Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,911
- 183,311
Ooooh!! Hapo sawa.Hahahaa mimi sizungumzii mtoa mada na mwenzie bwana. Kifupi mimi pia siwezi kujitumisha meseji zaidi ya mbili mfululizo, nikiona SMS hujibu nitapiga lakini pia kutakuwa na interval walau kuanzia masaa 24. Ninachotaka kusema mtu asipopokea simu yangu sasa hivi hainizuii mimi kumtafuta kesho au keshokutwa.