Kwanini haya yanatokea kwenye mapenzi?

Kwanini haya yanatokea kwenye mapenzi?

Kwani wewe hujawai kuwa na mwanaume lakini humpendi?.... Mbona mnaniongelea utazani mimi ndio wa kwanza mwenye haya mambo
Mchungaji wako akiwa msafi haikufanyi wewe kwenda mbinguni.

Kwa wanawake hii case ni tofauti as sisi tunafuatwa, hivyo unajipa muda taratiiibu unaanza kumpenda mtu au usimpende.

Ila wewe ulimfuatia nini mtoto wa watu ambae humpendi huku unajua mliagizwa kupenda?
 
Walaa hakuna hata ninapopenda, ni vile tu siwezagi kujikausha... Nikimtumia meseji usinijibu nitachukia ila baadae nitafikiria labda ulikuwa busy baadae ukasahau kunitafuta, pengine ulipitiwa usingizi au kuna sababu nyinginezo, naweza kusubiri kwa muda nikakutafuta tena au kujaribu kukupigia, nitajaribu kesho na keshokutwa ......mtu anaweza kuwa amevurugwa ofisini huko hana mudi ya kuongea wala kuchati. The problem with me ni kwamba nikifanya juhudi zote hizo hujarespond hutakaa uone simu yangu na ukipiga sitopokea ndio itakuwa imetoka.
Huwa sijawahi muelewa mtu anayevurugwa huko kazini kwake then anichunie mimi!
Nani ampe faraja?!
Mimi nikivurugwa mtu wa kwanza kumuwaza ni yeye, then why yeye asipokee simu yangu?! At least aniambie what's going on, then nimuache apumzike!!

Mimi sms moja inatosha, ukiikuta hata kama ulitekwa utanijibu!

Missed call moja inatosha, hata kama ulivurugwa ukiikuta utanipigia!
 
Halafu bila aibu anasema alimtongoza kwa kumjaribu, like serious?!

Hivi huwa wanajihisi nani eti?! Hiyo laana sitamani hata impate mtoto wake, yaani imtafune yeye mpaka akose wa kumzalia huyo mtoto!
Bahati mbaya ilishaandikwa mama, hivyo kizazi chake kitateseka kwa upuuzi wake. I wish ingemtafuna yeye tu hadi anyooke vyema.
 
Walaa hakuna hata ninapopenda, ni vile tu siwezagi kujikausha... Nikimtumia meseji usinijibu nitachukia ila baadae nitafikiria labda ulikuwa busy baadae ukasahau kunitafuta, pengine ulipitiwa usingizi au kuna sababu nyinginezo, naweza kusubiri kwa muda nikakutafuta tena au kujaribu kukupigia, nitajaribu kesho na keshokutwa ......mtu anaweza kuwa amevurugwa ofisini huko hana mudi ya kuongea wala kuchati. The problem with me ni kwamba nikifanya juhudi zote hizo hujarespond hutakaa uone simu yangu na ukipiga sitopokea ndio itakuwa imetoka.

Nimependa unavyojifariji mwenza, hiyo inaitwa raha jipe mwenyewe.
 
Kwani wewe hujawai kuwa na mwanaume lakini humpendi?.... Mbona mnaniongelea utazani mimi ndio wa kwanza mwenye haya mambo
Wewe ndo wa kwanza kulianika hapa na kuzidi kujisifia!

Hivi hujisikii vibaya hata kidogo?!
 
Watu mnaoutumia Tecno hamna privacy kabisa afu nilichogundua watu wenye simu za kipuuzi sio wakuwatumia meseji za vitu confidential wanachowaza ni kuscreenshot watume.

Sasa kama huyo dada wa watu anakutumia meseji anajua ni wewe na yeye afu unakuja leta huku kama sio ukichaa ni nini??

Ukute pesa huna bado unapendwa unakuja mweka mtoto wa watu huku kuwa mwanaume acha ufala.
 
Watu mnaoutumia Tecno hamna privacy kabisa afu nilichogundua watu wenye simu za kipuuzi sio wakuwatumia meseji za vitu confidential wanachowaza ni kuscreenshot watume.

