Kwanini Diaspora wa USA huwa wengi wao ni kama wana matatizo ya afya ya akili?

Kwanini Diaspora wa USA huwa wengi wao ni kama wana matatizo ya afya ya akili?

Hasira pia inahusishwa na akili nyingi.

Watu wenye akili kubwa wanakuwa na hasira sana kwa sababu wanaona ujinga mwingi.

Wewe mjingamjinga huwezi kuwa na hasira sana kwa sababu huna akili ya kuona ujinga mwingi unaokuzunguka.

Ukiona unazungukwa na matatizo mengi halafu huna hasira ujue una akili ndogo.

Pengine hata hujui kuwa unazungukwa na matatizo mengi, kwa sababu una akili ndogo.
Hii comment ni ya hadhi ya five star ⭐ hotel.

Kaka kiranga usichoke ku brush Hawa watu by the way umewazidi in all sphere of life..
 
Inasikitisha sana kuona watu waliosoma elimu ya juu ni kama wamechanganyikiwa na kuwa na msongo wa mawazo hali inayowafanya kuwa na hasira muda wote. Kuna tatizo gani huko Marekani?

Kuna ndugu yetu alienda kama mwanamichezo mwaka 1990 ila kila akijaga bongo likizo mwonekano wake ni kama kibaka na hela hana. Yaani utakuta kavaa Tshirt na jeans kama kijana fulani pale Manzese. Kupitia yeye nikawa ninadhani ukienda Marekani lazima uharibikiwe tabia.

Ni kwamba Marekani maisha ni magumu sana hadi ndugu zetu wanakuwa na stress muda wote? Yaani mfano Mange Kimambi na ndugu yetu wa humu kina Nyani Ngabu na Kiranga huwa wana hasira muda wote. Tatizo ni nini?

Kwa mtu anayejua sababu za diaspora wetu wa USA kuwa na msongo wa mawazo tafadhali wape neno la faraja kwenye comment.
Ndugu yako ha reflect diaspora wote , wapo waliofanikiwa na wanafanya vizuri

Nilibahatika kukutana na doctors, engineers, tuna wakufunzi mpaka wa vyuo vikuu na ni wabongo

Kipindi fulan nikiwa huko , america ukienda bila mipango utapigika na kuchanganyikiwa sana
Haswa wazamiaji bila plan
 
Ndugu yako ha reflect diaspora wote , wapo waliofanikiwa na wanafanya vizuri

Nilibahatika kukutana na doctors, engineers, tuna wakufunzi mpaka wa vyuo vikuu na ni wabongo

Kipindi fulan nikiwa huko , america ukienda bila mipango utapigika na kuchanganyikiwa sana
Haswa wazamiaji bila plan
Hata mimi sijasema wote.
 
Duh! Kwani diaspora wa marekani wamekukosea nini mdau?!
Mbona iko personal sana hii?!
 
Inasikitisha sana kuona watu waliosoma elimu ya juu ni kama wamechanganyikiwa na kuwa na msongo wa mawazo hali inayowafanya kuwa na hasira muda wote. Kuna tatizo gani huko Marekani?

Kuna ndugu yetu alienda kama mwanamichezo mwaka 1990 ila kila akijaga bongo likizo mwonekano wake ni kama kibaka na hela hana. Yaani utakuta kavaa Tshirt na jeans kama kijana fulani pale Manzese. Kupitia yeye nikawa ninadhani ukienda Marekani lazima uharibikiwe tabia.

Ni kwamba Marekani maisha ni magumu sana hadi ndugu zetu wanakuwa na stress muda wote? Yaani mfano Mange Kimambi na ndugu yetu wa humu kina Nyani Ngabu na Kiranga huwa wana hasira muda wote. Tatizo ni nini?

Kwa mtu anayejua sababu za diaspora wetu wa USA kuwa na msongo wa mawazo tafadhali wape neno la faraja kwenye comment.
Wewe ndiyo mwenye shida ya afya ya akili mjinga wewe usiyejua hata haki yako ya msingi. Huyo mama anawaziba makalio yenu ndiyo maana akili zenu zinakuwa hazipo. Mtanzania yeyote anayekaa nje ya nchi hata hapo Kenya ana akili za kutosha, wanashindwa kuwaelewa mnakaa kwenye mavumbi halafu bado mnajifanya mna akili...wapumbavu nyie, shida zimewajaa hadi kwenye kope za mimacho yenu. Kwa taarifa yenu, watanzania walio nje wamefunguka macho siyo kama nyie.
 
Back
Top Bottom