Sababu kwanini Walimu tutaendelea kuwa watumwa ndani ya nchi yetu

kitwala

JF-Expert Member
Aug 31, 2012
1,476
1,066
Mimi ni mwalimu wa Hisabati na Fizikia na hadi muda huu nimefanya kazi ktk vituo(shule) 4 tofauti, 3 kati ya hizo ni za serikali na 1 ni binafsi. Katika safari yangu hii nimegundua mambo yafuatayo ambayo kwa namna moja ama nyingine yametuingiza kwenye hii fani na kutuingiza kwenye mkataba wa kitumwa:

  1. Takribani asilimia 70 ya walimu wote Tanzania tunatoka familia za kawaida sana kiuchumi. Sababu hii inatufanya walimu tuwe watu wa kutegemewa na familia zetu na ikumbukwe kuwa familia nyingi za mazingira haya ni extended family. Hivyo utakuta kwa mshahara huo mdogo unasomesha wadogo zako na ndugu zako wengine kadhaa.


  1. Tatizo la ajira na ukiritimba ktk upatikanaji wa ajira. Sababu hii huwafanya watu wengi kusoma ualimu kwa ajili ya uhakika wa ajira. Kama huna ndugu idara flani ajira kwako ndoto.


  1. Gharama za masomo kwa elimu ya juu. Serikali imekuwa ikitoa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu lakini sanjali na hilo imeweka priorities kwa baadhi ya fani ikiwemo Elimu. Hali hii imepelekea watu wengi wasio na uwezo wa kujigharimia masomo yao kuangukia kwenye mtego huu.


  1. Udahili ktk vyuo, baadhi ya fani zimekuwa na competition kubwa na huku vyuo vichache vikitoa/kufundisha fani hizo. Jambo hili huwafanya wengi kukosa nafasi na hivyo kuangukia kwenye kokolo la ualimu.


  1. Ni kada hii pekee ndiyo inayotoa nafasi nyingi za ajira kwa wakati mmoja ukilinganisha na kada zingine. Hivyo kuwa na watumishi wengi kuliko kada zote.


  1. Cut off point. Baadhi ya fani zinahitaji ufaulu wa namna flani hivyo kuwafanya wale ambao hawajaqualify kutafuta alternative ambao wengi wao huangukia kwenye ualimu.


  1. Ukosefu wa ajira mbadala, mfano mwalimu wa grade A(Certificate) hana alternative na kuajiliwa sehemu nyingine yoyote tofauti na serikalini. Hivyo kumfanya mwalimu huyu wa primary kuwa mtumwa kwa serikali yake kwa sababu akiikosa ajira ya serikali ndiyo basi tena labda akajiajiri mwenyewe.

HITIMISHO: Kwa sababu nilizoziainisha hapo juu ni vigumu sana kwa walimu kuungana na kudai haki zao. Rejea matusi ya aliyekuwa naibu waziri wa elimu Mwantum Mahiza na mwajiri wake JK wakati wa vuguvugu la mgomo wa walimu 2009/2010.
WALIMU MAAMUZI YA CHAMA GANI KIWE MADARAKANI YAMO MIKONONI MWETU, TUAMUE SASA KWA FAIDA YA VIZAZI VYETU.

NB: HUU NI MTAZAMO WANGU TU, UNARUHUSIWA KUPINGA AU KUBORESHA.
 
Mimi ni mwalimu wa Hisabati na Fizikia na hadi muda huu nimefanya kazi ktk vituo(shule) 4 tofauti, 3 kati ya hizo ni za serikali na 1 ni binafsi. Katika safari yangu hii nimegundua mambo yafuatayo ambayo kwa namna moja ama nyingine yametuingiza kwenye hii fani na kutuingiza kwenye mkataba wa kitumwa:

  1. Takribani asilimia 70 ya walimu wote Tanzania tunatoka familia za kawaida sana kiuchumi. Sababu hii inatufanya walimu tuwe watu wa kutegemewa na familia zetu na ikumbukwe kuwa familia nyingi za mazingira haya ni extended family. Hivyo utakuta kwa mshahara huo mdogo unasomesha wadogo zako na ndugu zako wengine kadhaa.


  1. Tatizo la ajira na ukiritimba ktk upatikanaji wa ajira. Sababu hii huwafanya watu wengi kusoma ualimu kwa ajili ya uhakika wa ajira. Kama huna ndugu idara flani ajira kwako ndoto.


  1. Gharama za masomo kwa elimu ya juu. Serikali imekuwa ikitoa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu lakini sanjali na hilo imeweka priorities kwa baadhi ya fani ikiwemo Elimu. Hali hii imepelekea watu wengi wasio na uwezo wa kujigharimia masomo yao kuangukia kwenye mtego huu.