Sasa kama huyo dada wa watu anakutumia meseji anajua ni wewe na yeye afu unakuja leta huku kama sio ukichaa ni nini??

Ukute pesa huna bado unapendwa unakuja mweka mtoto wa watu huku kuwa mwanaume acha ufala.
Agiza juice ya ndimu naja kulipa!
 
Bahati mbaya ilishaandikwa mama, hivyo kizazi chake kitateseka kwa upuuzi wake. I wish ingemtafuna yeye tu hadi anyooke vyema.
Naona huko ni mbali, mpaka watoto waje walipe upuuzi wa baba yao atakuwa keshasahu!
Halafu ubaya inatafuna mpaka kizazi cha nne!
 
Huwa sijawahi muelewa mtu anayevurugwa huko kazini kwake then anichunie mimi!
Nani ampe faraja?!
Mimi nikivurugwa mtu wa kwanza kumuwaza ni yeye, then why yeye asipokee simu yangu?! At least aniambie what's going on, then nimuache apumzike!!

Mimi sms moja inatosha, ukiikuta hata kama ulitekwa utanijibu!

Missed call moja inatosha, hata kama ulivurugwa ukiikuta utanipigia!
Maybe kama nimemvuruga mimi, of which pia anapaswa aniambie am not mind reader. Unichunie kisa umevurugwa kazini
 
Watu mnaoutumia Tecno hamna privacy kabisa afu nilichogundua watu wenye simu za kipuuzi sio wakuwatumia meseji za vitu confidential wanachowaza ni kuscreenshot watume.

Sasa kama huyo dada wa watu anakutumia meseji anajua ni wewe na yeye afu unakuja leta huku kama sio ukichaa ni nini??

Ukute pesa huna bado unapendwa unakuja mweka mtoto wa watu huku kuwa mwanaume acha ufala.
Amen.
 
Mwenza huniibii walah.
Sawa unaweza kuendelea kuamini unachopenda ila mimi siku zote huwa naamini katika mazungumzo, uwe ndugu yangu, rafiki yangu au yeyote. Kabla sijamhukumu mtu chochote huwa napenda kumpa nafasi ya kumsikiliza....pamoja na kisirani changu kususa si tabia yangu hata nyumbani tangu nimezaliwa sijawahi hata siku moja kususa kula chakula
 
Maybe kama nimemvuruga mimi, of which pia anapaswa aniambie am not mind reader. Unichunie kisa umevurugwa kazini
Hahaha hahaha
Hata nikimvuruga mimi anijulishe tuu tuyajenge upya!

Hebu shangaa, kazini na mie wapi na wapi eti!
 
Sawa unaweza kuendelea kuamini unachopenda ila mimi siku zote huwa naamini katika mazungumzo, uwe ndugu yangu, rafiki yangu au yeyote. Kabla sijamhukumu mtu chochote huwa napenda kumpa nafasi ya kumsikiliza....pamoja na kisirani changu kususa si tabia yangu hata nyumbani tangu nimezaliwa sijawahi hata siku moja kususa kula chakula
Suala sio kususa, suala ni kuwa msumbufu. Msg moja au msd call moja inatosha, akiziona atakutafuta na hayo mazungumzo mtayafanya tu.
 
NILITAKA KUKUJIBU, ila kabla sijakujibu nikaona niangalie wewe ni mwanaume wa aina gani ambaye unaweza kumtolea mwanaume mwenzako maneno kama hayo kwenye kadamnasi ya wanawake...



Kiufupi hichi ndio nilichoona...

Hongera sana mkuu
Watu mnaoutumia Tecno hamna privacy kabisa afu nilichogundua watu wenye simu za kipuuzi sio wakuwatumia meseji za vitu confidential wanachowaza ni kuscreenshot watume.

Sasa kama huyo dada wa watu anakutumia meseji anajua ni wewe na yeye afu unakuja leta huku kama sio ukichaa ni nini??

Ukute pesa huna bado unapendwa unakuja mweka mtoto wa watu huku kuwa mwanaume acha ufala.

Salama wakuu.....

