Kwanini CHADEMA hawatoi matamko katika maswala ya Waislam?

Kwanini CHADEMA hawatoi matamko katika maswala ya Waislam?

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
9,337
Reaction score
14,335
Wakati wa mahakama ya kadhi

Swala la OIC wakati kuna Vatican hapa

Swala la masheikh na kesi. Wao wanataka waislam wawapigie kelele ktk harakati zao ?

Nimemsikia Lema leo akiwalaumu waislam hawatoi tamko ktk swala la no reform no election kwa sababu Rais muislam.

Swali lini CHADEMA imewapigia kelele madai ya waislam dhidi ya utawala?
 
Mod badilisha heading iwe hivi: kwanini chadema wanawalaumu waislam?
 
Stupid, you guys mnajikutaga kina nani hasa? Pumbafu. Why should they do for u? Yaani waachane na mambo ya msingi watu wakae na kuwafikiria watu ambao mnapenda shari? Mna kera sana
 
Stupid, you guys mnajikutaga kina nani hasa? Pumbafu. Why should they do for u? Yaani waachane na mambo ya msingi watu wakae na kuwafikiria watu ambao mnapenda shari? Mna kera sana
Mpuuzi. Leo lema kasema waislam hawapigi kelele kwenye reform no election. Yeye kapiga lini kwa ajili ya waislam?
 
Hatutaki nchi yetu ijiunge na OIC,
Hatutaki mahakama ya kadhi nchini,
Hatutaki utawala wa sharia
Na sisi hatutaki no reform no election, kila mtu abebe mzigo wake, ukimshinda auache
 
Wakati wa mahakama ya kadhi

Swala la OIC wakati kuna Vatican hapa

Swala la masheikh na kesi. Wao wanataka waislam wawapigie kelele ktk harakati zao ?

Nimemsikia Lema leo akiwalaumu waislam hawatoi tamko ktk swala la no reform no election kwa sababu Rais muislam.

Swali lini CHADEMA imewapigia kelele madai ya waislam dhidi ya utawala?
Africa mashariki ni ukanda wa Christianity hata bakwata imo
 
Ponda anatoa, lkn pia waislam hawawalalamikii chadema lkn chadema wanawawalalamikia waislam. Why?
Ponda anazungumzia zaidi waislamu kwa kutumia platform ya Chadema.

Lakini una hoja kuhusu Chadema kulalamikia waislamu maana inajenga hisia za udini bila sababu. Wanatakiwa kuacha kuangalia ushiriki wa watu kulingana na dini zao.

Amandla ..
 
Back
Top Bottom