Kwanini binadamu yeyote akikata roho (akifa) tu ni lazima atoe haja kubwa hata kama ni kiduchu?

sio wote na ata ilitokea ni labda haja ilkua karibu na mtu akifariki misuli mingi ulegea ikiwepo misuli ya uko nyuma( Sphincters muscles) ambayo hua inacontrol haja kutoka kwahyo automatically lazima choo kitoke kama kilikuwepo.
 
Nangoja kwa hamu sana kusoma maoni yenu ya kitaalamu enyi wajuvi wa JamiiForums, kwani nimedokezwa tendo la mwanadamu kujisaidia haja kubwa Wazaramo wanasema kuukweka) pale tu akikata roho ni la kisayansi zaidi. Hivyo nitafurahi nikielimishwa juu ya hili.
Hata Magufuli alikunya wakati anakufa ?
 
Nangoja kwa hamu sana kusoma maoni yenu ya kitaalamu enyi wajuvi wa JamiiForums, kwani nimedokezwa tendo la mwanadamu kujisaidia haja kubwa Wazaramo wanasema kuukweka) pale tu akikata roho ni la kisayansi zaidi. Hivyo nitafurahi nikielimishwa juu ya hili.
Kwasababu mavi Ndo mpango mzima
 
Sio kweli..Mimi ni mtu WA afya by professional ,Ila mtu akifanya suicide by hanging hiyo kitu hutokea ni kwababu ya relaxation ya anal sphyincter muscles during process of dying
 
Katika uislamu tunafundishwa kuwa kuna maumivu mtu anapata wakati roho inatoka. na haya tunapata wote iwe kwa mtu mwema au mtu mwenye dhambi. Na hayo maumivu huwa yanazidi au kupungua kutokana na wingi wa madhambi aliyo nayo mtu.

Na kwa mujibu wa Mtume Muhammad S.A.W maumivu ya kutoka roho mfano wake ni kama mnyama kuchunwa ngozi akiwa hai yani yale maumivu yake anayopata akichwa ngozi ndio sawa na maumivu ya kutoka roho na ikiwa anayetolewa roho ni mtu muovu maumivu ni zaidi ya hayo.

Wakati wa kufa ukifika huwa wanakuja Malaika kutoa roho yako na kuondoka nayo kuirudisha kwa Muumba wako, na wewe unaye kufa huwa unawaona na unaongea nao hao Malaika, na watu wengine wote waliokuzunguka hawaoni wala hawasikii. utayajua haya tu pale siku yako ya kufa itakapofika.

Hii ni Myth tuu haina ukweli wowote.

Mtu akipigwa RISASI ya kichwa akifa ni Sawa na Yule anayechinjwa au kuchomwa Moto?
Jibu ni hapana.

Kufa hakuumi Kama wengi wanavyofikiri.

Kinachomfanya mtu ahisi maumivu ni ubongo.
Zipo dawa au Kemikali mtu akipewa zinazuia mwili kutuma taarifa ubongoni hivyo mtu hata umchinje anaweza asihisi maumivu.

Ubongo ndio software ya Mwili unaocontrol mwili na matendo yake.
 
Nangoja kwa hamu sana kusoma maoni yenu ya kitaalamu enyi wajuvi wa JamiiForums, kwani nimedokezwa tendo la mwanadamu kujisaidia haja kubwa Wazaramo wanasema kuukweka) pale tu akikata roho ni la kisayansi zaidi. Hivyo nitafurahi nikielimishwa juu ya hili.
Si kila binadamu anapokufa lazima anye, lakini kujikojolea ni lazima, hasa kwa vifo vya kushitukiza!

Kinachosababisha yote hayo ni mwili wakati wa kufa huparalaizi na kukosa control kwa kiungo chochote kuanzia ubongo.

Mwili hujiset unavyotaka, ndiyo maana utakuta maiti kaachama, macho nje hadi umsitiri kwa kumfumba.
 
Back
Top Bottom