Kwanini haya yanatokea kwenye mapenzi?

Kwanini haya yanatokea kwenye mapenzi?

Acha uongo...kama kweli humpendi nipe namba zake pm..seriously
 
Ananipenda sana, ila sina hisia nae hata kidogo...

Hana kasoro yoyote, ana sifa zote kuitwa mke, lakini mimi simpendi...

Hajawai nikosea, kila siku mimi ndio namkosea lakini haniachi..

Ananipenda sana, muda mwingi anazungumza kuhusu ndoa, anawapenda na wazazi wangu pia

Sijui kwanini mimi simpendi, yani namtamani tu pale napokuwa N.y,ege..

Kwa mambo makubwa alionifanyia naogopa kumwambia simpendi.. Nahis anaweza ata kuniua

DAH,
View attachment 1135849View attachment 1135850View attachment 1135851
This is not fair... sasa fanya kitu kimoja, wewe si haumpendi huyo mwanamke? nitumie namba ake PM.
I promise baada ya kama siku tatu iivi text zake kwako zitakua "mimi naona tuachane tu kwa sababu hata sioni future na wewe".
Trust me; anakusumbua kwa sababu hajapata mwanaume mwingine kama wewe au alokuzidi wewe!! ndo wanawake jinsi walivo Mkuu.... Just send me those 10 digits PM kama kweli umemchoka atleast nimfariji kidogo
 
Naomba Mungu nisije kuwa na moyo kama wa huyo Dada. Hadi nimemuonea huruma.

Mimi haijalishi nakupenda sana, au laah.(kwanza siku hizi huwa sipendi zaidi ya kupretend).

Nikikutumia msg nasubiri ujibu ndiyo nitume nyingine, usipojibu ndiyo kwisha habari mpaka siku utakapoamua kujibu.
Hapo kitaalam tunaita Tayar ushakuwa paka au Concord hvyo huna sifa ya kuwa wife material na design kama yako huishia kudanga tu
 
You only know you love her when you let her go
Maji utaita mmaaa


Kuna couple moja 10 yrs kaka anasumbua na umalaya mjini dada anavumilia kaka anajua dada si yupo tu

Dada kasema enough is enough kapata mpya in 8 months kawa engaged kaolewa na sasa kajaliwa watoto

Jamaa dada alivoku engaged ndo akili ilimkaa sawa hakutegemea angempoteza
Hadi leo ni majuto mana anakaribia 40 na anakutana na vimeo tu

We endelea tu
 
You only know you love her when you let her go
Maji utaita mmaaa


Kuna couple moja 10 yrs kaka anasumbua na umalaya mjini dada anavumilia kaka anajua dada si yupo tu

Dada kasema enough is enough kapata mpya in 8 months kawa engaged kaolewa na sasa kajaliwa watoto

Jamaa dada alivoku engaged ndo akili ilimkaa sawa hakutegemea angempoteza
Hadi leo ni majuto mana anakaribia 40 na anakutana na vimeo tu

We endelea tu
Dah msinilaani jamani, sio kupenda kwangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom