Rayvanny wa jamiiForums

Senior Member
Apr 7, 2023
132
347
Ukweli usiopingika....!

Kuvunjika kwa ndoa nyingi kwa miaka hii imekuwa kama kitu cha kawaida sana kwa watu, imekuwa kama fasheni watu hawaoni shida kuoana ndani ya kipindi kifupi wanakuwa washa achana.
lakini jambo hili siyo sawa hata kidogo ningependa kuona jamii ikibadilika.

Pamoja na hayo Katika uchunguzi wangu nilio ufanya kwa asilimia kubwa ndoa nyingi zimekuwa zikivunjika kwa sababu ya kile kipindi cha shida wanachopitia wanandoa bila kujua kwamba hicho ni kipindi cha muda tu. na kwamba hawapaswi kuvunja ndoa yao.


Ieleweke kwamba katika maisha kuna vipindi vikuu viwili kipindi cha furaha na kipindi cha shida sasa bwana unakuta kwenye maisha ya ndoa za siku hizi wao wanapitia kipindi cha furaha hapa ndipo wanatongozana mpaka wanafunga pingu za maisha lakini kikija kile kipindi cha shida basi ndoa hiyo lazima itavunjika.

Jamii inapaswa kutambua kwamba katika maisha kuna kucheka na kulia hata ulipokuwa mdogo kuna kipindi baba yako alikuwa akikuchapa na kugombana naye lakini kuna kipindi baba yako alikuwa akikupa dhawadi na kufurahi pamoja basi ndivyo kwenye ndoa kulivyo kuna kipindi mtacheka kuna kipindi mtalia machozi lakini hampaswi kuachana.

Hata kama utaamua kuachana labda kusema ukatafute mume mpya sijui mke mpya lazima kutukakuwa kuna hiki kipindi cha shida ambacho mtapitia wanandoa mnapaswa kutambua kuna kipindi cha shida na endapo kikiwajia hampaswi kuachana

NAOMBA, Jamii tubadirike kwenye dunia hii hakuna maisha ya raha tu mda wote lazima kuna kipindi utaumwa, lazima kuna mda utapatwa na chunusi au upele, ndivyo ilivyo pia kwenye ndoa lazima kuna kipindi mtapitia shida na matatizo msije mkaachana kwa sababu hata mkiachana haisaidii hata ukienda kwenye ndoa mpya lazima kutakuwa kuna kipindi hicho cha shida tambueni nyie siyo wakamilifu msije mkaachana kwa sababu ya shida au changamoto zozote.

ASANTENI SANA
 
Ukweli usiopingika....!

Kuvunjika kwa ndoa nyingi kwa miaka hii imekuwa kama kitu cha kawaida sana kwa watu, imekuwa kama fasheni watu hawaoni shida kuoana ndani ya kipindi kifupi wanakuwa washa achana.
lakini jambo hili siyo sawa hata kidogo ningependa kuona jamii ikibadilika.

Pamoja na hayo Katika uchunguzi wangu nilio ufanya kwa asilimia kubwa ndoa nyingi zimekuwa zikivunjika kwa sababu ya kile kipindi cha shida wanachopitia wanandoa bila kujua kwamba hicho ni kipindi cha muda tu. na kwamba hawapaswi kuvunja ndoa yao.


Ieleweke kwamba katika maisha kuna vipindi vikuu viwili kipindi cha furaha na kipindi cha shida sasa bwana unakuta kwenye maisha ya ndoa za siku hizi wao wanapitia kipindi cha furaha hapa ndipo wanatongozana mpaka wanafunga pingu za maisha lakini kikija kile kipindi cha shida basi ndoa hiyo lazima itavunjika.

Jamii inapaswa kutambua kwamba katika maisha kuna kucheka na kulia hata ulipokuwa mdogo kuna kipindi baba yako alikuwa akikuchapa na kugombana naye lakini kuna kipindi baba yako alikuwa akikupa dhawadi na kufurahi pamoja basi ndivyo kwenye ndoa kulivyo kuna kipindi mtacheka kuna kipindi mtalia machozi lakini hampaswi kuachana.

Hata kama utaamua kuachana labda kusema ukatafute mume mpya sijui mke mpya lazima kutukakuwa kuna hiki kipindi cha shida ambacho mtapitia wanandoa mnapaswa kutambua kuna kipindi cha shida na endapo kikiwajia hampaswi kuachana

NAOMBA, Jamii tubadirike kwenye dunia hii hakuna maisha ya raha tu mda wote lazima kuna kipindi utaumwa, lazima kuna mda utapatwa na chunusi au upele, ndivyo ilivyo pia kwenye ndoa lazima kuna kipindi mtapitia shida na matatizo msije mkaachana kwa sababu hata mkiachana haisaidii hata ukienda kwenye ndoa mpya lazima kutakuwa kuna kipindi hicho cha shida tambueni nyie siyo wakamilifu msije mkaachana kwa sababu ya shida au changamoto zozote.

ASANTENI SANA
Ulichoongea ni sahii kabisa
Hata ukiamua kuishi single ukweli ni kwamba kuna kipindi cha shida (taabu) na baraka. Ndo asili ya maisha ya dunia hii
 
Well Said. Shida na taabu huwez kuzikwepa. Ukizikosa kwenye ndoa, utazipata huko huko unakoenda
Kuna kundi la watu wanakampeni yao ya kataa ndoa wanaamin kukataa ndoa basi ndo utaishi maisha ya furaha kumbe sio kweli

Maisha ya mwanadamu yana pande mbili yana furaha na uchungu na ni lazima upitie hivyo vipindi katika maisha ya hapa duniani
 
Kuna kundi la watu wanakampeni yao ya kataa ndoa wanaamin kukataa ndoa basi ndo utaishi maisha ya furaha kumbe sio kweli

Maisha ya mwanadamu yana pande mbili yana furaha na uchungu na ni lazima upitie hivyo vipindi katika maisha ya hapa duniani
Busara ipo juu yako aisee.

"Wakataa ndoa" wametumia ndoa kama sehem ya kupeleka lawama zao tuu.

Ila kuna watu wamekaa kiunyumba (hawajaoana) ila purukushani zipo

Wengine wapo single na shida ziko pale pale.
 
Ukweli usiopingika....!

Kuvunjika kwa ndoa nyingi kwa miaka hii imekuwa kama kitu cha kawaida sana kwa watu, imekuwa kama fasheni watu hawaoni shida kuoana ndani ya kipindi kifupi wanakuwa washa achana.
lakini jambo hili siyo sawa hata kidogo ningependa kuona jamii ikibadilika.

Pamoja na hayo Katika uchunguzi wangu nilio ufanya kwa asilimia kubwa ndoa nyingi zimekuwa zikivunjika kwa sababu ya kile kipindi cha shida wanachopitia wanandoa bila kujua kwamba hicho ni kipindi cha muda tu. na kwamba hawapaswi kuvunja ndoa yao.


Ieleweke kwamba katika maisha kuna vipindi vikuu viwili kipindi cha furaha na kipindi cha shida sasa bwana unakuta kwenye maisha ya ndoa za siku hizi wao wanapitia kipindi cha furaha hapa ndipo wanatongozana mpaka wanafunga pingu za maisha lakini kikija kile kipindi cha shida basi ndoa hiyo lazima itavunjika.

Jamii inapaswa kutambua kwamba katika maisha kuna kucheka na kulia hata ulipokuwa mdogo kuna kipindi baba yako alikuwa akikuchapa na kugombana naye lakini kuna kipindi baba yako alikuwa akikupa dhawadi na kufurahi pamoja basi ndivyo kwenye ndoa kulivyo kuna kipindi mtacheka kuna kipindi mtalia machozi lakini hampaswi kuachana.

Hata kama utaamua kuachana labda kusema ukatafute mume mpya sijui mke mpya lazima kutukakuwa kuna hiki kipindi cha shida ambacho mtapitia wanandoa mnapaswa kutambua kuna kipindi cha shida na endapo kikiwajia hampaswi kuachana

NAOMBA, Jamii tubadirike kwenye dunia hii hakuna maisha ya raha tu mda wote lazima kuna kipindi utaumwa, lazima kuna mda utapatwa na chunusi au upele, ndivyo ilivyo pia kwenye ndoa lazima kuna kipindi mtapitia shida na matatizo msije mkaachana kwa sababu hata mkiachana haisaidii hata ukienda kwenye ndoa mpya lazima kutakuwa kuna kipindi hicho cha shida tambueni nyie siyo wakamilifu msije mkaachana kwa sababu ya shida au changamoto zozote.

ASANTENI SANA
Mkuuu sjui umejuaje me nipo kwenye wakati mgumu muda wote nawaza hata nipate kibarua .hata nje ya mkoa nikae hata mwaka mzima nimechoka .mwanamke hapendi kabisaa tuwe na amani .Kwa mwezi mzima tnaweza ongea labda siku2 .tunawasikiana Kwa sms tu .hapo natakiwa nifanyeje ?
 
Mkuuu sjui umejuaje me nipo kwenye wakati mgumu muda wote nawaza hata nipate kibarua .hata nje ya mkoa nikae hata mwaka mzima nimechoka .mwanamke hapendi kabisaa tuwe na amani .Kwa mwezi mzima tnaweza ongea labda siku2 .tunawasikiana Kwa sms tu .hapo natakiwa nifanyeje ?
Wewe usimwache kama ni kukuacha yeye ndo akuache
 
Mkuuu sjui umejuaje me nipo kwenye wakati mgumu muda wote nawaza hata nipate kibarua .hata nje ya mkoa nikae hata mwaka mzima nimechoka .mwanamke hapendi kabisaa tuwe na amani .Kwa mwezi mzima tnaweza ongea labda siku2 .tunawasikiana Kwa sms tu .hapo natakiwa nifanyeje ?
Kukimbia tatizo sio njia ya kupata suluhu.
Muhimu ni kuangalia namna gani unasolve tatizo.

USHAURI
Kumbuka mwanaume akiudhiwa hutafuta mahali atulie atafakari tatizo ni nini ndio arudi kulitatua. Ila kwa mwanamke sio hivyo, mwanamke akiudhiwa hutaka lawama zake zote zisikiwe na mtu mwingine awe ni rafiki yake, mume wake, mzazi wake ndugu yake yoyote yule, akishazisema tuu ndio hasira hupungua.

1. Mchunguze mke/mchumba wako anataka nini hasa, kisha jaribu kumtimizia kadili ya uwezo wako, najua katika hayo malalamiko kuna vitu anasema vitimizwe na wew hautimizi ndio mana anaishia kununa kwa sababu hajatimiziwa, kama wewe unapokua na mahitaji labda anakutimizia jaribu na wew kumtimizia kadili ya uwezo wako.

2. Kutokana na utalam ulioandikwa kwenye vitabu vya watalam ni kwamba mwanamke ni mtu ambae ana tabia ya kupenda kusikilizwa anapokua anatoa tatizo, pale unapoacha kumsikiliza yeye anatafsiri kuwa humpendi. Hivyo jitahidi anapokuwa anatoa malalamiko kaa tulia msikilize na msapoti kabisa katika point anazosema
ANGALIZO
Anapokua anatoa malalamiko usianze kujitetea kwa kuonyesha anachosema sio kweli, mfano analaumu kwamba kwanini haumsikilizi wewe unamkatisha unasema "hunioni nimekaa apa nakusikiliza".
Wew tulia msikilize akimaliza jaribu kutatua shida zote alizokwambia kadili ya uwezo wako, kama ni shida kubwa kukuzidi mwambie kwa hilo hutaweza kwa muda huo labda mpaka siku nyingine.

3. Kuna mahala pengine mwanamke anaweza akawa amekerekwa na mtu mwingine kabisa tofauti na wew kabisa, ila akiwa mbele yako anataka kukutolea hasira wewe, na hapo sio kwamba atasema alivoudhiwa huko alikotoka ila atasema ambayo yanakuhusu wewe. Ikifikia hapa kazi yako mwanume inakuwa moja tuu. KUSIKILIZA. Mpe nafasi ya kutoa hasira zake akimaliza utaona anatulia, akirudi katika hali yake ya kawaida hata sho unapata fresh tuu.
 
Kukimbia tatizo sio njia ya kupata suluhu.
Muhimu ni kuangalia namna gani unasolve tatizo.

USHAURI
Kumbuka mwanaume akiudhiwa hutafuta mahali atulie atafakari tatizo ni nini ndio arudi kulitatua. Ila kwa mwanamke sio hivyo, mwanamke akiudhiwa hutaka lawama zake zote zisikiwe na mtu mwingine awe ni rafiki yake, mume wake, mzazi wake ndugu yake yoyote yule, akishazisema tuu ndio hasira hupungua.

