KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 18,143
- 32,889
N huu ndio ukweli mchungu ambao CHADEMA hawautaki2015 nilikuwa nawashangaa wanaodai CCM imewauzia silaha muhim (Lowassa) CDM. Kwangu Mimi silaha muhim kuelekea uchaguzi ule ilikuwa ni kashfa za kifisadi. Ufisadi ndio ilikuwa silaha ya chama kuelekea ikulu. Kwa kumchukua Lowassa CDM iliitupa silaha hii muhim sana kwao,,, kama Dr. Slaa angegombea na Lowassa awe sapota mkubwa wa CDM JPM asingetoboa maana ana kashfa kadhaa za kifisadi lakin CDM kwa kuwa walimsimamisha Lowassa walikosa cha kusema kuhusu ufisadi na mpaka sasa hivi hawajui wafanye nini.