jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,390
- 25,510
Hahahah! Kwa akili hata ile 1.5 mtaisahau tu fasta.Usijiulize sana,, Siri ya Pesa,,kila mtu anaijua yeye mwenyewe na pesa zake
Hahahah! Kwa akili hata ile 1.5 mtaisahau tu fasta.Usijiulize sana,, Siri ya Pesa,,kila mtu anaijua yeye mwenyewe na pesa zake
Tena kazi ambazo wengi tunaojiita tumesoma huwa tunazidharauwamepata pesa kwasababu walifanya kazi
Kweli mkuu, endelea kuuza mchichaNarudia vyeti vizuri kafutie choo.
Akili nzuri kabunie biashara upate pesa
Pesa ni tunu ya majasili tu
Usiibe
Usidhurumu
Usikole wala
Usikopeshe
Usile faida
Bali kula Faida ya faida ya faida.
Weka hazina ya watu sio vitu
Ukiwa na hazina ya watu hata ukiuza mavi ya kuku utapata wateja na utatajirika.
Kuwa mtoaji kwa kiasi.
Epuka kujiingiza kwenye marumbano na serikali yoyote duniani.
Kuwa na marafiki wenye Faida tu na sio wanakutafuna pesa bar.
Ulipata pesa wekeza kwenye majengo.
Punguza matumizi na malaya mpaka utajirike.
Usiazime magari ya mashemeji.
Usiishi kwa Dada
Kuwa mwaminifu na Muwazi kwa mali familia na yako.
Usipende kutaja elimu yako mbele za watu.
Uliza sana watu waliokaribu na wewe.
Anza na kitu kidogo kinachodharauliwa na wasomi mavi wasio na akili wanqosahau walisomeshwa na pesa za mchicha.
Simamia faida ipatikane
Kwa leo naishia hapa.
Nimeajiri wasomi kujiita saba na videgree vyao uchwara...
Wakati mie darasa la 4A na
Mimi ni mlinzi mfu.
Isitoshe wasukuma wanalima sana na niwabahili mno.
Mbona hawendi huko wote wawe matajiriWewe acha hizo! Wana kijiji chao kinaitwa Gaboshi kijiji cha kichawi, utajiri wao huko ndo chimbuko la noti wanazomiliki
Mmoja mmoja ndo mpangoMbona hawendi huko wote wawe matajiri
Watakuwa wanaenda.Lakini kuna issues za masharti usisahau.Mbona hawendi huko wote wawe matajiri
Hayo mabasi ya Frester ajali nyingi sana. Ndo maana nikauliza wanaomfahamu huyo mmiliki, usikute ni makafara!Kwanini watu hawa wana pesa nyingi sana wakati hata shule hawajaenda pesa hizi wanazitoa wapi? Kwa mfano mabasi yote ya Mwanza Bukoba ni yao ukitoa machache ya waarabu. Mabasi yote ya mwanza Mbeya ni yao na hawajaenda hata shule wanatoa wapi pesa hizo. Wanapata wapi hela za kujenga maghorofa na kumiliki mitaa iliyojaa maghorofa mfano mzuri kwa mkoa wa Mwanza kuna mzee Shinyanga anamiliki mtaa wa uhuru uliojaa maghorofa yake pekee.
Wanatoa wapi ujanja wa kumiliki hospitali zao binafisi mfano Makoye hospitali wakati hata shule hajaenda. Wako wengi sana ngoja nikutajie wachache uweze kunambia wanatoa wapi pesa hizo, John Bina, Ncheye, King msukuma, Midimu, Luhuye, Batco, Super samy, Super shemu, Katagi expres, Masaba, Njiwa pori, Ndege sera bila kumusahau bwana mdogo Frester naye siku hizi ni hatari ni moto mwingine ule hata kuna yule dogo anayemiliki kumbi za harusi pale Sinza kwa Remy karibu na Mori ndo hao hao kumbi hizo zinaitwa Kwalalumpa hao nimekujia wachache tena ambao hawajasoma bado Kariakoo nako wamejaa.
Swali wanapataje pesa hizo?
Shule haileti pesa,Kwanini watu hawa wana pesa nyingi sana wakati hata shule hawajaenda pesa hizi wanazitoa wapi? Kwa mfano mabasi yote ya Mwanza Bukoba ni yao ukitoa machache ya waarabu. Mabasi yote ya mwanza Mbeya ni yao na hawajaenda hata shule wanatoa wapi pesa hizo. Wanapata wapi hela za kujenga maghorofa na kumiliki mitaa iliyojaa maghorofa mfano mzuri kwa mkoa wa Mwanza kuna mzee Shinyanga anamiliki mtaa wa uhuru uliojaa maghorofa yake pekee.
Wanatoa wapi ujanja wa kumiliki hospitali zao binafisi mfano Makoye hospitali wakati hata shule hajaenda. Wako wengi sana ngoja nikutajie wachache uweze kunambia wanatoa wapi pesa hizo, John Bina, Ncheye, King msukuma, Midimu, Luhuye, Batco, Super samy, Super shemu, Katagi expres, Masaba, Njiwa pori, Ndege sera bila kumusahau bwana mdogo Frester naye siku hizi ni hatari ni moto mwingine ule hata kuna yule dogo anayemiliki kumbi za harusi pale Sinza kwa Remy karibu na Mori ndo hao hao kumbi hizo zinaitwa Kwalalumpa hao nimekujia wachache tena ambao hawajasoma bado Kariakoo nako wamejaa.
Swali wanapataje pesa hizo?
Mmiliki ni kijana mdogo wa makamo, Meku/ Mangi mwenzio kwa jina la mwanzo la Fred na mkewe Ester likapatikana jina Frester.Hayo mabasi ya Frester ajali nyingi sana. Ndo maana nikauliza wanaomfahamu huyo mmiliki, usikute ni makafara!
Wiki iliyopita, limeuwa vijana wawili eneo la Katongo kata ya Rulanda wilaya ya Muleba mkoa wa Kagera. Naskia kuna ajali nyingine tena ya mabasi hayo imeuwa watu!
Paulo Ng'wani huyo mzee ni nan? utajiri wake ni upi? mtoto wake ni rafiki yake uncle wangu wamesoma wote hapo Udsm civil engineerumemsaha paulo n'gwani na bashite
Sio kweli wote ni kanda ya ziwa, Njombe, Mbeya na Iringa wapo wengi sana wanamiliki fedhaOky sawa lakin kwanini wwnakuwa ni watu wa sehemu moja kwanini wote ni sukuma