Kwanini Dotto Magari anamuogopa Askofu Gwajima

Kwanini Dotto Magari anamuogopa Askofu Gwajima

Imekuaje Steve Nyerere hajaitisha press kumjibu Gwajiboy? Si kawaida yake kukaa kimya.
 
Billnass kafanyje??
Aisee…penyewe alitajwa kibahati mbaya tuu…lakin watu wame spot…tuishie hapa…files zikishushwa hapa tutafika mpaka kule kwenye utani wa jadi…nchi ngumu hii…
 
Siku dotto magari akishupaza bichwa lake basi ukweli wa wezi simu kinondoni,madawa,utapeli utajulikana.

Msiwe mnajisahau ndio maana bill nasi kawa mkimya anafahamu shukuru Nandy
Anamuogopa kwa sababu alishapigwabiti kuwa siku akiongea juu ya Gwajima basi ndiyo siku yake ya mwisho kuishi duniani.
 
Back
Top Bottom