Kwanini hivi jamani...

Kwanini hivi jamani...

Ni upumbavu uliopindukia.
Siku zote nalisisitiza hili "Busara za mtu hupimwa kwa unachokiongea """.
Kiukweli haipendezi.

Sent using Jamii Forums mobile app
si kweli kuna watu wanalopoka ila akili na busara kwenye mambo ya msingi wako poa.

kuna watu wanaongea kwa upole, mambo ya maana ila matendo ni upuuzi mtupu
 
Unaona unavyojidhihirisha ulivyo mbea? Ha ha ha ile siku hawa kufanya makosa kukuchamba. Maana ulikuwa haueleweki unatetea au una shutumu.
Acha kuwa kigeugeu , wewe ni mwanaume kuwa na msimamo.
Si ulikimbia jf ? Ha ha ha kilichokurudisha..
Hii ni chungu meza hivyo hivyo dawa chungu ndiyo huwa inatibu.
Good day

Sent using Jamii Forums mobile app
Fallacy.
 
Kweli kila shetani na mbuyu wake...enzi zile nakuja pm kukutongoza unaniringia kumbe kuna wahenga unawafuata mwnyw



Roho imeniuma leo
umeuona uzi wa siasa basii?kakutana na dada jf wamepena contact yy hajakuta nyeusii ila mbunyee ipo katikati ya mapaja dada booongeeeee

sent from motorola bapa and nokia jeneza
 
Unaona unavyojidhihirisha ulivyo mbea? Ha ha ha ile siku hawa kufanya makosa kukuchamba. Maana ulikuwa haueleweki unatetea au una shutumu.
Acha kuwa kigeugeu , wewe ni mwanaume kuwa na msimamo.
Si ulikimbia jf ? Ha ha ha kilichokurudisha..
Hii ni chungu meza hivyo hivyo dawa chungu ndiyo huwa inatibu.
Good day

Sent using Jamii Forums mobile app
Wololooo!!!!!

Waita zungusha nyingne
Leo week end bhana wacha
Tuburudike kesho n
Job kupambana na huyu wa
Chato

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
umeuona uzi wa siasa basii?kakutana na dada jf wamepena contact yy hajakuta nyeusii ila mbunyee ipo katikati ya mapaja dada booongeeeee

sent from motorola bapa and nokia jeneza
Hilo dada nmetamani kulijua
 
Le series... Bando lilikata nimemkimbiza mtoto wa jirani dukani. Tena nikamwambia akiwahi kurudi nampa mia 5 kwani kachelewa sasa. Alirudi fasta
leoook

sent from motorola bapa and nokia jeneza
 
mie kwa kweli siku yangu ikifikaaa sijui yaani ntavaa pensi ganii

na watu wanasubiriaa

sent from motorola bapa and nokia jeneza
Ww hata ntakuficha
Ubavun kwang

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Back
Top Bottom