Kwanini BAVICHA wanakwenda Dodoma?

Kwanini BAVICHA wanakwenda Dodoma?

Nawaza hiyo modality watakayoitumia BAVICHA kuwazuia CCM wasifanye mkutano ambayo haitakua na viashiria vya uvunjifu wa amani.
 
mlicho nyimwa na Mungu ni uwezo wa kufikiria vizuri!!!! poleni sana, mikutano ya ndani ya vyama haijazuiliwa. sasa ukisema makongamano ni mikutano ya ndani nitakuelewa
 
Mlisema chadema mtafanya mikitano kwa nguvu ,lakini hadi leo kimya! mlisema mtaandamana hadi Leo kimya, mlisema mtalinda kura hakuna hata mmoja aliyejotokeza, Leo mmekuja na nyimbo mpya , nakuhakikishia hyo tarehe 23 hakuna hata bavicha mmoja atayeenda huko, NARUDIA; HAKUNA HATA BAVICHA MMOJA ATAYETHUBUTU KWENDA HUKO!!

Yawezekana wasiende mkuu! Ila mpaka sasa baada ya kupambanua hivyo tayari wameshapeleka ujumbe kwa watanzania ili kuona madhara ya maamuzi ya ghafla! Maana huwa mara zote yanapelekea double standards kama hizi. Ukikata kuti ulilokalia elewa kuna hatihati ya kuanguka nalo.

Tafsiri yake kwa hili ni kuwa ukiwa mwanasiasa alafu ukapiga marufuku siasa kwa muda wote huo yumkini marufuku yako itakuja kukukwamisha maana ni sawa na pilot anaezuiwa kurusha ndege ilhali umahiri na uzoefu wa pilot unapimwa katika masaa yake yote ya kiujumla anapokuwa angani kwa kila safari anayorusha ndege.

Hawa vijana wanaweza wakapigwa wakavunjwa miguu lakini ulimwengu ndio utakuwa mtetezi wao kwa kulinganisha na order iliotolewa na mkuu.
 
Mtoto wa kambo hawezi kuwa sawa na mtoto wa mama hata kdogo. Ninyi ni wakambo tu mkijarbu kumuiga mtoto wa mama lazima iwacost tu jaribu muone
 
BAVICHA wakivunjwa miguu na polisi watakuwa wamejitakia.

Waliopiga marufuku ni polisi sasa hao BAVICHA ni polisi? Kazi ya kusimamia hilo agizo ni la hao waliolitoa.Sasa BAVICHA wanaposema wataenda kuzuia wao kama nani? Polisi ndio wenye mamlaka ya hilo swala

Ushauri wangu kwa BAVICHA ya Ngoswe mwachie ngoswe. Hiyo kazi sio ya BAVICHA kisheria. Wasipende kuingilia kazi zisizokuwa zao.
 
Kuiruhusu ccm kufanya mkutano wakati serikali imepiga marufuku shughuli zote za siasa, ni kwamba ccm wanataka kuithibitishia umma kuwa nchi hii kuna udikteta uchwara.

Kama kweli ccm wataruhusiwa kufanya mkutano wakati kuna katazo la serikali, Polisi watatakiwa watuthibitishie kuwa CCM siyo chama siasa, bali NGO
 
Mlisema chadema mtafanya mikitano kwa nguvu ,lakini hadi leo kimya! mlisema mtaandamana hadi Leo kimya, mlisema mtalinda kura hakuna hata mmoja aliyejotokeza, Leo mmekuja na nyimbo mpya.

Nakuhakikishia hyo tarehe 23 hakuna hata bavicha mmoja atayeenda huko.

NARUDIA; HAKUNA HATA BAVICHA MMOJA ATAYETHUBUTU KWENDA HUKO!!
Hoja yako ni ipi? Mkutano huo ni halali? Mikutano ya vyama vingine je?
 
Hivi hakuna namna ya kuomba zuio mahakamani? Nadhani hilo ndo salama zaidi.
 
Mimi kuna kitu uwa sielewi hivi kuwa kiongozi chadema lazima utokee kaskazini?

Mwenyekiti Mbowe wa huko huko, mwenyekiti baraza wanawake Mdee wa huko huko.. Jana nimeshangaa huyo mwenyekiti wa Bavicha kavaa kimasai kabisa yani hiki chama na yule dogo aliyekuwa mwenyekiti wa kuchaguliwa ni kama kapinduliwa tayari majukumu yote sasa kapewa mkaskazini mwenzao.

Aisee awa jamaa wakigusa Dodoma hakuna rangi wataacha kuiona watataja koo zao zote za mareale mushi msuya ndossi mpaka ukoo wa mleta mada malisa.

Una ruhusa ya kuandika ubaguzi wa aina yoyote as far as you are on the ccm's side, na kwakuwa haudaiwi VAT kuandika ugwadu kama huu ruksa mkuu, ila ingelikuwa ubaguzi huu umeandikwa na ambaye yupo against ccm nadhani mod angekwishafanya yake humu.

Tunataka kujua ccm wanaruhusiwa kufanya mikutano ya siasa kwa kibali kipi? Je ccm sikuhizi siyo chama cha siasa? Ama wamakuwa NGO?
 
Kama hujui jambo nyamaza,wewe ni Bure kabisa dada angu
Mimi kuna kitu uwa sielewi hivi kuwa kiongozi chadema lazima utokee kaskazini?

Mwenyekiti Mbowe wa huko huko, mwenyekiti baraza wanawake Mdee wa huko huko.. Jana nimeshangaa huyo mwenyekiti wa Bavicha kavaa kimasai kabisa yani hiki chama na yule dogo aliyekuwa mwenyekiti wa kuchaguliwa ni kama kapinduliwa tayari majukumu yote sasa kapewa mkaskazini mwenzao.

Aisee awa jamaa wakigusa Dodoma hakuna rangi wataacha kuiona watataja koo zao zote za mareale mushi msuya ndossi mpaka ukoo wa mleta mada malisa.
 
Back
Top Bottom