Je, CCM itachagua demokrasia ama utaratibu kumpitisha Samia?

Mkwawa mnyalukoro

JF-Expert Member
Oct 11, 2017
232
136
Baada ya kifo cha Rais Magufuli Chama cha Mapinduzi kimeingia katika Mtego mzito sana katika Siasa yake.

Mtego huu unatokana na Kifo cha Rais Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya tano akiwa Madarakani na kumpata Rais aliyetokana na Katiba.

Kisheria na taratibu za vyama vya Siasa Viongozi wa Kisiasa wanatakiwa wapitie katika mchakato wa chaguzi za ndani ya Chama kisha waje wagombee katika Uchaguzi unaoratibiwa na Tume ya Uchaguzi dhidi ya wagombea wengine wa vyama vya Siasa.

Rais Samia ameingia kwenye Kiti cha Urais bila kupitia mchakato huu wa chaguzi za ndani ya Chama dhidi ya wagombea wengine.

Mchakato huu wa chaguzi za ndani unasaidia Vyama kuchuja na kuruhusu wanachama kugombea ili kumpata mgombea bora zaidi miongoni mwao.

Kwa mfano
Mwaka 2015 ni miongoni mwa miaka migumu mno kwa Chaguzi za ndani ya CCM kwasababu wagombea walikuwa na nguvu kubwa ya kupitia makundi waliyoyatengeneza kwa fedha hata kufikia hatua ya Mkutano wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa kuimba jina la Lowassa badala ya kuimba jina la Mwenyekiti wa CCM wa kipindi hicho.

Uongozi wa CCM ulisimama imara na kuwaengua wagombea waliotengeneza umaarufu kwa rushwa na hatimaye wakamchagua mgombea bora miongoni mwao ambaye ni John Pombe Magufuli ili aende kupeperusha bendera yao,

Kuelekea Uchaguzi wa ndani wa CCM ili kupata wagombea watakaogombea katika Uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 CCM itafuata Sheria ama utaratibu ili kumpata mgombea Urais?

Kama CCM itafuata Demokrasia na sheria basi tutegemee Rais Samia kupata washindani wake ndani ya Chama katika kuwania nafasi ya Urais ambapo Kidemokrasia itakisaidia Chama cha Mapinduzi kumpata mwanachama bora zaidi wa kugombea nafasi hii,

Kama CCM itafuata utaratibu tutegemee kuona hakuna Uchaguzi wa ndani ya Chama katika nafasi ya Urais kwasababu Fomu itatolewa moja tu ama zitawekwa fomu za geresha na baadae kuwaengua.

Kwasababu Rais wa anayetokana na CCM ndiye Mwenyekiti wa Chama cha CCM na akishakuwa Mwenyekiti anakuwa na nafasi kubwa ya kupanga watu wake kwenye Chama kuanzia Kamati kuu, Halmashauri kuu na Sskretarieti ya CCM hivyo inafanya Chama kwa kiasi kikubwa kimtumikie Rais.

Kama CCM itafuata utaratibu wa kumuacha Rais aliyepo Madarakani agombee peke yake kwa muhula mwingine itakuwa imeweka rekodi ya aina yake na kuvunja Katiba yake kwa kuwa na Rais ambaye hajapitia mchakato wa Uchaguzi wa ndani ya Chama.

Na hili linaonekana kabisa kwa asilimia kubwa linaweza kutokea na kama likitokea litaifanya CCM itegemee dola zaidi kushinda kuliko kura za wananchi.

Una maoni gani juu ya hili?

Unaishauri CCM itumie Utaratibu ama Demokrasia kumpata mgombea Urais 2025?
 
Utaratibu ndiyo demokrasia na demokrasia ndiyo utaratibu uliokubaliwa.🙏🙏🙏
 
Kama CCM itafuata Demokrasia na sheria basi tutegemee Rais Samia kupata washindani wake ndani ya Chama katika kuwania nafasi ya Urais ambapo Kidemokrasia itakisaidia Chama cha Mapinduzi kumpata mwanachama bora zaidi wa kugombea nafasi hii,

Kama CCM itafuata utaratibu tutegemee kuona hakuna Uchaguzi wa ndani ya Chama katika nafasi ya Urais kwasababu Fomu itatolewa moja tu ama zitawekwa fomu za geresha na baadae kuwaengua,

Kwasababu Rais wa anayetokana na CCM ndiye Mwenyekiti wa Chama cha CCM na akishakuwa Mwenyekiti anakuwa na nafasi kubwa ya kupanga watu wake kwenye Chama kuanzia Kamati kuu, Halmashauri kuu na Sskretarieti ya CCM hivyo inafanya Chama kwa kiasi kikubwa kimtumikie Rais,
Demokrasia au democrazy
 
Baada ya kifo cha Rais Magufuli Chama cha Mapinduzi kimeingia katika Mtego mzito sana katika Siasa yake,
Hakuna mtego mzito wowote ambao CCM wameingia kwenye siasa zake za ndani.
Mtego huu unatokana na Kifo cha Rais Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya tano akiwa Madarakani na kumpata Rais aliyetokana na Katiba,
Hakuna mtego wowote!.
Kisheria na taratibu za vyama vya Siasa Viongozi wa Kisiasa wanatakiwa wapitie katika mchakato wa chaguzi za ndani ya Chama kisha waje wagombee katika Uchaguzi unaoratibiwa na Tume ya Uchaguzi dhidi ya wagombea wengine wa vyama vya Siasa,
Hapa uko sawa.
Rais Samia ameingia kwenye Kiti cha Urais bila kupitia mchakato huu wa chaguzi za ndani ya Chama dhidi ya wagombea wengine,
Japo ni kweli Rais Samia, ni rais by default ya kudra tuu ya Mwenyezi Mungu, lakini the fact tuu kuwa Samia alikuwa VP, then amepitia mchakato wa ndani hadi kuwa VP, na kwa uchaguzi wa 2015 na 2020, Samia Suluhu alikuwa mgombea mwenza hivyo kila aliyemchagua JPM, pia alimchagua Samia.
Mchakato huu wa chaguzi za ndani unasaidia Vyama kuchuja na kuruhusu wanachama kugombea ili kumpata mgombea bora zaidi miongoni mwao,
Ni kweli
Kwa mfano
Mwaka 2015 ni miongoni mwa miaka migumu mno kwa Chaguzi za ndani ya CCM kwasababu wagombea walikuwa na nguvu kubwa ya kupitia makundi waliyoyatengeneza kwa fedha hata kufikia hatua ya Mkutano wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa kuimba jina la Lowassa badala ya kuimba jina la Mwenyekiti wa CCM wa kipindi hicho,
Ni kweli.
Uongozi wa CCM ulisimama imara na kuwaengua wagombea waliotengeneza umaarufu kwa rushwa na hatimaye wakamchagua mgombea bora miongoni mwao ambaye ni John Pombe Magufuli ili aende kupeperusha bendera yao,
Ni kweli.
Kuelekea Uchaguzi wa ndani wa CCM ili kupata wagombea watakaogombea katika Uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 CCM itafuata Sheria ama utaratibu ili kumpata mgombea Urais?
Hili sio swali valid kwasababu CCM inao utaratibu wake unique wa msesereko kwa rais wa awamu ya kwanza, hivyo kwa uchaguzi wa mwaka 2025, wagombea wote wawili wa urais wa JMT na Zanzibar wako awamu ya kwanza, hivyo, mwaka 2025 CCM itatoa fomu moja moja tuu ya kugombea urais kupitia CCM, hakuna ushindani ni fomu moja kwa mtindo wa mserereko.
Kama CCM itafuata Demokrasia na sheria basi tutegemee Rais Samia kupata washindani wake ndani ya Chama katika kuwania nafasi ya Urais ambapo Kidemokrasia itakisaidia Chama cha Mapinduzi kumpata mwanachama bora zaidi wa kugombea nafasi hii,
Hakuna kitu kama hiki, huu utaratibu wa incumbent president kutopingwa mid way, ndio demokrasia ya CCM!.
Kama CCM itafuata utaratibu tutegemee kuona hakuna Uchaguzi wa ndani ya Chama katika nafasi ya Urais kwasababu Fomu itatolewa moja tu
Huu ndio utaratibu wa CCM.
ama zitawekwa fomu za geresha na baadae kuwaengua,
Hakuna kitu kama hiki!.
Kwasababu Rais wa anayetokana na CCM ndiye Mwenyekiti wa Chama cha CCM na akishakuwa Mwenyekiti anakuwa na nafasi kubwa ya kupanga watu wake kwenye Chama kuanzia Kamati kuu, Halmashauri kuu na Sskretarieti ya CCM hivyo inafanya Chama kwa kiasi kikubwa kimtumikie Rais,
Ni kweli
Kama CCM itafuata utaratibu wa kumuacha Rais aliyepo Madarakani agombee peke yake kwa muhula mwingine itakuwa imeweka rekodi ya aina yake na kuvunja Katiba yake kwa kuwa na Rais ambaye hajapitia mchakato wa Uchaguzi wa ndani ya Chama,
Sii kweli, huo ndio utaratibu wa ndani wa CCM!.
Na hili linaonekana kabisa kwa asilimia kubwa linaweza kutokea na kama likitokea litaifanya CCM itegemee dola zaidi kushinda kuliko kura za wananchi,
Sii kweli kuwa CCM inategemea dola zaidi kushinda uchaguzi!, CCM ni dola!
Una maoni gani juu ya hili?
Naamini umeyaona maoni yangu.
Unaishauri CCM itumie Utaratibu ama Demokrasia kumpata mgombea Urais 2025?
Huu ni utaratibu wa CCM, ambao haujitaji ushauri wa mtu yoyote, ni utekelezaji tuu wa taratibu zake!.
P
 
Ndio maana wakaita awamu ya sita ili ikifika 2025 waseme tumwachie mwenzetu ngwe yake iliyobaki, lakini ukweli ni kwamba hii ni awamu ya tano Rais wa sita.
Samia anamalizia awamu ya tano ya Magufuli,ifikapo 2025 aruhusu wagombea wengine ndani ya Chama chake,akipita Bado atakuwa na nafasi ya kugombea tena 2030.kwa majaaliwa ya Mwenyezi Mungu anaweza akatawala miaka 15.
 
Sisi Kama Chama Cha Mapinduzi tuna utaratibu Wetu wa kupata wagombea wa nafasi katika vuombo vya Dola, Kama utakumbuka awamu ya pili JPM tulichapisha fomu Moja tu kwa Ajili yake ili amalizie ungwe yake, Vivyo hivyo 2025 titachapisha fomu Moja ya Mama Samia ili nae amalizie awamu yake.

Samia Ni Rais wa JMT mpaka 2030. Period
 
Baada ya kifo cha Rais Magufuli Chama cha Mapinduzi kimeingia katika Mtego mzito sana katika Siasa yake,

Mtego huu unatokana na Kifo cha Rais Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya tano akiwa Madarakani na kumpata Rais aliyetokana na Katiba,

Kisheria na taratibu za vyama vya Siasa Viongozi wa Kisiasa wanatakiwa wapitie katika mchakato wa chaguzi za ndani ya Chama kisha waje wagombee katika Uchaguzi unaoratibiwa na Tume ya Uchaguzi dhidi ya wagombea wengine wa vyama vya Siasa,

Rais Samia ameingia kwenye Kiti cha Urais bila kupitia mchakato huu wa chaguzi za ndani ya Chama dhidi ya wagombea wengine,

Mchakato huu wa chaguzi za ndani unasaidia Vyama kuchuja na kuruhusu wanachama kugombea ili kumpata mgombea bora zaidi miongoni mwao,

Kwa mfano
Mwaka 2015 ni miongoni mwa miaka migumu mno kwa Chaguzi za ndani ya CCM kwasababu wagombea walikuwa na nguvu kubwa ya kupitia makundi waliyoyatengeneza kwa fedha hata kufikia hatua ya Mkutano wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa kuimba jina la Lowassa badala ya kuimba jina la Mwenyekiti wa CCM wa kipindi hicho,

Uongozi wa CCM ulisimama imara na kuwaengua wagombea waliotengeneza umaarufu kwa rushwa na hatimaye wakamchagua mgombea bora miongoni mwao ambaye ni John Pombe Magufuli ili aende kupeperusha bendera yao,

Kuelekea Uchaguzi wa ndani wa CCM ili kupata wagombea watakaogombea katika Uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 CCM itafuata Sheria ama utaratibu ili kumpata mgombea Urais?

Kama CCM itafuata Demokrasia na sheria basi tutegemee Rais Samia kupata washindani wake ndani ya Chama katika kuwania nafasi ya Urais ambapo Kidemokrasia itakisaidia Chama cha Mapinduzi kumpata mwanachama bora zaidi wa kugombea nafasi hii,

Kama CCM itafuata utaratibu tutegemee kuona hakuna Uchaguzi wa ndani ya Chama katika nafasi ya Urais kwasababu Fomu itatolewa moja tu ama zitawekwa fomu za geresha na baadae kuwaengua,

Kwasababu Rais wa anayetokana na CCM ndiye Mwenyekiti wa Chama cha CCM na akishakuwa Mwenyekiti anakuwa na nafasi kubwa ya kupanga watu wake kwenye Chama kuanzia Kamati kuu, Halmashauri kuu na Sskretarieti ya CCM hivyo inafanya Chama kwa kiasi kikubwa kimtumikie Rais,

Kama CCM itafuata utaratibu wa kumuacha Rais aliyepo Madarakani agombee peke yake kwa muhula mwingine itakuwa imeweka rekodi ya aina yake na kuvunja Katiba yake kwa kuwa na Rais ambaye hajapitia mchakato wa Uchaguzi wa ndani ya Chama,

Na hili linaonekana kabisa kwa asilimia kubwa linaweza kutokea na kama likitokea litaifanya CCM itegemee dola zaidi kushinda kuliko kura za wananchi,

Una maoni gani juu ya hili?

Unaishauri CCM itumie Utaratibu ama Demokrasia kumpata mgombea Urais 2025?
Hapa kwenye HII mada umewajambisha CCM na Samia kwa ujumla kwa wanafuatiliwa
 
Ndio maana wakaita awamu ya sita ili ikifika 2025 waseme tumwachie mwenzetu ngwe yake iliyobaki, lakini ukweli ni kwamba hii ni awamu ya tano Rais wa sita.
Samia anamalizia awamu ya tano ya Magufuli,ifikapo 2025 aruhusu wagombea wengine ndani ya Chama chake,akipita Bado atakuwa na nafasi ya kugombea tena 2030.kwa majaaliwa ya Mwenyezi Mungu anaweza akatawala miaka 15.
Naomba kwenye maelezo haya nipate maoni ya P Mayala
 
Dereva mwenye LESENI anapofariki akiwa njiani, ikatokea boss akamwamini utingo kuwafikisha mwisho wa safari,

Utingo akifanikiwa kuwafikisha abiria Bus terminal, anatakiwa akabidhi gari Kwa Boss Ili boss aamue nani atakuwa dereva wa gari Hilo.

Ustaarabu ni kukabidhi tu.

Tusubiri.
 
HAPA HAKUNA KUPEPESA MACHO DR. SAMIAH AMEKWISHA PITA URAIS 2025,NA NDIYE RAIS KAMILI 2025-2030.(Tusijisumbue kwa lolote)
 
Ndio maana wakaita awamu ya sita ili ikifika 2025 waseme tumwachie mwenzetu ngwe yake iliyobaki, lakini ukweli ni kwamba hii ni awamu ya tano Rais wa sita.
Samia anamalizia awamu ya tano ya Magufuli,ifikapo 2025 aruhusu wagombea wengine ndani ya Chama chake,akipita Bado atakuwa na nafasi ya kugombea tena 2030.kwa majaaliwa ya Mwenyezi Mungu anaweza akatawala miaka 15.


Rais akifa na awamu yake Imekufa ...
Hakuna Rais anaemalizia awamu ya Rais mwingine...
Awamu hii ni ya SITA ...msilazimishe vitu ambavyo havipo
 
Back
Top Bottom