Kwanini CHADEMA wameamua kumpuuza Makonda?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
877
4,105
Chadema wameamua kumpuuza Makonda. Hakuna kiongozi wa CDM anayeangaika na maelekezo yake. Matokeo yake hata mazungumzo yake na vyombo vya habari hayana comments wala hakuna aliyeyapa attention .

Je hii ni style mpya yakutoshirikiana naye wala kumpa mada zakupambana nazo? Tumemsikia leo anawaomba upinzani waende wakafanye mikutano, kwanini leo wakati aliwahi kuwakataza wapinzani wasifanye siasa wakati akiwa mkuu wa Mkoa? Je maendeleo ya kipindi kile na ya sasa yana utofauti? Nini anachotafuta kwa wapinzani? Kwanini atake ligi nao? Kwanini asifanye ligi na CCM ?Je, ukimya wa upinzani unamuumiza nini?
 
Chadema wameamua kumpuuza Makonda. Hakuna kiongozi wa CDM anayeangaika na maelekezo yake. Matokeo yake hata mazungumzo yake na vyombo vya habari hayana comments wala hakuna aliyeyapa attention .

Je hii ni style mpya yakutoshirikiana naye wala kumpa mada zakupambana nazo? Tumemsikia leo anawaomba upinzani waende wakafanye mikutano, kwanini leo wakati aliwahi kuwakataza wapinzani wasifanye siasa wakati akiwa mkuu wa Mkoa? Je maendeleo ya kipindi kile na ya sasa yana utofauti? Nini anachotafuta kwa wapinzani? Kwanini atake ligi nao? Kwanini asifanye ligi na CCM ?Je, ukimya wa upinzani unamuumiza nini?
Ukikimbizana na kichaa aliyeiba nguo zako wakati unaoga wote mnafanana mbele za mashuhuda.
Ukimya katika kumjibu mpumbavu nalo ni jibu toshelezi!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilisema huko nyuma, Makonda alikuja kichwakichwa akadhani bado wapinzani watakuwa na muda wa kupoteza kwenye siasa za kiki. Bahati nzuri wapinzani ni kama wamemstukia na kumpuuza. Waliompa kazi walitegemea atakuja kuset ajenda za wapinzani, akawa anawataka wajibizane naye ili aonekane anafanya kazi aliyotumwa kwa ufanisi.

Ushauri wangu, wapinzani wasipoteze muda wa kujibizana na huyo muhalifu. Huyo anapaswa kuwa jela, sio kufanya siasa majukwaani. Chini ya utawala wa Magufuli, Makonda ni moja ya wanaccm waliofaya siasa chafu Hadi kupotezea siasa za ushindani mvuto. Na sababu hasa ya kuzipotezea mvuto ni katika kushuritisha ccm ionekanane inakubalika sana. Kwa Sasa ccm imebaki yenyewe ikitamba lakini haina mvuto, na watu wamezipuuza siasa, wameona Bora mpira sio hizo siasa chafu za kina Makonda.
 
Chadema wameamua kumpuuza Makonda. Hakuna kiongozi wa CDM anayeangaika na maelekezo yake. Matokeo yake hata mazungumzo yake na vyombo vya habari hayana comments wala hakuna aliyeyapa attention .

Je hii ni style mpya yakutoshirikiana naye wala kumpa mada zakupambana nazo? Tumemsikia leo anawaomba upinzani waende wakafanye mikutano, kwanini leo wakati aliwahi kuwakataza wapinzani wasifanye siasa wakati akiwa mkuu wa Mkoa? Je maendeleo ya kipindi kile na ya sasa yana utofauti? Nini anachotafuta kwa wapinzani? Kwanini atake ligi nao? Kwanini asifanye ligi na CCM ?Je, ukimya wa upinzani unamuumiza nini?
Anasema CHADEMA siyo Chama cha Upinzani bali ni Chama cha Watoa taarifa.
 
Nilisema huko nyuma, Makonda alikuja kichwakichwa akadhani bado wapinzani watakuwa na muda wa kupoteza kwenye siasa za kiki. Bahati nzuri wapinzani ni kama wamemstukia na kumpuuza. Waliompa kazi walitegemea atakuja kuset ajenda za wapinzani, akawa anawataka wajibizane naye ili aonekane anafanya kazi aliyotumwa kwa ufanisi.

Ushauri wangu, wapinzani wasipoteze muda wa kujibizana na huyo muhalifu. Huyo anapaswa kuwa jela, sio kufanya siasa majukwaani. Chini ya utawala wa Magufuli, Makonda ni moja ya wanaccm waliofaya siasa chafu Hadi kupotezea siasa za ushindani mvuto. Na sababu hasa ya kuzipotezea mvuto ni katika kushuritisha ccm ionekanane inakubalika sana. Kwa Sasa ccm imebaki yenyewe ikitamba lakini haina mvuto, na watu wamezipuuza siasa, wameona Bora mpira sio hizo siasa chafu za kina Makonda.
Ukweli ndiyo huo.
 
Nilisema huko nyuma, Makonda alikuja kichwakichwa akadhani bado wapinzani watakuwa na muda wa kupoteza kwenye siasa za kiki. Bahati nzuri wapinzani ni kama wamemstukia na kumpuuza. Waliompa kazi walitegemea atakuja kuset ajenda za wapinzani, akawa anawataka wajibizane naye ili aonekane anafanya kazi aliyotumwa kwa ufanisi.

Ushauri wangu, wapinzani wasipoteze muda wa kujibizana na huyo muhalifu. Huyo anapaswa kuwa jela, sio kufanya siasa majukwaani. Chini ya utawala wa Magufuli, Makonda ni moja ya wanaccm waliofaya siasa chafu Hadi kupotezea siasa za ushindani mvuto. Na sababu hasa ya kuzipotezea mvuto ni katika kushuritisha ccm ionekanane inakubalika sana. Kwa Sasa ccm imebaki yenyewe ikitamba lakini haina mvuto, na watu wamezipuuza siasa, wameona Bora mpira sio hizo siasa chafu za kina Makonda.

Tanzania hakuna upinzani, kuna watoa taarifa
 
Back
Top Bottom