comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 6,446
- 11,504
mbingu ya wapi?Anamchokoza jasusi la mbinguni?
Hata Mimi nilitaka niseme,zeruzeru apuuzwe tu...Watu wakimtukana Kwa muonekano wa rangi Yake asilalamike anaonewa.
Chuki ya uislam dhidi ya ukristo.Gwajima angekuwa muislam usingesikia wanafungua midomo yao.Haya madhaifu Yake hakuyaona kabla Gwajima hajaamua kua mkweli na kupinga utekaji? Inamana Gwajima asingetoka hadharani kupinga utekaji Manara asingempiga vita, kosa la Gwajima NI kukosoa serikali na kukemea utekaji.
Inamana watu kama wakina Manara na Steve Mengele wanafurahia watu kutekwa, maana Jana Mengele ameongea kumshambulia polepole, kwanini Wana CCM kila anaekosoa mabaya ya serikali na kukemea utekaji anakua adui Yao?
Watu wakimtukana Kwa muonekano wa rangi Yake asilalamike anaonewa. View attachment 3427957
Manara ni attention seekerHaya madhaifu Yake hakuyaona kabla Gwajima hajaamua kua mkweli na kupinga utekaji? Inamana Gwajima asingetoka hadharani kupinga utekaji Manara asingempiga vita, kosa la Gwajima NI kukosoa serikali na kukemea utekaji.
Inamana watu kama wakina Manara na Steve Mengele wanafurahia watu kutekwa, maana Jana Mengele ameongea kumshambulia polepole, kwanini Wana CCM kila anaekosoa mabaya ya serikali na kukemea utekaji anakua adui Yao?
Watu wakimtukana Kwa muonekano wa rangi Yake asilalamike anaonewa. View attachment 3427957
Hivi hapa Haji kamshambulia au kukumbusha alicho wahi kusema Gwajima? Au mimi ndio sijaelewa?Haya madhaifu Yake hakuyaona kabla Gwajima hajaamua kua mkweli na kupinga utekaji? Inamana Gwajima asingetoka hadharani kupinga utekaji Manara asingempiga vita, kosa la Gwajima NI kukosoa serikali na kukemea utekaji.
Inamana watu kama wakina Manara na Steve Mengele wanafurahia watu kutekwa, maana Jana Mengele ameongea kumshambulia polepole, kwanini Wana CCM kila anaekosoa mabaya ya serikali na kukemea utekaji anakua adui Yao?
Watu wakimtukana Kwa muonekano wa rangi Yake asilalamike anaonewa. View attachment 3427957
we tulia wewee, hili suala halijakaa kidini umeelewa we bwege, kwani hao maaskofu kama chizi gwajima kipindi cha utawala wa jiwe walikuwa wapi?...Chuki ya uislam dhidi ya ukristo.Gwajima angekuwa muislam usingesikia wanafungua midomo yao.
Kwani Gwajima baba yako hata uumie akishambuliwa na Haji Manara.Watu wakimtukana Kwa muonekano wa rangi Yake asilalamike anaonewa.
Hivi Steve Nyerere nae ni muislamu?Chuki ya uislam dhidi ya ukristo.Gwajima angekuwa muislam usingesikia wanafungua midomo yao.
At least una point hawa wengine naona wana leta cheap points.Kwani hizi ng'ombe Gwajima na Polepole kipindi cha mwendazake walikuwa wapi?, wasilete unafki wa kisasa since wao ni wana CCM na wao ni virus tu, wasione bimother wao hawapi posho wakajifanya masihi
Halafu Haji Manara haja sema uongo ameweka clip alizo zungumza Gwajima mwenyewe.Hivi Steve Nyerere nae ni muislamu?
atakujibu baba ake wa kirohoKwani Gwajima baba yako hata uumie akishambuliwa na Haji Manara.
we kichaa Nyamshongoma jibu swali hiloHivi Steve Nyerere nae ni muislamu?
Kwahiyo kwasababu hawakusema wakati ule, hata sasa hawatakiwi kusema? No wonder tunashabikia watu kuumizwa na matendo ya serikali kwasababu tu hayatuhusuKwani hizi ng'ombe Gwajima na Polepole kipindi cha mwendazake walikuwa wapi?, wasilete unafki wa kisasa since wao ni wana CCM na wao ni virus tu, wasione bimother wao hawapi posho wakajifanya masihi