mendex
Senior Member
- May 13, 2015
- 171
- 272
Unawezaje kuzuia mkutano ambao rais yumo? Rais wastaaf wamo? Serikal yote kwa ujumla imo? Kuwepo kwa rais tu kwenye mkutano wa tar 23 ni jawabu tosha kwamba shughuli ile ni ya chama lakini muda huohuo ni ya serikali.. rai yangu tu vijana wenzangu msikubali kupelekeshwa kwenda dodoma kuleta vurugu ilihali mwenye nchi yupo eneo husika,, huo ni uhaini.. kama walimletea vurugu bungen kipind anataka kuhutubia bunge akanyamaza basi msijaribu kuleta vurugu akiwa kikaon,, mjiulizs tu mbona walivyoambiwa watoke bungen cku ya kuhutubia bunge wakatoka c wangebakia basi kama kwel wao ni front line.. vijana wenzangu lalen makwenu msipende kupelekeshwa hovyohovyo mtakuja kuuumia bure.... Msijaribu kuleta vurugu dodoma