Kwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?

Kwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?

Status
Not open for further replies.
Bibie naona unachokiandika ni kimoja na unachotakiwa ukijengee hoja ni kingine.

Hujaambiwa kuzaliwa jinsia yako ni udhaifu, ila silika ya mwanamke ni udhaifu kwa ujumla, japokuwa umbile lake ni timilifu kwa majukumu yake. Ndiyo maana hata sisi tuna kiri ya kuwa kuna mambo mengi mnayafanga ambayo sisi hatuwezi kuyafanya kwa maana ya kimaumbile.

Mambo gani mnayafanya kutushinda wanaume ?
Hyo silika ya udhaifu kwa wanawake ni Imani yako tu Kama na Mimi ninavoamini tofauti na sio case.
 
Habari?

Hebu Leo semeni ni kipi ambacho kinafanya mchukie feminism? Hamjiamini? Au mnaogopa kutawaliwa? Kuna tatizo gani mwanamke akijua haki zake na kuzisimamia?
Binti kutoka UVCCM katika ubora wako,naona feminists mkikosa ndoa mnaamua mje jukwaani


Komaa na feminism ipo siku SHETANI atakuzawadia dunia

Ila wale feminists wa ulaya na marekani wanafuga MBWA rasmi wa kuwatimizia haja zao sasa nyie feminists wa TZ sijui mnafeli wapi
 
shida huwaga ni upendo tu, akishpenda hakuna cha feminism wala nini. tatizo linakuja ile feminism yao wengi wao wanatanguliza dharau wanajiamni kuvuka mipaka. Niliwahi kusikia mahojiano ya aliyekuwa waziri mkuu wa uingereza Iron lady magreth Thatcher alisema akiwa home mume ndiye boss nayeye pale ndio anapelekeshwa anatumwa lete kijiko.chemsha maji anafanya kwa sababu ni mke, hawa wa hapa kwetu sasa looh!!!!
 
Mnadunda ?! Well thats until this happens, rape and disregard for women is on the rise. Katika ajali fulani wanaume waliwacha wanawake wafe si wako sawa na wanaume ok wajiokoe wenyewe safi sana, hii sumu mnayoipita mtainya meanwhile in India 54 rapes kila dakika ipitayo, South Africa is next 30 rapes kila dakika i pray iwe rape and muder, unasema eti mnadunda tehee hee **** you bitch endelea kudundag
Nilitizama video feminist akibakwa na kuchomwa moto India na sikujisikia huruma yoyote. THIS IS HOW I HATE FAMINISTS.
Dah kweli we differ Yani unafurahia rape hujui kuwa huo ni uhalifu. Something is wrong somewhere wallah. Yani the way you view issues kah
 
Ndio ni hoja za kiume na ninaonyesha nitafanya lolote kupinga mfumo huu hatarishi kwa jamii yetu na vizazi vyev.

Na kama umenisoma mda mrefu ila hujaweza kuwasoma ujinga we feminists, tafadhali nitolee unafiki wako get of my lane bitch.
Basi hakuna matusi yaliyopangua hoja mkuu.
Zaidi unajidharirisha kwa kuonyesha ufundi wa Kutukana badala ya kujenga hoja.

Hoja za kiume haziwi na matusi,hizo ni za wavulana.
 
Hoja gani uliyonayo zaidi ya ujinga, wewe unaweza kua sawa na mwanaume hata kwa kujiangalia tu ?. Kuna mwanamke yeyote mvumbuzi kama kina Eisten, Newton, Tesla etc hakuna unajua kwanini, kwasababu hamna akili.
Akili tunazo Tena Sana..lakini huko nyuma wanawake hawakupaya nafasi ya kusoma....hata Mimi naweza kuwa nimekuzidi wewe Akili Tena mbali Sana...

Mwanaume anaweza zidiwa Akili na mwanamke lakini ukweli kuwa mwanaume Ni kiongozi wa mwanamke unabaki pale pale.
 
Habari?

Hebu Leo semeni ni kipi ambacho kinafanya mchukie feminism? Hamjiamini? Au mnaogopa kutawaliwa? Kuna tatizo gani mwanamke akijua haki zake na kuzisimamia?
Hamna mwanaume anaependa feminists. Equality sawa na tunataka equality coz we have daughters and sister. Lakini that bullshit feminism ina preach is useless
 
Kwenye feminism Kuna vitu nakubaliana navyo.kama..wanawake wapate fursa Sana na wanaume Kama kwenye ajira pia equal.pay kwa wananaume na wanawake, sexual harassment and sexual violence.

Lakini mwanaume Ni kiongozi wa mwanamke..hiyo haimfanyi kumkandamiza na kumyima Haki za msingi.

Isingekuwa hawa mafemenist wanawake mpaka leo tusingeenda shule.
 
Hyo silika ya udhaifu kwa wanawake ni Imani yako tu Kama na Mimi ninavoamini tofauti na sio case.
Imani siyo imani tu mpaka ithibitishwe. Mimi naweza kukuthibitishia hili, ila wewe huwezi kuthibitisha ukweli wa imani yako.
 
Mimi ukweli naujua so sihitaji kubadili msimamo mkuu
Wewe huna ukweli unao ujua bali una msimamo juu ya mambo usiyo yajua, na haya ni matumizi mabaya akili.

Hivi unawezaje kujitutumua unaujua ukweli ambao huwezi kuuthibitisha ? Hivi huko mashuleni mhalufundishwa kufikiri ba kuutafuta ukweli ?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom