Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Last edited by a moderator:
Hivi kuna mtu ambaye yuko kwenye ndoa hajawahi kuchakachua nje kweli?
Jana tu jioni,(kwa wale wa Tanzania) nilivyotoka ofisini nikiwa natafakari ishu ya mwana jamii one nikapitia mitaa flani ya kati. nikakutana na dada mmoja ana duka la nguo, alikuwa very upset kwamba hana mood ya kukaa dukani kabisa hiyo siku. Nikamuuliza kulikoni? Akaniambia, mdogo wangu niliyoyaacha huko nyumbani hata sitaki kuyawaza, maana hayavumiliki na huyu mume mi ntamwacha.
HOW interesing nikazidi kuprobe, aksema, juzi nimetoka dukani nikakuta simu ya mume wangu inachajiwa, ina misscall kama saba, na meseji, nikasoma mesji, kumbe ni mdada analalamika eti "ooh darling ujue mi naumwa hivyo usinikatishe tamaa, nachotaka ni mapenzi yako na kubembelezwa" mama watu akachanganyikiwa, akachukua namba ya yule dada akaenda hewani, akamuuliza meseji gani umemtumia mume wangu, akastuka, kumbe hajui kama jamaa ana mke na watoto, akasema kwa ustaarabu mi sijui kama kaoa, mi nilikutana naye wakati naenda kigoma kwenye treni tukatongozana na kupeana namba, tulivyorudi mjini tukatafutana na kuanza uhusiano na sasanina mimba ya miezi mitano.
Mama hadi hapo akawa hana la kusema akamuuliza mumewe kakataa katakata hadi leo, sas anasema hawezi kuendelea na yule mume na bla bla nyingi. sijui itakuwaje nikipata update ntazileta.
Lakini swali langu la msingi ni kwamba, kwa nini haya mambo ya kucheat yanaongezeka sana kizazi hiki? Yani wanaume hawakosi nyumba ndogo why?
Kwa wadada sijui sana maana sijasikia sana malalamiko toka kwa wakaka. Tufanyeje tuwaokoe waume zetu na nyumba ndogo?
Hujambo shem? Usije ukam cheat bro,vinginevyo tutakatana mapanga shaa.
Ukisoma maoni na maelezo ya wadau wa MMU...wengi wanadai kuwa hawa-cheat...
Ndo maana nikasema kuwa inashangaza kwani ni tofauti na hali halisi kwenye uwanja wa mapambano!!
May be wadau wa JF MMU ni watu wazuri sana...huwa hawafanyi mambo hayo!
Babu DC!!
skiliza babu DC labda niseme hivi mie ni mmoja wa watu waliowah kucheat and real niliregret sana why so na mpaka leo sijajua what was the motive behind. na mpaka nauliza hivi niliwaza sana juu ya mtu mmoja hapa ofcn anafanya as if ni jambo la kawaida nikajiuliza kama mie nilicheat tena pasi kuwa na sababu na nikarudi nikatubu nafsini mwangu pasi kumwambia muhusika na nikasema sitarudia tena na Mungu anisamehe. sasa kama niliumia kiasi kile mimi yawezekanaje mtu mwingine aone ni kawaida?
mkuu saragossa mbona waongelea upande mmoja?vip na mwanaume akiweka jiko ndan inakuweje?wengi wakishaingia kwenye ndoa wanabweteka,mau2ndu ya enz wanaanza mahusiano yanatoweka hapo ndo problem inapoanzia lov is a2 way traffic mkishindwa kubalance imekula kwenu.kwan mwadhan wanawake huwa hawavutiwi na other men after marriage?au hawataki adventures with new persons?they do bt wanacompromise why cant you guys do the same?ofcourse c wanawake wote
Kwa wadada sijui sana maana sijasikia sana malalamiko toka kwa wakaka. Tufanyeje tuwaokoe waume zetu na nyumba ndogo?