Kwanini Balali hakuzikwa Tanzania?

Status
Not open for further replies.
Nilichokuwa nakijua wakati ule wa ugonjwa wa balali ni kuwa kuna watu aliwaachia mambo nyeti hapa nchini na kuwa ilikuwa ni swala la wakati tu, aidha nilipata uvumi kuwa hata marekani nako aliacha taarifa kwa watu wake wa karibu wakiwa ni wafanyakazi wenzake wa IMF. Nilidharau taarifa zile lakini sasa naanza kuona labda kuna kitu nyuma ya pazia.
 
Angekuwa tz uwezo wa kujizushia amekufa ni simple but in USA that's impossible, wako makini ktk mambo yao, tuache stories the guy is dead. Kwani tweeting si hata mimi naweza tumia hiyo id yake? What's the proof kwamba ni yeye? Tweeting is not fact!
 
Angekuwa tz uwezo wa kujizushia amekufa ni simple but in USA that's impossible, wako makini ktk mambo yao, tuache stories the guy is dead. Kwani tweeting si hata mimi naweza tumia hiyo id yake? What's the proof kwamba ni yeye? Tweeting is not fact!
Kwani serikali ya marekani walikwambia kuwa kafa?
 
Tunamtaka Balali kama kweli yu hai, sio maneno yake. Kwa nn tuletewe maneno badala ya mtu? Watz kwa tamthilia tupo juu sana. Ukiacha ya Balali kuna baadhi ya watu waliosema Sokoine hajafa, bali alichukuliwa msukule, tena wakaenda mbali zaidi kuwa wameshakutana nae mara kadhaa uswahilini!
 
Wewe umemsoma Balali wa Tweeter lakini wako ambao wamekutana nae Live na kuongea nae. Kwa ajili ya usalama wake ni lazima ajitayarishie mazingira ya usalama wake na wenzake kabla hajaweka mguu wake JNIA. Bila ya hivyo ataangamia kabla hajafika Dar. Ana ushahidi mwingi kuhusu the BIG 6 NA ENGENEER. Ingawaje kuja kwake hakuta rudisha mali zilizopotea lakini itakuwa ni chanzo watanzania kujikomboa KUTOKANA na mafisadi. MUNGU IBARIKI TANZANIA NA WATU WAKE NA AWA ANGAMIZE MAFISADI KWA KUWAUMBUA.



I think that only daring speculation can lead us further and not accumulation of facts.


Hawa ni wakina nani?
Nadhani hapo RA hakosi kwenye list.
 
Kama Binadamu aliyeumbwa na Mungu,dhamira [Guilt Consciousness] inamsuta na mizimu ya babu zake wahehe inamsumbua kwa kusaliti Watanzania wengine na anaona asiposema ukweli kwa Watanzania atakuwa ametenda kosa kubwa sana.Hivyo anaangaika na nafsi yake.Lakini kama ni kweli anadhamira ya dhati ya kutubu kwa Watanzania hakika atatimiza lakini chamoto watanzania tumesahkiona sana mpaka sasa,nae anamchango mkubwa sana kwa ilo kwa kuwa huyo gavana halali wao angemtaja mapema tungejua Mapema uenda kwa kutajwa Mungu angetuepusha na hao the 6.

Kwa kweli dhamira ni kitu kigumu sana kwa binadamu, itakusmbua kila kukicha. Unanikumbusha Eddo Chumila dakika za mwisho mwisho kabla hajafa aliwaomba Msamaha wana simba na watz kwa kuwasaliti. Hata bwana Bilal huko aliko, dhamira inamsuta.
 
...sitaki kuamini kama taifa kubwa duniani kama Amerika(USA) linaweza kuwa sehem ya mchezo huu mchafu unaofanywa na viongozi wa serikali ya Tanzania.Kinachonifanya nianze-kupoteza imani na USA ni njisi-ilivyo kaa kimya pamoja na mambo yote haya ya kifo cha Balali kuhushwa na taifa ili linalosifika kwa maendeleo makubwa ya teknojia.Hivi ni kweli Amerika hamna mnachofaham juu ya uzima,ugonjwa au kifo cha Balali?...FBI mko wapi?,CIA mko wapi?...siku "UKWELI" ukidhihili, kama haya tunayoambiwa Watanyika(Watanzania bara) na viogozi wetu ya yatakuwa ni ya kweli kwamba Balali alifia hapo USA na nyinyi mmethibitisha hivyo,nawataka radhi kwa kuwausisha na mambo yasiyoafa.LAKINI kama haya mambo ya Balali(eti alikufa) yatakuwa ni-yauongo na nyiyi USA mnajua hivyo na mnashirikiana na hao viogozi wetu kutudanganya...mtapima wenyewe kama kweli bado mnahadhi ya kutambulika kama taifa kubwa na lilostaarabika...
 
Balali alikuwa na mke ingawa sijui kama alikuwa na watoto. Mke wake anatoka familia ya akina Muganda. Inawezekanaje mke wake na shemeji zake wasituthibitishie kuhusu kifo cha Balali? Na vipi waandishi hawajaenda kuwahoji maana wengine wapo Tanzania
 
...sitaki kuamini kama taifa kubwa duniani kama Amerika(USA) linaweza kuwa sehem ya mchezo huu mchafu unaofanywa na viongozi wa serikali ya Tanzania.Kinachonifanya nianze-kupoteza imani na USA ni njisi-ilivyo kaa kimya pamoja na mambo yote haya ya kifo cha Balali kuhushwa na taifa ili linalosifika kwa maendeleo makubwa ya teknojia.Hivi ni kweli Amerika hamna mnachofaham juu ya uzima,ugonjwa au kifo cha Balali?...FBI mko wapi?,CIA mko wapi?...siku "UKWELI" ukidhihili, kama haya tunayoambiwa Watanyika(Watanzania bara) na viogozi wetu ya yatakuwa ni ya kweli kwamba Balali alifia hapo USA na nyinyi mmethibitisha hivyo,nawataka radhi kwa kuwausisha na mambo yasiyoafa.LAKINI kama haya mambo ya Balali(eti alikufa) yatakuwa ni-yauongo na nyiyi USA mnajua hivyo na mnashirikiana na hao viogozi wetu kutudanganya...mtapima wenyewe kama kweli bado mnahadhi ya kutambulika kama taifa kubwa na lilostaarabika...

nyamaza wewe, sio kazi yao. Kwanza wako busy na ishu za hela, sio upupu wa omba omba kama Tanzania. Hivi hukusikia alichosema Barak wa Israel?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom