Kwanini Askofu mkuu wa Roma huingiaga msikitini??

Kwanini Askofu mkuu wa Roma huingiaga msikitini??

Status
Not open for further replies.
Sasa unamlazimisha aingie au? Sheikh huwa anaingia kanisani? Si huwa wanatuita makafir? Acha kuhoji nonsense
 
asa kama ni tofaut mbona kuna hoja nazisikia kua yesu alikua muislamu kisa eti aliingia kwenye synagogue ya kiyahudi? nijuze mkuu

Mkuu unasikia alikuwa muislam japo HAKUWA na kama angekuwa basi Masinagogi ya wayahudi yangelikuwa yanatumiwa na waislam hadi leo.
 
Kama haruhusiwi kusali mbona Papa amesali..

huwezi jua kwa nini papa aliamia kusali. labda alisilimu zamani na kisiri, maana kusilim sio lazima utangaze kwa watu. pia hata akiamua kiswali hewala ila kama hajasilimu atakua anapoteza tu wakat au anawasindikiza wenzake kuswali.
 
Nikwamba kuna sehemu ambayo ni ya kihistoria kwetu wakristo ambapo msikiti umejengw juu yake. So ukitaka kuhiji hiyo sehemu nilazima uingie msikitini. Pope alienda kuhiji huko.

Kama ni ya kihistoria kwa wakristo kwanini msikiti ndo ujengwe juu ya eneo hilo badala ya kanisa??
 
si kweli kwamba mtu asiye muislamu harusiwi kuingia msikitini,unaingia vizuri tu,ukiona mtu ana mkataza asiye muislam kuingia msikitini ujue elimu yake ndogo na aufaham uislam,cha msingi afate taratibu za pale,ila hataswali mpaka aamini,labda aswali kwa taratibu za dini yake,ndugu zangu hili jambo lilishatokea enzi za mtume,walimfata watu wasio waislam wakamkuta msikitini,wakawa wanafanya mazungumzo,ulipofika mda wa ibada yao wakamuomba waswali,akawaruhusu.
Albosignathus pitia sehemu hizi hapa juu (red) jamaa kafafanua vizuri!
 
Last edited by a moderator:
Jua ni kiongozi wa dini na anaiwakilisha Roma kama sehemu ya Italy inayojitegemea. Kikwete haingii kanisani? shekhe Tz haingii kanisani kwa matukio makubwa ktk ukristu?
 
Vitu vingine ni vya kawaida sana ila tunataka kuvifanya viwe mjadala mrefu kana kwamba kuingia kwake msikitini hiyo mara moja kulibadilisha imani yake,kwa nafasi flani kwenye jamii inakubidi uendane na mazingira mfn kiongozi serikalini au mwana-diplomasia lazima uweke vitu vingine kando kukamilisha mission flani yenye umuhimu au maslai kwako au jamii kwa ujumla sioni tatizo Pope kuingia msikitini maana ukifuatilia utakuta hakuenda kwa nia ya kuswali bali kuna ujumbe aliupeleka hapo.
Ukiwa na mawazo mgando lazima isumbue mbona waislamu wanaingia makanisani hasa viongozi wakati imani yao kanisa sio sehemu takatifu kwao.
ImageUploadedByJamiiForums1399994621.363928.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom