Kwanini haya yanatokea kwenye mapenzi?

Kwanini haya yanatokea kwenye mapenzi?

Kuna watu wanafanya tuonekane wanaume wote ni wapuuzi kisa upuuzi wao sasa vitu kama ivyo ni vya kuja weka sehemu kama hii bahati mbaya dada wa watu apite aone sijui atajisikia vipi.
Kuna wanaume na wavulana mdogo wangu hata usiwaze sana na uanaume au uvulana hauangalii umri wala mwili
 
To

Toka mwanzo najua unatumia Tecno
Wanaume tunaojua tafuta pesa na hatuweki chat zetu na wanawake tunatumia simu hizi
Sawa mkuu mimi bado maskini... Japokuwa natumia simu toleo la mwaka huu
 
Naona unajitengenezea mazingira uonekane mtu mwerevu..
Ona mawazo yako?? Nashindwa kwenda pm hadi nije hapa kwenye huu uzi unamdhalilisha mtoto wa watu ndio nionekane mwelevu?? Na una bahati hatujuani mbona usingepost hizo chati za huyo dada yani sasa ivi angekuwa anatabasamu kwa raha zake huku namuuliza ‘unataka nini mtoto mzuri’ Jifunze kuwa na privacy kama humtaki mwambie.
 
Ona mawazo yako?? Nashindwa kwenda pm hadi nije hapa kwenye huu uzi unamdhalilisha mtoto wa watu ndio nionekane mwelevu?? Na una bahati hatujuani mbona usingepost hizo chati za huyo dada yani sasa ivi angekuwa anatabasamu kwa raha zake huku namuuliza ‘unataka nini mtoto mzuri’ Jifunze kuwa na privacy kama humtaki mwambie.
Ndio akili zako sikushangai...
 
Una kaugonjwa sio siri ww
Ananipenda sana, ila sina hisia nae hata kidogo...

Hana kasoro yoyote, ana sifa zote kuitwa mke, lakini mimi simpendi...

Hajawai nikosea, kila siku mimi ndio namkosea lakini haniachi..

Ananipenda sana, muda mwingi anazungumza kuhusu ndoa, anawapenda na wazazi wangu pia

Sijui kwanini mimi simpendi, yani namtamani tu pale napokuwa N.y,ege..

Kwa mambo makubwa alionifanyia naogopa kumwambia simpendi.. Nahis anaweza ata kuniua

DAH,
View attachment 1135849View attachment 1135850View attachment 1135851
 
Ila mimi jamani niwe tu mkweli nikimtumia mwanaume wangu text moja tu hasa whatsapp akaiona na ikaweka kabisa blue ticks halafu hajanijibu huwa naanza kuwaza tu hivi kweli mimi ndo ninaiaibisha familia yangu kiasi hiki kwa kujipedekeza namna hii?

Why me Lord? Lord why me? Yaani huwa ninahisi kama vile mbingu na dunia vyote vinanicheka huwa ninaona kama vile nimevuliwa nguo zote nimeaibishwa nimedhalilishwa yaani huwa nawaza mambo mengi sana daah sijui shida ni nini
umejua kunichekesha.. Eti ni wewe unaiaibisha familia yako kiasi hicho.

Inatia hasira kweli unajiuliza unakasoro gani hadi kupenda mahali ambapo kama vile unajipendekeza. Mbaya zaidi uone yupo online.
 
Naachaje kujibu text zako Kigori wangu. Fanya nitumie voice note kigori ili lunch yangu ishuke fresh. Ujue maneno yako huwa yananibarki sana, naanza hata kunenepa siku hizi
Tupendane ivo ivo!
Ila siku ukiacha kujibu sms zangu jua ndo nishakuleft
 
Naachaje kujibu text zako Kigori wangu. Fanya nitumie voice note kigori ili lunch yangu ishuke fresh. Ujue maneno yako huwa yananibarki sana, naanza hata kunenepa siku hizi

VN nishatuma handsome, hebu twende wozap kule!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom