Kwanini haya yanatokea kwenye mapenzi?

Kwanini haya yanatokea kwenye mapenzi?

Na kasema mwenyewe alimtongoza!
Ifike mahali hawa wanaume wawe na utu!

Huyu dawa apate mwanamke kiboko yake halafu ndo jamaa afe aoze!

Kwa anachomfanyia hajui huyo ni mke wa mtu mtarajiwa, unadhani atakuwa na moyo wa kupenda tena?! Halafu kazi yao kulalamika wanawake wana roho mbaya, kumbe roho mbaya wanatusababishia wao!
Wanajua kweli kutulalamikia na wanasahau namna tulivyo ni hao wenyewe wametupika kuwa hivyo.

Huyo Dada hatakuja kupenda sana na anaweza akawa kama sisi.
 
Wanajua kweli kutulalamikia na wanasahau namna tulivyo ni hao wenyewe wametupika kuwa hivyo.

Huyo Dada hatakuja kupenda sana na anaweza akawa kama sisi.
Na sababu itakuwa moja tuu, alipenda pasipostahili!
 
Huwa wanatufanya tunakuwa na roho za ajabu sababu ya ujinga wao!

Sijui yapoje yaani!
Kuna vitu unapaswa ujitafakari tu halafu ujiongeze sio kuleta ujinga wako public halafu unajiona kidume.
Unamtongozea nini mtu usompenda ili tu uje umnyanyase halafu ujisifie.

Karma is real, mnawatafutia mikosi watoto wenu kwa upuuzi wenu.
 
Kuna vitu unapaswa ujitafakari tu halafu ujiongeze sio kuleta ujinga wako public halafu unajiona kidume.
Unamtongozea nini mtu usompenda ili tu uje umnyanyase halafu ujisifie.

Karma is real, mnawatafutia mikosi watoto wenu kwa upuuzi wenu.
Halafu bila aibu anasema alimtongoza kwa kumjaribu, like serious?!

Hivi huwa wanajihisi nani eti?! Hiyo laana sitamani hata impate mtoto wake, yaani imtafune yeye mpaka akose wa kumzalia huyo mtoto!
 
Hahaha hahaha
Wala hujafeli mahali dada, umependa mahali sahihi! Jishike hapo hapo daada
Walaa hakuna hata ninapopenda, ni vile tu siwezagi kujikausha... Nikimtumia meseji usinijibu nitachukia ila baadae nitafikiria labda ulikuwa busy baadae ukasahau kunitafuta, pengine ulipitiwa usingizi au kuna sababu nyinginezo, naweza kusubiri kwa muda nikakutafuta tena au kujaribu kukupigia, nitajaribu kesho na keshokutwa ......mtu anaweza kuwa amevurugwa ofisini huko hana mudi ya kuongea wala kuchati. The problem with me ni kwamba nikifanya juhudi zote hizo hujarespond hutakaa uone simu yangu na ukipiga sitopokea ndio itakuwa imetoka.
 
Halafu bila aibu anasema alimtongoza kwa kumjaribu, like serious?!

Hivi huwa wanajihisi nani eti?! Hiyo laana sitamani hata impate mtoto wake, yaani imtafune yeye mpaka akose wa kumzalia huyo mtoto!
Aisee kuwa mwanadamu basi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom