Kwanini infidelity imeongezeka sana kwa jamii yetu?

Kwanini infidelity imeongezeka sana kwa jamii yetu?

usijali upako uko bure ni wewe tu siku ukiamua ujichotee kadiri upendavyo,
kama uko tayar naweza kukusaidia upate huo upako.
back to topic:KITU MUHIMU KATIKA VYOTE MAISHANI NI FURAHA,SASA KAMA WEWE FURAHA YAKO HAITAPOTEA MUMEO ATAKAPOKUWA NA WENGINE THEN NI SAWA NA WALA SITAKUSHANGAA.
ILA MIM FURAHA YANGU ITAPOTEA NIKIJUA NIMPENDEA ANA WENGINE HIVYO KWANGU MM SIO SAWA.KWANGU MM SHARING A HUSBAND IS NOT ACCEPTED ILA KAMA KWAKO NI CARING THEN SIO MBAYA
NA CHA MUHIMU MAISHA NI KUISHI UNAVYOJISIKIA.

hapo nipobold pekundu ndio kiini cha mada hii,usipojua theres no harm,mbaya ni pale unapojua tu...:mod:
 
ubaya wa kutenda ndio upi cheusi mwenzako sina upako lol,kama mke uko happy unatimiziwa kila kitu mie sioni ubaya wa kukuchukulia mumeo....afteral sharing is caring lol😛ound::A S-rose:

dah, kweli duniani kuna watu na viatu!!!!!!!!!!!!!!
 
...i think fidelity is harmless untill the other person (wife) knows it...............................embu angalia arnold shwazneger ndoa yake imedumu,mpaka mkewe alivyojua....tunajifunza kuwa kama unatembea na mume/mke wa mtu keep low profile and everybody will be happy in the end,:biggrin1::biggrin1:

Even if you decide to keep a low profile but i still believe at times you will be feeling guilty on youself
 
...i think fidelity is harmless untill the other person (wife) knows it...............................embu angalia arnold shwazneger ndoa yake imedumu,mpaka mkewe alivyojua....tunajifunza kuwa kama unatembea na mume/mke wa mtu keep low profile and everybody will be happy in the end,:biggrin1::biggrin1:

Infidelity is there to stay....no one will stop it.

Pauline thinks it is harmless until the other person knows it (yeye kasisitiza 'wife' as if hii kitu wanaume wanaifanya wao kwa wao).....Babu ha-think bali anaamini kuwa hii kitu ikifanyika kwa uangalifu, hakuna ndoa itakayovunjika....So lets keep it in low profile coz it is unstoppable ili kusave ndoa zetu zisisambaratike............

Ni maoni yangu binafsi, hayahusiani na imani ya dini yoyote au misimamo yoyote ya mashirika na asasi zinazotetea uaminifu katika ndoa.

Babu anarudi kitandani kulala.
 
hapo nipobold pekundu ndio kiini cha mada hii,usipojua theres no harm,mbaya ni pale unapojua tu...:mod:

kweli hata identical twins ukiwachunguza vizuri wana tofauti.
mm na ww na wanawake lkn tuna tofauti kubwa ktk kuwaza.
mm nikijua ananicheat nitamfukuza.
 
kweli hata identical twins ukiwachunguza vizuri wana tofauti.
mm na ww na wanawake lkn tuna tofauti kubwa ktk kuwaza.
mm nikijua ananicheat nitamfukuza.

usipojua je??huoni ndilo ninalosisitiza...usijue.....
 
Dah!!...umeongea. ngoja nikugongee thenkyuuu
...i think fidelity is harmless untill the other person (wife) knows it...............................embu angalia arnold shwazneger ndoa yake imedumu,mpaka mkewe alivyojua....tunajifunza kuwa kama unatembea na mume/mke wa mtu keep low profile and everybody will be happy in the end,:biggrin1::biggrin1:
 
kosa litabaki kwa mungu lakini kwa binadamu kosa lisipogunduliwa si kosa, simple and plain truth
 
Pau haishiwi vituko huyu...

Ni kweli dada yangu yani Pauline ni mpekee. Kila kukicha na visa visa vya kimtaa mtaa.


ubaya wa kutenda ndio upi cheusi mwenzako sina upako lol,kama mke uko happy unatimiziwa kila kitu mie sioni ubaya wa kukuchukulia mumeo....afteral sharing is caring lol😛ound::A S-rose:
Hapo ndipo shida inapoanzia, hebu Pauline wekea umepata shefa la sifa zako kwa maana ya kukupa kila kitu unachohitaji na kunako sita kwa sita huko ndiyo upo hoi bin taabani, yaani amekumaliza na kuona hapo ndipo mwisho wa reli. Siku unagundua kumbe jamaa ana vicheche vingine tena zaidi ya wewe, mbaya zaidi wewe baada ya kumuona ana vigezo vyako ukajitoa mhanga kwa kila kitu, yaani kwenye penzi mpaka ..... umeshampa, tehe tehe kama alitaka. Swali utakalojiuliza huyu jamaa anatafuta nini huko nje? Hapo ndipo inf. inapouma, kwa sababu hakuna inf. ambayo itadumu milele bila kufahamika na ndipo roho inapouma na uovu wa hiyo infr. inapoikuwa. Upo?

kosa litabaki kwa mungu lakini kwa binadamu kosa lisipogunduliwa si kosa, simple and plain truth
Hii ndiyo shida kubwa sana, acha wafu kwa wafu tukazikane.
 
ubaya wa kutenda ndio upi cheusi mwenzako sina upako lol,kama mke uko happy unatimiziwa kila kitu mie sioni ubaya wa kukuchukulia mumeo....afteral sharing is caring lol😛ound::A S-rose:


My dia wacha utani. Kuna vitu naweza shea maishani mwangu bila shida yoyote BUT NOT THE MAN I LOVE.
 
Haina shida hasa huku kwetu,utaumia vipi kwa kitu ambacho hujakijua?
 

Ni kweli dada yangu yani Pauline ni mpekee. Kila kukicha na visa visa vya kimtaa mtaa.



Hapo ndipo shida inapoanzia, hebu Pauline wekea umepata shefa la sifa zako kwa maana ya kukupa kila kitu unachohitaji na kunako sita kwa sita huko ndiyo upo hoi bin taabani, yaani amekumaliza na kuona hapo ndipo mwisho wa reli. Siku unagundua kumbe jamaa ana vicheche vingine tena zaidi ya wewe, mbaya zaidi wewe baada ya kumuona ana vigezo vyako ukajitoa mhanga kwa kila kitu, yaani kwenye penzi mpaka ..... umeshampa, tehe tehe kama alitaka. Swali utakalojiuliza huyu jamaa anatafuta nini huko nje? Hapo ndipo inf. inapouma, kwa sababu hakuna inf. ambayo itadumu milele bila kufahamika na ndipo roho inapouma na uovu wa hiyo infr. inapoikuwa. Upo?


Hii ndiyo shida kubwa sana, acha wafu kwa wafu tukazikane.

nilipobold ndio kiini cha mada hii,kama haitajulikana mtu anamcheat mkewe sioni kwa nini mkewe aumie,mbaya ni kugundua/kujua mumeo anacheat:dance:
 
...i think fidelity is harmless untill the other person (wife) knows it...............................embu angalia arnold shwazneger ndoa yake imedumu,mpaka mkewe alivyojua....tunajifunza kuwa kama unatembea na mume/mke wa mtu keep low profile and everybody will be happy in the end,:biggrin1::biggrin1:



Thread zako hua zinanikosha saana... your naivete na mature innocence.... Dah!
 
Asprin, Quinin, Te Amo na wale wenye chama chenu cha infidelity, mbona kimya sana?
Ni nini kimetokea? Much love washkaji, nimewamiss.
 
wamekua sasa, washaacha! saa hizi tu hadi gari liwake inabidi wasukume posta hadi mbagala. waliosema aliye juu mngoje chini unadhani walikuwa wapuuzi? lol,ngoja warudi,hehehe. hongera kwa wake zao.
 
wamekua sasa, washaacha! saa hizi tu hadi gari liwake inabidi wasukume posta hadi mbagala. waliosema aliye juu mngoje chini unadhani walikuwa wapuuzi? lol,ngoja warudi,hehehe. hongera kwa wake zao.
<br />
<br />
hahah hahaha hahahha yaaani nimecheka sana.... Posta hadi Mbagala... Na bado watafika hadi Rufiji na bado gari isiwake.
 
Back
Top Bottom