Kwanini haya yanatokea kwenye mapenzi?

Kwanini haya yanatokea kwenye mapenzi?

Naomba Mungu nisije kuwa na moyo kama wa huyo Dada. Hadi nimemuonea huruma.

Mimi haijalishi nakupenda sana, au laah.(kwanza siku hizi huwa sipendi zaidi ya kupretend).

Nikikutumia msg nasubiri ujibu ndiyo nitume nyingine, usipojibu ndiyo kwisha habari mpaka siku utakapoamua kujibu.
Nafikiri tumefanana! Nilishapenda imetosha sasa!
Mtu sms kumi hajibu! Ni dharau za aina gani eti
 
Huyo Dada anaonekana anampenda hasa
Ila sijui tulikosea wapi wanawake,mara nyingi huwa tunapenda tusikopendwa alafu hata ukiambiwa ondoka uwezi unakuwa Kama umelogwa

Mungu tunusuru
mmeumbwa hivyo
 
Nafikiri tumefanana! Nilishapenda imetosha sasa!
Mtu sms kumi hajibu! Ni dharau za aina gani eti
Ni dharau kupita maelezo, tena hapo ukute mtu alikutongoza mwenyew halafu umemkubali ndiyo anaanza nyodo.

Mimi nikitumaga msg "mambo" .nasubiri jibu , isipojibiwa sifikirii Mara mbili kwanini haijajibiwa nakausha, na nikikausha na wewe ukikausha ndiyo inakuwa imetoka hiyo.
 
Ni dharau kupita maelezo, tena hapo ukute mtu alikutongoza mwenyew halafu umemkubali ndiyo anaanza nyodo.

Mimi nikitumaga msg "mambo" .nasubiri jibu , isipojibiwa sifikirii Mara mbili kwanini haijajibiwa nakausha, na nikikausha na wewe ukikausha ndiyo inakuwa imetoka hiyo.
Kumbe kuna cute b na cutelove CUTE
 
Ni dharau kupita maelezo, tena hapo ukute mtu alikutongoza mwenyew halafu umemkubali ndiyo anaanza nyodo.

Mimi nikitumaga msg "mambo" .nasubiri jibu , isipojibiwa sifikirii Mara mbili kwanini haijajibiwa nakausha, na nikikausha na wewe ukikausha ndiyo inakuwa imetoka hiyo.
Na kasema mwenyewe alimtongoza!
Ifike mahali hawa wanaume wawe na utu!

Huyu dawa apate mwanamke kiboko yake halafu ndo jamaa afe aoze!

Kwa anachomfanyia hajui huyo ni mke wa mtu mtarajiwa, unadhani atakuwa na moyo wa kupenda tena?! Halafu kazi yao kulalamika wanawake wana roho mbaya, kumbe roho mbaya wanatusababishia wao!
 
Na kasema mwenyewe alimtongoza!
Ifike mahali hawa wanaume wawe na utu!

Huyu dawa apate mwanamke kiboko yake halafu ndo jamaa afe aoze!

Kwa anachomfanyia hajui huyo ni mke wa mtu mtarajiwa, unadhani atakuwa na moyo wa kupenda tena?! Halafu kazi yao kulalamika wanawake wana roho mbaya, kumbe roho mbaya wanatusababishia wao!
Dah... Sasa kila nikijitaid kumpenda nashindwa kabisa
 
Aisee mimi sijui nikoje yaani mwanamke akijidai ananipenda sana ndo ANAANZA KUNITIBUA, huyo lazima tutaachana na kosa lake ni kunipenda.
Sana sana ntaona mapicha tu ananiigizia.
Kwanza hua naamini "real love never exist"

Sihitaji mwanamke kunipenda, nahitaji mwanamke aniheshimu behind my back hapo tutaenda sawa.
Kweli wewe wild thoughts
 
wasichana ving'ang'anizi namna hiyo ni wataalamu wa kuwapa ushauri wa kimahusiano rafki zao ka wao wameweza kuhendo mahusiani yao kumbe kwao ndo kubooovuuu kabisaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom