Kwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?

Kwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?

Status
Not open for further replies.
Sasa wewe unanibishia uanauke wangu unaelewa kweli nilivo.
Nakuelewa kwa haya unayoyaandika, na yana akisi ulivyo kifikra.
Maana wewe hujaelezea hata kimoja kuhusu mada umekuja Mara na udhaifu Mara wanaume mumewekwa juu,
Na hapa naendelea kukuonyesha udhaifu wenu ambao mnahisi sisi tunawahofia feminist. Hili hujaliona pia ? Kazi ipo.
 
Hili tatizo lakini nashangaa ujasiri wa kujadili mambo usiyo yajua, njaa unaithibitisha vipi kama ipo au huzuni au akili unaiona wewe su unaigusa ? Ila si unakubali akili unayo ? Sasa na imani inathibitishwa vile vile japo haishikiki.
Mimi naomba evidence ya Imani tu bila shaka kabisa maana umesema unayo evidence
 
Mimi naomba evidence ya Imani tu bila shaka kabisa maana umesema unayo evidence
Kwanza haya niliyo kuwekea una yakubali au huyakubali ?

Imani yangu inanifundisha ya kuwa kila nafsi itaonja umauti. Uthibitisho ni kuwa watu tunakufa. Imani yangu inaniambia zinaa ni uchafu, na kweli ushahidi ni kuwa kupitia zinaa kuna madhara mengi.

Imani yangu inaniambia ya kuwa kuwepo kwa usiku na mchana ni matokeo ya jua kuwa katika mwendo. Uthibitisho ni kuwa kweli jua linatembea.

Sasa wewe kama huwezi kukithibitisha unachokiamini ujue wewe ni MJINGA juu ya imani yako, yaani ni kichwa mchunga.

Sada turudi kwenye mada.
 
Nakuelewa kwa haya unayoyaandika, na yana akisi ulivyo kifikra.

Na hapa naendelea kukuonyesha udhaifu wenu ambao mnahisi sisi tunawahofia feminist. Hili hujaliona pia ? Kazi ipo.
Kutofautiana mitazamo sio udhaifu ni matter of diversity tu, Tena kutofautiana na kuheshimiana ndio maturity
 
Kwanza haya niliyo kuwekea una yakubali au huyakubali ?

Imani yangu inanifundisha ya kuwa kila nafsi itaonja umauti. Uthibitisho ni kuwa watu tunakufa. Imani yangu inaniambia zinaa ni uchafu, na kweli ushahidi ni kuwa kupitia zinaa kuna madhara mengi.

Imani yangu inaniambia ya kuwa kuwepo kwa usiku na mchana ni matokeo ya jua kuwa katika mwendo. Uthibitisho ni kuwa kweli jua linatembea.

Sasa wewe kama huwezi kukithibitisha unachokiamini ujue wewe ni MJINGA juu ya imani yako, yaani ni kichwa mchunga.

Sada turudi kwenye mada.
Siyakubali hata kimoja uliyoandika hapo. Maana huhitaji PhD kujua kufa ni lazima ka ilivokuzaliwa maana hyo ni natural process ya kubalance nature
 
Kutofautiana mitazamo sio udhaifu ni matter of diversity tu, Tena kutofautiana na kuheshimiana ndio maturity
Kutofautiana kwa mambo ya asili ni lazima upande mmoja una tatizo, siyo kila jambo linaruhusu mitazamo bibie, unatakiwa ujue, na hili kutofanana kwa majukumu kati ya mwanamke na mwanaume hakutatuliwi kwa vikao au kura za veto au makampeni, bali kwa kurudi katika asili, ufunuo na maumbile.

Udhaifu unakuja pale ambapo kile unachokiegemea hukijui na huwezi kukijengea hoja za kielimu, na hili ndiyo unalo wewe, yaani hujawahi kuweza kutetea hoja yako kielimu zaidi ya hisia na kujitutumua. Huu ndiyo udhaifu.
 
Kutofautiana kwa mambo ya asili ni lazima upande mmoja una tatizo, siyo kila jambo linaruhusu mitazamo bibie, unatakiwa ujue, na hili kutofanana kwa majukumu kati ya mwanamke na mwanaume hakutatuliwi kwa vikao au kura za veto au makampeni, bali kwa kurudi katika asili, ufunuo na maumbile.

Udhaifu unakuja pale ambapo kile unachokiegemea hukijui na huwezi kukijengea hoja za kielimu, na hili ndiyo unalo wewe, yaani hujawahi kuweza kutetea hoja yako kielimu zaidi ya hisia na kujitutumua. Huu ndiyo udhaifu.
Sasa kwa hayo uliyoandika wewe ndio dhaifu kuliko dhaifu yemyewe
 
Gsan Tremendouz wewe umeandika gazeti tu kutuchosha ulishaambiwa mwanamke hatabiriki inategemea ameamka vipi unaleta madarasa yaso na kichwa wala miguu

Kwani Wanaume ndo tunatabirika bro! Tuache kuishi kwa mazoea.. We mama Yako angejitambua Mapema na kujijua ye ana uwezo gani Unafkiri uwezo Wako wa kufikiri ungekua Hapo kwa Sasa?

Ungekua mbali sana, Kijana unaejielewa maana kwa asilimia 75 ye ndo aliekujenga kiakili na kimwili. Tuwape credit aisee.. Mwanaume wa kweli hashindani na Kinamama aisee
 
Siyakubali hata kimoja uliyoandika hapo. Maana huhitaji PhD kujua kufa ni lazima ka ilivokuzaliwa maana hyo ni natural process ya kubalance nature
Nimecheka sana, wenzako wapo wanatafuta dawa ya kuzuia kufa, sasa hawa wenzako unawaweka wapi ? Hii ni imani bibie,ambayo ina ithibati.

Ingekuwa kuzaliwa ni jambo la kiasilibasi kila mwanamke angekuwa ana zaa au kila mwanaume angekuwa anazalisha.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom