Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 8,407
- 28,839
Kwa stadi za kazi hapo itakuwa ni kuchonga vinyago na kusuka ukili,Hainaga kuremba,njoo hata na Yale ya stadi za kazi.
Kwa stadi za kazi hapo itakuwa ni kuchonga vinyago na kusuka ukili,Hainaga kuremba,njoo hata na Yale ya stadi za kazi.
Kwamba?Not in all instances hasa missed calls...
Ataiona tuKwamba?
Hii ni for emergency exit Jirani..!!Ili uwe unanichunia?
umejua kunichekesha.. Eti ni wewe unaiaibisha familia yako kiasi hicho
.
Inatia hasira kweli unajiuliza unakasoro gani hadi kupenda mahali ambapo kama vile unajipendekeza. Mbaya zaidi uone yupo online.



ndo hapo sasa yaani huwa nachoka nafsi na mwili.limbukeni ndio nini... Au wewe sio rijaliHuyu jamaa limbukeni sana!
Yani kajitoa kabisa atumiwe atakavyo huyo jamaa,hadi nimemuonea huruma huyo mdada........Huyo Dada anaonekana anampenda hasa
Ila sijui tulikosea wapi wanawake,mara nyingi huwa tunapenda tusikopendwa alafu hata ukiambiwa ondoka uwezi unakuwa Kama umelogwa
Mungu tunusuru
Madem wakali hawalii lii?Huyo dem angekua mkali asingelialia hvyo kiongoz,to.mba madem wakali
Unajisikiaje Kutiririsha conversation zake humu kwa mfano labda.kosa Ni ushajua tu anakupenda na kishakuwa mnyonge kwako.Ananipenda sana, ila sina hisia nae hata kidogo...
Hana kasoro yoyote, ana sifa zote kuitwa mke, lakini mimi simpendi...
Hajawai nikosea, kila siku mimi ndio namkosea lakini haniachi..
Ananipenda sana, muda mwingi anazungumza kuhusu ndoa, anawapenda na wazazi wangu pia
Sijui kwanini mimi simpendi, yani namtamani tu pale napokuwa N.y,ege..
Kwa mambo makubwa alionifanyia naogopa kumwambia simpendi.. Nahis anaweza ata kuniua
DAH,
View attachment 1135849View attachment 1135850View attachment 1135851
Acha namba za manzi ako aje akusimulie!limbukeni ndio nini... Au wewe sio rijali
hutakiwi kumfanyia ulivyofanya kwasababu siku akijakufahamu kuwa humpend na ulikuwa una mu_enjoy tu hakika ataumia sana na kwann umuuze? Cha kufanya mwambie ukweli ili atambue na ajue nn cha kufanya either kumpenda mwngne au kuamua kukaa peke yake...Hivyo tu broAnanipenda sana, ila sina hisia nae hata kidogo...
Hana kasoro yoyote, ana sifa zote kuitwa mke, lakini mimi simpendi...
Hajawai nikosea, kila siku mimi ndio namkosea lakini haniachi..
Ananipenda sana, muda mwingi anazungumza kuhusu ndoa, anawapenda na wazazi wangu pia
Sijui kwanini mimi simpendi, yani namtamani tu pale napokuwa N.y,ege..
Kwa mambo makubwa alionifanyia naogopa kumwambia simpendi.. Nahis anaweza ata kuniua
DAH,
View attachment 1135849View attachment 1135850View attachment 1135851
Natamani wote tuwe na hii mioyo.
Huwa inauma SanaIla mimi jamani niwe tu mkweli nikimtumia mwanaume wangu text moja tu hasa whatsapp akaiona na ikaweka kabisa blue ticks halafu hajanijibu huwa naanza kuwaza tu hivi kweli mimi ndo ninaiaibisha familia yangu kiasi hiki kwa kujipedekeza namna hii?
Why me Lord? Lord why me? Yaani huwa ninahisi kama vile mbingu na dunia vyote vinanicheka huwa ninaona kama vile nimevuliwa nguo zote nimeaibishwa nimedhalilishwa yaani huwa nawaza mambo mengi sana daah sijui shida ni nini
Moyo umeniuma sana, masikin dada wa watu, ukute anafanya kila jema kwa huyu mburukenge lkn ndo hyo anamuoa mavi!Naomba Mungu nisije kuwa na moyo kama wa huyo Dada. Hadi nimemuonea huruma.
Mimi haijalishi nakupenda sana, au laah.(kwanza siku hizi huwa sipendi zaidi ya kupretend).
Nikikutumia msg nasubiri ujibu ndiyo nitume nyingine, usipojibu ndiyo kwisha habari mpaka siku utakapoamua kujibu.
Tena Mimi hata nikikukosea ukijidai kuniziria na hautaki tuyaongee nakulima Kibuti hata kama kosa ni langu.
Siri ya huu mchezo ni kuwahiana. Maana mtu wa kununa nuna asiyetaka kuweka mambo wazi , ukimlea atakuwahi wewe akupe maumivu.