Limeongezeka wimbi la wanawake wenye umri mkubwa kuanzia miaka 30-45 kutokuwa kwenye ndoa au mahusiano ya maana au kutokuwa na mtoto\watoto!!

Hali hii inapelekea hawa Dada zetu kuwa na mawazo na roho mbaya na kutojielewa...

Hasira zote zinatuishia sisi vijana under 25.....
Ivi sisi tumewakosea nini?? Kwanini msideal na wahenga wenzenu??
Sisi mtuache tupumue hatujakimbia mimba zenu wala kuwaharibia maisha.

Mnapokuja na thread zenu za hasira sisi mtuache bado vijana tunatafutaa mtuache kabisaa...

Wakuu salama..!!!!

Binafsi ni kijana chini ya miaka 25 ila nimekuja kuwa addicted na wanawake wanaonizidi umri au walio na mtoto/watoto

Sio kwamba napenda wanawake walionizidi umri kwa sababu ya kulelewa hapana inatokea mara nyingi najikuta nipo penzini na mwanamke either kanizidi miaka au anakua kashazaa.

Hii hali imekuja nifanya nisipende vibinti under my age na ikitokea nakuwa nafanya basi siku ziende tu.

Hapa majuzi nilipata mwanamke mmoja ana mtoto miaka 9 plus kanizidi miaka 7
Ndio mapenzi kunoga hadi kutambulishana kwa wazazi na kingine huyu mama alikuwa squirter mzuri tu nakiri sijawahi enjoy kufanya mapenzi kama kwa huyu mwanamke. Ubaya sasa unakuja tumetofautiana nimebaki na zile kumbukumbu tu anavo squirt najiuliza nitakuja pata mama kama hii Kweli inayo squirt??
Au nitakuja pata binti under my age tukawa serious kwenye uhusiano hadi ndio?? Hapa najiona nakuja funga ndoa na mwanamke mtu mzima au mwenye mtoto/watoto tayari niko Addicted hata sijielewi.

NB: kama kuna mtu mwenye ushauri wa jinsi ya kutoka kwenye hali tusaidiane au kama ishakutokea ulitoka vipi kwenye kupenda wanawake wakubwa kiumri au ambao wana watoto tayari.

Wakuu za siku nyingi aisee.....
Bhana kumekuwa na thread za kuwananga hawa masingle mother kwa tabia zao za kurudi kwa wanaume walio wazalisha wanasema kukumbushia enzi.......
Bhana mdogo wenu ndio nimejikuta nimezama huko napata mapenzi 24/7 sijutii kuwa na huyu mwanamke kama wengi wenu mnavo wazungumzia......

Naapa sijawahi enjoy mapenzi kama wakati huu sijawahi kuwa na gf mwenye real love kama huyu, sijawahi kuwa kwenye mahusiano na mwanamke anayejielewa na mwenye mawazo chanya kama huyu........

Sijawahi pata maendeleo kama niliyo nayo kwa huyu mwanamke (nimefungua biashara kwa ushauri wake)kabla ya hapo pesa angu sikujua inapoendaa nilijua na mikosi plus gundu kumbe nilikuwa sijapata mtu sahihi kwenye mahusiano.

Kusema ukweli sijawahi enjoy ngono kama wakati huu mtu wangu yupo so open sio kama vibinti vya chuo nadekezwa mie.....
Before nilikuwa najua papuchi kavu ndio nzuri lakini saivi napenda inayolowa
Huyu single mama papuchi yake inaloa hadi raha sipati tena michubuko kwenye dushe langu....
Naenjoy naona kabisa anavyofika kileleni sio zile fake organism za vibinti....

Hii iwaendee wote wanaowaponda single mothers... nyie mkiwaona wa nini kuna watu kama sie tunawahitaji...
 
Hahaha hahaha
Hata nikimvuruga mimi anijulishe tuu tuyajenge upya!

Hebu shangaa, kazini na mie wapi na wapi eti!
Sasa tutayajenga vipi akiuchuna. Wazungu wanasema ukimya nao ni jibu, akiichunia msg au call yangu napata ujumbe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom