Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
-
- #101
Unafafanua vizuri sana mkuu. Asante kaka mkubwa. Sasa mkuu ina maana kuna baadhi ya wachina wanaagiza magari "second-hand" kutoka katika nchi zingine na kuendesha huko kwao?...Kikawaida kama China ingekuwa nchi iliyoendelea bado watu wangeweza kununua kwa wingi magari used kutoka China. Mafano ni nchi za Uarabuni. Hazitengenezi magari lakini bado ni maarufu kwa watu kwenda kununua magari used ambayo mengi yamenunuliwa mapya kutoka nchi nyingine. Lakini hali haiko hivyo kwa upande wa China kwa sababu China nayo ni choka mbaya.
Ndiyo mkuu. China japokuwa unaona ina export bidhaa kwa wingi lakini maisha ya wananchi wake bado hayako standard ya nchi zilizoendelea. Ulaya tunapigana nao vikumbo sana kwenye kutafuta maisha mazuri. Hebu jiulize kwa nini wachina wamejaa sana Bongo? Tena wameanza kuja siku hizi hizi tu. Hawa jamaa na wahindi hakuna tofauti.Unafafanua vizuri sana mkuu. Asante kaka mkubwa. Sasa mkuu ina maana kuna baadhi ya wachina wanaagiza magari "second-hand" kutoka katika nchi zingine na kuendesha huko kwao?...
Hapana China nao walikuwa wagizaji wa magari ya Ulaya sana wameingia kwenye soko la utengenezaji wa magari kwa ajili ya kuuza miaka ya hivi karibuni na taarifa kuna mawakala Tayari wa makari madogo ya kichinaKuna baadhi ya wadau humu ndani wanadai ya kwamba gari "second-hand" ya mchina inakuwa imechoka sana kiasi kwamba haifai kuja Afrika tofauti na gari ya mjapan...
ni takataka rejects to suit our income/purchasing power! Vya Swededn utavigusa? Norway? Denmark? USA? angalia Iphone , wangapi TZ wanazo?Chinese wapo katika soko la bidhaa za majumbani...
Gari zote zinazo agizwa na Wachina sio za bei ndogo wala mchina mwenye kipata cha kawaida hawezi agiza gari ya nje ya China!Unafafanua vizuri sana mkuu. Asante kaka mkubwa. Sasa mkuu ina maana kuna baadhi ya wachina wanaagiza magari "second-hand" kutoka katika nchi zingine na kuendesha huko kwao?...
Kila nchi inajaribu kuzalisha bidhaa kwa gharama nafuu ili kupata soko kubwa. Kwa mfano, China inatengeneza samani, compyuta, nguo, vifaa vya umeme n.k. ambavyo vinauzika sana Afrika. N pia bei zake si kubwa kama za bidhaa nchi za Ujerumani, Uingereza au Ilatia.Mchina gari ndogo hana matoleo mengi kuna hizo Great Wall,Foton, Haval.
Kwa Africa tumezoea Second Hand Car, mchina gari take ukinunua second hand inabidi ujipange ni nzuri Kwa mtumiaji wa Kwanza.
Na kwa kuongezea labda kwa kuwa ni rahsi kuyatamka kama vile unaongea kimatumbiLabda wa sababu barabara nyingi za Afrika zinafadhiliwa na pesa za Wajapani ndio maana wanataka magari yao pekee ndio yapite katika barabara hizo.
Sina uhakika lakini nimeotea tu.
Mkuu, kwani mchina hawezi kutengeneza gari za dola 3,000 akauza Afrika?...Kila nchi inajaribu kuzalisha bidhaa kwa gharama nafuu ili kupata soko kubwa. Kwa mfano, China inatengeneza samani, compyuta, nguo, vifaa vya umeme n.k. ambavyo vinauzika sana Afrika.
Sawa mkuu tunawakaribisha sanaSiku sio nyingi mtayaona magari ya Kichina kila mahali barani Afrika ndio wameanza kuya uza kwa speed tofauti na ya Ulaya yao yatakuwa mapya
Sawa mkuu...Wamechelewa kutoa magari ndio maana.
Kama wangeteka soko hakika spare zingepatikana mkuu. Hawana soko, hawana spare piaWatu tushazoea kampuni zinazotambulikana kimataifa unajua angalau spea mitaani unapata.
Labda ndio sababu kuu...Labda hazipo imara
Ndio tatizo kubwa hiloKama wangeteka soko hakika spare zingepatikana mkuu. Hawana soko, hawana spare pia
Sawa mkuuNdio tatizo kubwa hilo
Rafiki yangu mbona unatuchokoza lakini hebu acha tuyatumie. Ni makusanyo tu yandaniIla zile Foton SUV wanazotumia maRPC inaonekana ziko poa na bei nafuu, sijui zilikuwa ni msaada au manunuzi yetu tu. Mwenye uzoefu nazo azielezee, hata kama ni RPC wewe zielezee tu.
M-TAG mwijage n viwanda vyake 3000 kila mkoa.Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu Jamiiforums.
Ndugu zangu watanzania;
Kwanini bidhaa nyingi zinazoagizwa kuja barani Afrika (Tanzania) zinatokea China isipokuwa magari ambayo yanatokea Japan?
View attachment 1634465
Ukiwa upo katika foleni ya magari barabarani, jaribu kufanya tathmini ya haraka haraka kwa kuangalia tu kwa macho kisha utagundua hizi ninachokisema.
Utagundua ya kuwa 98% ya gari zilizopo hapo ni za kutoka Japan (Toyota, Honda, Nissan, Suzuki, Mazda, Mitsubishi, Subaru, Isuzu) lakini bidhaa zingine madukani ni za kutoka nchini China. Why this? What's wrong with chinese automobile industry?
TAKWIMU NDOGO YA BIASHARA BAINA YA CHINA NA AFRIKA KWA MWAKA 2019
=====
According to statistics from the General Administration of Customs of China, in January-June, China’s total import and export volume with Africa was US$101.86 billion, up 2.9% year on year, exceeding the overall growth rate of foreign trade in the same period by 4.9 percentage points.
View attachment 1634490
Among these, China’s exports to Africa were US$52.86 billion, up 5.2% year on year and China’s imports from Africa were US$49.00 billion, up 0.5% year on year; the trade surplus was US$3.86 billion, up 159.0% year on year.
In June, China’s total import and export volume with Africa was US$17.09 billion, up 2.3% year on year. Among these, China’s exports to Africa were US$9.29 billion, up 0.3% year on year; China’s imports from Africa were US$7.79 billion, up 4.7% year on year; the trade surplus was US$1.50 billion, down 17.6% year on year.
In January-June, the growth rate of China’s trade with Africa was lower than those with Oceania(6.2%) and Europe(3.9%).
=====
View attachment 1634489
Kwanini magari kutoka China sio bidhaa maarufu hapa Africa (Tanzania) kama bidhaa zingine (domestic products) zilizojaa katika masoko/maduka yetu?
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Mhhh, sawa boss...M-TAG mwijage n viwanda vyake 3000 kila mkoa.