1. Mchunguze mke/mchumba wako anataka nini hasa, kisha jaribu kumtimizia kadili ya uwezo wako, najua katika hayo malalamiko kuna vitu anasema vitimizwe na wew hautimizi ndio mana anaishia kununa kwa sababu hajatimiziwa, kama wewe unapokua na mahitaji labda anakutimizia jaribu na wew kumtimizia kadili ya uwezo wako.

2. Kutokana na utalam ulioandikwa kwenye vitabu vya watalam ni kwamba mwanamke ni mtu ambae ana tabia ya kupenda kusikilizwa anapokua anatoa tatizo, pale unapoacha kumsikiliza yeye anatafsiri kuwa humpendi. Hivyo jitahidi anapokuwa anatoa malalamiko kaa tulia msikilize na msapoti kabisa katika point anazosema
ANGALIZO
Anapokua anatoa malalamiko usianze kujitetea kwa kuonyesha anachosema sio kweli, mfano analaumu kwamba kwanini haumsikilizi wewe unamkatisha unasema "hunioni nimekaa apa nakusikiliza".
Wew tulia msikilize akimaliza jaribu kutatua shida zote alizokwambia kadili ya uwezo wako, kama ni shida kubwa kukuzidi mwambie kwa hilo hutaweza kwa muda huo labda mpaka siku nyingine.

3. Kuna mahala pengine mwanamke anaweza akawa amekerekwa na mtu mwingine kabisa tofauti na wew kabisa, ila akiwa mbele yako anataka kukutolea hasira wewe, na hapo sio kwamba atasema alivoudhiwa huko alikotoka ila atasema ambayo yanakuhusu wewe. Ikifikia hapa kazi yako mwanume inakuwa moja tuu. KUSIKILIZA. Mpe nafasi ya kutoa hasira zake akimaliza utaona anatulia, akirudi katika hali yake ya kawaida hata sho unapata fresh tuu.
Asante mkuu nitajitahidi maana Kila mtu ananambia nijishushe kwake
 
Asante mkuu nitajitahidi maana Kila mtu ananambia nijishushe kwake
Yah ni saw kujishusha ila usijishushe sana mpaka ukawa zoba kabisa lazima kuwe na mipaka.

Na hii pia inategemea huyo manzi unamkubali kiasi gani, na kama umemuoa ama la. Tusije kukushauri umpambanìe sana kumbe hujamuoa na usije kumuoa, tunakua tumetumia ghalama kubwa ya ujenzi wa nyumba kali kumbe ipo kwenye hifadhi ya serikali
 
Kuna kundi la watu wanakampeni yao ya kataa ndoa wanaamin kukataa ndoa basi ndo utaishi maisha ya furaha kumbe sio kweli

Maisha ya mwanadamu yana pande mbili yana furaha na uchungu na ni lazima upitie hivyo vipindi katika maisha ya hapa duniani
Sasa kama maisha yana pande mbili ,kwa nini hiyo huzuni ukaitafute kwa kuoa , si uache tu kama ni kuja ije nyenyewe?
 
Yah ni saw kujishusha ila usijishushe sana mpaka ukawa zoba kabisa lazima kuwe na mipaka.

Na hii pia inategemea huyo manzi unamkubali kiasi gani, na kama umemuoa ama la. Tusije kukushauri umpambanìe sana kumbe hujamuoa na usije kumuoa, tunakua tumetumia ghalama kubwa ya ujenzi wa nyumba kali kumbe ipo kwenye hifadhi ya serikali
Hatna ndoa lakni tmezaa watoto wawili
 
Busara ipo juu yako aisee.

"Wakataa ndoa" wametumia ndoa kama sehem ya kupeleka lawama zao tuu.

Ila kuna watu wamekaa kiunyumba (hawajaoana) ila purukushani zipo

Wengine wapo single na shida ziko pale pale.
Ulishawahi sikia malalamiko ya waliopo single kuhusu ndoa humu jukwaani?
 
Sasa kama maisha yana pande mbili ,kwa nini hiyo huzuni ukaitafute kwa kuoa , si uache tu kama ni kuja ije nyenyewe?
Me naona point inayotaka kusemwa ni kuwa kama shida zipo kokote kwanini usiwe mtu wa kutafuta suluhu ya mambo badala ya kukimbia kila unapokuta shida. Utakimbia mangap na yote yanashida zake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom