afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
kwa hiyo mbaya ni kukamatwa tu lkn kutenda sio mbaya.
mmmmh kama mawaidha ndo haya bora kutoolewa.
Mimi kama sijaona sred ya pauline siku 3 mfululizo nakuwa nagoma kukoga. Yaani sred za pauline ni muhim sana katika kuongoza maisha yangu.Pau haishiwi vituko huyu...
...i think fidelity is harmless untill the other person (wife) knows it...............................embu angalia arnold shwazneger ndoa yake imedumu,mpaka mkewe alivyojua....tunajifunza kuwa kama unatembea na mume/mke wa mtu keep low profile and everybody will be happy in the end,:biggrin1::biggrin1:
Yote mtaandika end of the day, mfanyaji anakuwa PUMBAVU ukisema mjinga anaweza elimika. Who cares being infidelity? Vitu vingine ni kuangalia kwa makini usijesifia kitu ambacho ukikumbana nacho utakesha unalia machozi kede kede.
"Wives don't expect fidelity, but they don't want infidelity thrown in their faces." - Joe Kennedy Sr
dah! kumbe mpaka visanamu vina vibamia? khaaa!
dah! kumbe mpaka visanamu vina vibamia? khaaa!
hehehe nataka kupotea bana, mida mida , leo nina something special. Its a special day to me infact.hahahahahah lolHivi hujui
hawa ndo wataalum wa Infi...
nitafute kule chumba cha pili
ntakupa full story mmmhhhh
hehehe nataka kupotea bana, mida mida , leo nina something special. Its a special day to me infact.
hahaha...afrodenzi anajua kama ningekua sijaokoka class yangu sio ya kitochi wala album(kama hujui kitoch na album ni nin nenda dukan kwa mangi kamuulize) lkn kwa vile nimeokoka hata moet situmii mm kiu yangu ilishakatwa golgota.heheeh haya ma mbege umemletea cheusimangala au?
ubaya wa kutenda ndio upi cheusi mwenzako sina upako lol,kama mke uko happy unatimiziwa kila kitu mie sioni ubaya wa kukuchukulia mumeo....afteral sharing is caring lolound::A S-rose: