comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 6,446
- 11,504
- Thread starter
- #21
KABLA hajaanza kuwakosoa nyie watekaji hizo video hazikuwepo?Halafu Haji Manara haja sema uongo ameweka clip alizo zungumza Gwajima mwenyewe.
Kwanini mnateka watu?
KABLA hajaanza kuwakosoa nyie watekaji hizo video hazikuwepo?Halafu Haji Manara haja sema uongo ameweka clip alizo zungumza Gwajima mwenyewe.
Kwa maana yake hiyo, Gwajima na polepole hata waone uchafu gani hawatakiwi kusema, hizo ndio akili zake zilipoishiaKwahiyo kwasababu hawakusema wakati ule, hata sasa hawatakiwi kusema? No wonder tunashabikia watu kuumizwa na matendo ya serikali kwasababu tu hayatuhusu
We ng'ombe kweli! wenzio wanatengeneza pesa kwenye dini, wewe umebeba chuki kwa bindamu wenzio eti kisa dini. Acha kuangalia mambo kidini.Chuki ya uislam dhidi ya ukristo.Gwajima angekuwa muislam usingesikia wanafungua midomo yao.
we kichaa Nyamshongoma jibu swali hilo
Nimeshangaa kuingizwa hoja ya kidini katika hili, Haina mantiki kabisa.Halafu Haji Manara haja sema uongo ameweka clip alizo zungumza Gwajima mwenyewe.
Hawa watu nawamaind Sana, ndio mana nasema hawa watu hata siku Raisi auwe mtu hadharani bado watamsifiaHao machawa lazima wafanye hivyo maana wanajua Kula Yao ndipo ilipo Kula Yao inategemea kuwalamba viatu wenye pesa na wenye mamlaka
Kupanga ni kuchagua.atakujibu baba ake wa kiroho
Kwa nini umewahi kuandika nilichotaka kuandika? Naunga mkono hoja. Tanzania ukijua kucheza na upepo hufi njaa. Manara ni mmoja ya ''wajanja'' wa mjini wanaoishi kwa kusoma upepo na kuishi accordingly..... Ulisikia tena yule ponjoro wa Kinondoni alivyosema kuhusu mtoto ''dear'' wa mama! Hawa wote wanaitwa bootlickers...Hao machawa lazima wafanye hivyo maana wanajua Kula Yao ndipo ilipo Kula Yao inategemea kuwalamba viatu wenye pesa na wenye mamlaka
Cause we're all GT 😁😁Kwa nini umewahi kuandika nilichotaka kuandika? Naunga mkono hoja. Tanzania ukijua kucheza na upepo hufi njaa. Manara ni mmoja ya ''wajanja'' wa mjini wanaoishi kwa kusoma upepo na kuishi accordingly..... Ulisikia tena yule ponjoro wa Kinondoni alivyosema kuhusu mtoto ''dear'' wa mama! Hawa wote wanaitwa bootlickers...
Vipi na wewe tukikuita ng'ombe?Kwani hizi ng'ombe Gwajima na Polepole kipindi cha mwendazake walikuwa wapi?, wasilete unafki wa kisasa since wao ni wana CCM na wao ni virus tu, wasione bimother wao hawapi posho wakajifanya masihi
shega tuVipi na wewe tukikuita ng'ombe?
😁😁🤣 Sio yeye tu kina Yesu na Muhammad hizo ndio ilikuwa zao yeye karithi tu alicho Iga Toka Kwa marole model wakeIla Gwajima kuwachukua wale wabeba cement na kutuambia ni misukule kafufua alitupiga sana. Toka mambo ya technology yakuwe kaachana nayo kabisa ile mbinu
Hahaha watekaji tena, kwahiyo tunaaza kupangiana vya kupost?KABLA hajaanza kuwakosoa nyie watekaji hizo video hazikuwepo?
Kwanini mnateka watu?
Hebu amuache apumue ya serekare hajamalizana nayo!!!