Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Tuliambiwa kuwa kifo cha Balali kilikuwa ni private death, na mazishi yake pia yakawa ni private (nadhani hata mkewe hajui kama mumewe alikufa) na inawezekana alijizika mwenyewe. RIP Balali watanzania walikuhitaji ujibu tuhuma lakini Mungu alikupenda zaidi.
Hii kali!