Kwani Walimu wamewakosea kitu gani Watanzania?

Sahihi kabisa! Jamii Forums ya sasa imejaa watoto wengi waliomaliza vyuo, halafu wana smartphone, huku wakiwa hawana ajira.

Kila siku tunawashauri wajiajiri, hawataki! Badala yake wamechagua maisha ya kula na kulala bure kwq wazazi/ndugu zao! Wakishiba, ndiyo utawaona sasa wakija humu jukwaani na mada za ajabu ajabu, na zilizojaa utoto mwingi.

Mtu mwenye akili timamu, hawezi kumdharau hata muokota makopo, au msukuma mkokoteni! Maana hiyo ndiyo kazi yake inayo muingizia kipato. Kamwe huwezi kumlinganisha na jobless aliyejibanza kwa wazazi wake, huku anagongea hela ya bando ili aje alete maneno ya kejeli humu jukwaani.
Tate punguza hasira, naona wamekugusa kwenye maeneo nyeti.
 
Tate punguza hasira, naona wamekugusa kwenye maeneo nyeti.
Wala sijaguswa sehemu nyeti. Mimi namiliki ofisi. Tena kwenye jengo langu la biashara lililopo kwenye moja ya Majiji mapya kabisa nchini! Hivyo siishi kwa mshahara. Niliacha kazi kitambo! Nimejiajiri, kwa sababu nilikuwa na mtaji! Maisha yanaendelea.

Ila kamwe siwezi kuwafurahia wapuuzi wachache wanao wadharau walimu kwa sababu zao tu za kitoto. Walimu ni kundi kubwa la watumishi wa umma. Hivyo kundi lote hilo haliwezi kuwa na ukamilifu! Na mapungufu ya walimu wachache, hayawezi kutumika kama kisingizio cha kuwadharau na kuwakejeli.
 
WaLIMu ndio watu pekee wanaçharazwa bakora hadharani na wanasiasa kwa kuwa kwanza WaLIMu hawajiamini, pili hawana kauli thabiti, wanasukumwa na kupelekeshwa kama unyasi Mbele ya upepo. Tatu ni wanafiki sana na ni wazandiki.

Hasira zao wanaziondolea kwa watoto wa masikini, yaani WaLIMu ndio wanawabikiri mabinti zenu na kuwalawiti watoto wenu wa kiume
Ndioo na mimi ni muhanga aisee .
Huyo mwalimu alikuwa nusu anipe mimba ya utotoni.
Aliyeniokoa ni mwalimu wa mathematics .
Lasivyoo nilikuwa nicharazwe za chapu chapu .
 
Yanawakuta kutokana na aina ya reasoning yao, kuna muda unasoma baadhi ya mawazo yao kwenye mijadala hadi unajiuliza “huyu ndiye anafundisha wanetu?”



Hahahaha,mwaka huu mtaita maji mma,aliyekufundisha ni Mwalimu,aliyrmemfunfisha na kumchapa viboko matakoni Baba yako ni Mwalimu,sasa unatoa wapi wasiwasi wa uwezo wa Mwalimu? Ni hivi, Sensa walimu wanapewa na waliwakata,maana mlienda kuleta ubishoo kwenye usaili 🤣🤣
 
Mm Nahisi shida imeanzia kwa walimu na jinsi wanavowatreat watu au watoto wakiwa na vimadaraka flan Ila sisemei wote unakuta mwalimu anashida zake nje ya shule anakuja kumalizia stress zake kwa wanafunzi hadi wengne wamepelekea kuua n.k kwa hii imepelekea watu kupata hisia tofauti tu juu ya Hawa walimu na kngne Hao ndo walitumika kuiba kura kipindi flani wapo wengne wataendeleza
Hili la unonko wa walimu ndo huwa linakera kuna watu huwa tunatunza vitu huwa hatusahau,kipindi nasoma nilikuwa nawashangaa wanafunz wenzangu waliokuwa wanakuwa na urafiki na mwalimu

Unakuta mwalimu anafatilia wanafunz kwenye mambo ya kijinga mpaka unashangaa hana majukumu mengine na walimu wa aina hii unakuta hata hawana biashara mtaani muda wote anawaza wanafunz,mfano unakuta shule ina tv na imejiunga na dstv lakini mwalimu hapendi wanafunz watazame mipira ya usiku utazan yeye ndo anawalipia ada
 
Mm Nahisi shida imeanzia kwa walimu na jinsi wanavowatreat watu au watoto wakiwa na vimadaraka flan Ila sisemei wote unakuta mwalimu anashida zake nje ya shule anakuja kumalizia stress zake kwa wanafunzi hadi wengne wamepelekea kuua n.k kwa hii imepelekea watu kupata hisia tofauti tu juu ya Hawa walimu na kngne Hao ndo walitumika kuiba kura kipindi flani wapo wengne wataendeleza
Hii sio sawa.
 
May mosi wanavishwa form six tishirt na kofia oversize, wakimaliza sherehe wakapelekwa kula ubwabwa basi shangwe hadi jino la mwisho, na wakipewa kusimamia uchaguzi wanajiita maafisa uchaguzi, sensa kama hizo wanadaka michongo ndio mambo yameishia hapo walimu wajanja ni wachache sana sana ogopa mtu anamiaka mitano au kumi kazini anawaza hela ya kustaafu ndio atafanyia maendeleo
Aise

Ova
 
WaLIMu ndio watu pekee wanaçharazwa bakora hadharani na wanasiasa kwa kuwa kwanza WaLIMu hawajiamini, pili hawana kauli thabiti, wanasukumwa na kupelekeshwa kama unyasi Mbele ya upepo. Tatu ni wanafiki sana na ni wazandiki.

Hasira zao wanaziondolea kwa watoto wa masikini, yaani WaLIMu ndio wanawabikiri mabinti zenu na kuwalawiti watoto wenu wa kiume
Hongera wewe Tasa Mungumba .
Bila shaka unajipigapiga kifuani na kujiona mahindi, kwakutoa namtoto atakae bakwa na walimu.
 
Tatizo wivu. Mm ni mwl lkn naenjoy maisha balaa na mm pamoja na wensangu tuna maendeleo makubwa tu sana. Kikubwa malengo. Mm hua sibabishwi Wala kutishwa na maneno ya wqnaoponda walimu. Wao waendelee tu kutuponda hakuna tatizo lolote
Kwa uandishi huu mwalimu kwanini usipuuzwe!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom