenza wako kama hutaki kupatwa na ugonjwa wa moyo.'

Jukwaa stress-free ni lile la vichekesho na udaku. Lakini humu MMU...hell no!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nilichokuwa namaanisha ni kwamba dhana ya kwamba MMU ni jukwaa la stress-free ukilinganisha ma majukwaa mengine kama ya siasa na dini ni dhana potofu. MMU nayo ina stress zake na nyingi ziko dominated na heartbreaks. Watu kila leo wanalia maumivu tu.

Mapenzi ni moja ya mambo yaliyo stressful sana katika maisha. Na ndiyo maana humu utasikia kauli kama za 'usipekue simu ya mwenza wako kama hutaki kupatwa ma ugonjwa wa moyo.'

Jukwaa stress-free ni lile la vichekesho na udaku. Lakini humu MMU...hell no!


Naikumbuka thread ile NN. Kuna dada aliandika kama 3rd party kwamba rafikiye alikuwa kaapa 'kutopekua' simu ya mwenzie kwa kuwa anamuamini. Siku hiyo katoka binti baada ya kwenda kuchuliwa kazini. Mume akaomba wasimame supermarket kwa dakika chache ili anunue mahitaji ya nyumbani, binti akabaki ndani gari na jamaa aliacha simu yake ndani ya gari. Binti kuiona simu ya mumewe kaamua kuchungulia na kukuta na ujumbe wa kutoka nyumba ndogo ukiomba njemba inununue mahitaji muhimu na kupeleka itakapozuka nyumba ndogo baadaye siku hiyo. njemba aliporudi kwenye gari na kuulizwa kuhusu ujumbe ule ikaamua kutojibu chochote lakini walipofika nyumbani basi binti alipata kipigo cha kufa mtu hadi mimba ikaharibika na jamaa baada ya kumaliza kipigo ikaondoka nyumbani labda kwenda kule kwenye nyumba ndogo kuburudika huku ikiwa haijui kipigo chake kimesababisha maafa, lakini mleta habari hakuendelea nayo tena sijui kama binti aliamua kusamehe ili kuendelea na ndoa au nini kilichojiri baada ya kipigo kile.

 
Bora wewe umegundua hili. Katika maisha lazima uwe mbayuwayu

Haiishi hapa kwasababu imetawala huko mitaani.
Kuhusu wanaJF wengi kuwa kwenye kundi la hao cheaters siwezi kubali au kataa kwa uhakika maana wengine wanasema wengine wanapita tu kimya kimya kwahiyo sio rahisi kujua ni kwa kiasi gani memberwa JF ni washiriki. Besides... wengine hua wanaongea tu kufurahisha jamvi na kutafuta sifa japo inreality sivyo walivyo.
 
Ni uarrogancy wa one gender kuwa wao wameumbwa kuwa na zaidi ya mtu mmoja wakikariri vitabu vya dini, historia, masimulizi, behaviour za baadhi ya wanyama n.k.

Pia ni au weakness au upumbavu wa gender ya pili kwa kukubali hali hiyo iendelee (utegemezi wa hali ya juu) au kupambana na wrong source (badala ya kupambana na aliyemcheat anapambana na aliyecheat naye), sijui ni uoga au hajui who is a real problem; au labda si rahisi kumchukia mtu umpendaye na unatemtegemea, just thinking!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom