Aisee, zamani nilikuaga naangalia kiuononi kwanza kama kuna mkanda wa jeshi, ila kumbe miguuni napo kuna alama.
Nimekumbuka miaka ya zamani kidogo nikiwa migodini huko chunya nilipata kabinti keupe kazuri sana, ila sasa ile tumezagamuana na mie style zangu za kukunja kunja nikafikia hatua...
Ujumbe wangu kwangu Dotto Magari, haya majaribu unayopitia ya kuhusishwa Kwamba umeathirika na Virusi vya UKIMWI ni mpango wa MUNGU ambao amekuandalia katika Maisha yako Kwamba ipo siku haya yatatokea.
Mimi nikushauri Mdogo wangu usikate tamaa ugali wako na familia yako hakuna atakayelisha...
Ujumbe wangu kwangu Dotto Magari, haya majaribu unayopitia ya kuhusishwa Kwamba umeathirika na Virusi vya UKIMWI ni mpango wa MUNGU ambao amekuandalia katika Maisha yako Kwamba ipo siku haya yatatokea.
Mimi nikushauri Mdogo wangu usikate tamaa ugali wako na familia yako hakuna atakayelisha...
Nimeona mwanaharakati Cherry Hollister amechapisha ujumbe mzito unaomlenga Dotto Magari, ambapo ametoa madai mbalimbali dhidi yake. Miongoni mwa madai hayo, ni kuwa Dotto anaishi na virusi vya UKIMWI na pia anaambukiza mabinti wa watu makusudi.
Beef hii ilianzia wapi? Nani alianza? Kuna tukio...
Leo umenigusa sana britanicca uchungu wa hii nchi.
Nikaona na mimi nikupe nacho kiona kanda ya ziwa.
Kuwa tajiri kanda ya ziwa ni kugusa tena ukiwa kama polisi, idara ya madini, ardhi na wengine ambao wanahusika.
Jambo ulilo lisema mpaka watu wanaweka airport zao wakisafirisha ni kwamba pesa...
Mnafaili mengi naye ila mnapompeleka kuna siku wana anawauza tena anawauza kwa kupenda sifa.
Siku zake zinakaribia sio kwenye kutetea CCM na utawala wake ila hapo hapo mwambie hisa tambuu anaweza kumponza.Huyu dotto magari sijui kama anaelewa kuna mafia na mafia wanamuangalia hapo alipo
Dotto magari ni sumu ambayo imeshawaingia wazazi na vijana ambao nao mbeleni kwa hali iliyopo sasa ya ziaka kuwa wasomi hawana mafanikio ni hatari.
Hatari ni kama wasomi wanamaliza ni wengi hupatikanaji wa ajira ni mgumu,wakupendeleana na wa kujuwaana.
Hatari hii sasa wazazi wengi na vijana...
“Hakuna tajiri anakaa porini mi navyojua mtu akiwa na hela anatoka porini anakuja mjini uanza maisha mapya, hao sijui matajiri wa Nyamongo sijui Mwanza, Geita mnatuchosha, kwanini mnapenda kujisifia matajiri wako huko?"
"Kuna tajiri sasa huko Geita? Huko kuna watu wa kushinda kwenye mashimo...
Kuna watu wawili watatu wamenionyosha video clip za huyu Dotto Magari na boss wake Issa Tambu sijui wakitaniana na kucheka au wakifanya comedy
Watu walionionyesha hizo video clips inaonekana wao zimewabamba sana. Mimi sikuona kitu cha kufurahisha kama utani au kuchekesha kama comedy zaidi ya...
Kulinda hadhi ya chama hawa watu wawili hawakupaswa hata kusogelea ofisi ya chama
Ningekuwa muhusika nisingewapa hata fomu,ningewafukuza kama mbwa mwizi
Mfanyabiashara wa magari maarufu Dotto Magari amechukua fomu y kugombea ubunge jimbo la kinondoni kupitia chama cha mapinduzi CCM. kupitia ukurasa wake wa instagram Dotto amethibitisha akichuka fomu nakuandika maneno haya
"ni muda wa kumsaidia mama kuwatumikia wananchi wa jimbo la kinondoni"
Siku Dotto Magari akishupaza bichwa lake basi ukweli wa wezi simu Kinondoni, dawa, utapeli utajulikana.
Msiwe mnajisahau ndio maana bill nasi kawa mkimya anafahamu shukuru Nandy
Nimemsikia mbunge mmoja mwanamke wa vitu maalumu akiwaonya Wakenya dhidi ya kejeli na matusi yao kwa mamlaka za Tanzania akiwapa tahadhari kama wanajua matusi sana basi tutawapa Dotto Magari wapambane naye!
Niwaambie tu wabunge wasithubutu kufanya hivyo, tutaaibikia zaidi. Mfumo tu wa maisha...
Bunge la tanzania ni hatari kwa baadae sababu wapo karibu na hospitali ya vichaa .ambao wao wana bunge vichaa wana mirembe.
hivi hawa wabunge zimo kweli.
Kwa nini: mada hii imetaka kubadilishwa na kuwa kama vpn mods.
Kwani tuna tunga hapa
Mlifanya maandamano na mikutano ya kufa mtu mkishinikiza serikali isiingie ubia na wawekezaji, mlijifanya nyie mnajua sana sheria kuliko mawakili wa serikali, kila inachokifanya serikali kwenu hakuna zuri.
Suala la mkataba wa Bandari ndilo lilimpa umaarufu Mwabukusi hadi leo amekuwa Rais wa...
Nilienda bank ya nmb kwa lengo la kupata huduma flani ya kifedha. Kwenye ATM pale nikaona msururu wa watu wamejipanga kutaka kutoa pesa.nikadodosa nikaambiwa wengi wao ni walimu mishahara imetoka, nikafanya utafiti wa tofauti ya kutoa pesa kwenye ATM na kwa wakala ni how much nikaona tofauti ni...
Wasalaam.Kumekua na tabia siku hizi hasa kwa wale waliofanikiwa kimaisha kwa njia tofauti na kisomo kuwabeza waliosoma kwamba si chochote.
Mfano kuna mtu anaitwa Dotto Magari na Mbunge Msukuma.
Hawa wanaponda sana watu walio na Elimu kwamba haina faida.
Najiuliza wakienda Hospitali hao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.