  1. Udahili ktk vyuo, baadhi ya fani zimekuwa na competition kubwa na huku vyuo vichache vikitoa/kufundisha fani hizo. Jambo hili huwafanya wengi kukosa nafasi na hivyo kuangukia kwenye kokolo la ualimu.


  1. Ni kada hii pekee ndiyo inayotoa nafasi nyingi za ajira kwa wakati mmoja ukilinganisha na kada zingine. Hivyo kuwa na watumishi wengi kuliko kada zote.


  1. Cut off point. Baadhi ya fani zinahitaji ufaulu wa namna flani hivyo kuwafanya wale ambao hawajaqualify kutafuta alternative ambao wengi wao huangukia kwenye ualimu.


  1. Ukosefu wa ajira mbadala, mfano mwalimu wa grade A(Certificate) hana alternative na kuajiliwa sehemu nyingine yoyote tofauti na serikalini. Hivyo kumfanya mwalimu huyu wa primary kuwa mtumwa kwa serikali yake kwa sababu akiikosa ajira ya serikali ndiyo basi tena labda akajiajiri mwenyewe.

HITIMISHO: Kwa sababu nilizoziainisha hapo juu ni vigumu sana kwa walimu kuungana na kudai haki zao. Rejea matusi ya aliyekuwa naibu waziri wa elimu Mwantum Mahiza na mwajiri wake JK wakati wa vuguvugu la mgomo wa walimu 2009/2010.
WALIMU MAAMUZI YA CHAMA GANI KIWE MADARAKANI YAMO MIKONONI MWETU, TUAMUE SASA KWA FAIDA YA VIZAZI VYETU.

NB: HUU NI MTAZAMO WANGU TU, UNARUHUSIWA KUPINGA AU KUBORESHA.

Wakubwa mniwie radhi kwa hizo namba nimepost bila kupreview.
 

  1. WALIMU MAAMUZI YA CHAMA GANI KIWE MADARAKANI YAMO MIKONONI MWETU, TUAMUE SASA KWA FAIDA YA VIZAZI VYETU.

    NB: HUU NI MTAZAMO WANGU TU, UNARUHUSIWA KUPINGA AU KUBORESHA.


  1. Usipotoshe watu na matazamo wa kipuuzi. Wewe unafikiri ukichagua UKAWA ndiyo wa div.4 wataajiriwa kuingia BOT au TRA?

 
Mimi ni mwalimu wa Hisabati na Fizikia na hadi muda huu nimefanya kazi ktk vituo(shule) 4 tofauti, 3 kati ya hizo ni za serikali na 1 ni binafsi. Katika safari yangu hii nimegundua mambo yafuatayo ambayo kwa namna moja ama nyingine yametuingiza kwenye hii fani na kutuingiza kwenye mkataba wa kitumwa:

  1. Takribani asilimia 70 ya walimu wote Tanzania tunatoka familia za kawaida sana kiuchumi. Sababu hii inatufanya walimu tuwe watu wa kutegemewa na familia zetu na ikumbukwe kuwa familia nyingi za mazingira haya ni extended family. Hivyo utakuta kwa mshahara huo mdogo unasomesha wadogo zako na ndugu zako wengine kadhaa.


  1. Tatizo la ajira na ukiritimba ktk upatikanaji wa ajira. Sababu hii huwafanya watu wengi kusoma ualimu kwa ajili ya uhakika wa ajira. Kama huna ndugu idara flani ajira kwako ndoto.


  1. Gharama za masomo kwa elimu ya juu. Serikali imekuwa ikitoa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu lakini sanjali na hilo imeweka priorities kwa baadhi ya fani ikiwemo Elimu. Hali hii imepelekea watu wengi wasio na uwezo wa kujigharimia masomo yao kuangukia kwenye mtego huu.


  1. Udahili ktk vyuo, baadhi ya fani zimekuwa na competition kubwa na huku vyuo vichache vikitoa/kufundisha fani hizo. Jambo hili huwafanya wengi kukosa nafasi na hivyo kuangukia kwenye kokolo la ualimu.


  1. Ni kada hii pekee ndiyo inayotoa nafasi nyingi za ajira kwa wakati mmoja ukilinganisha na kada zingine. Hivyo kuwa na watumishi wengi kuliko kada zote.


  1. Cut off point. Baadhi ya fani zinahitaji ufaulu wa namna flani hivyo kuwafanya wale ambao hawajaqualify kutafuta alternative ambao wengi wao huangukia kwenye ualimu.


  1. Ukosefu wa ajira mbadala, mfano mwalimu wa grade A(Certificate) hana alternative na kuajiliwa sehemu nyingine yoyote tofauti na serikalini. Hivyo kumfanya mwalimu huyu wa primary kuwa mtumwa kwa serikali yake kwa sababu akiikosa ajira ya serikali ndiyo basi tena labda akajiajiri mwenyewe.

HITIMISHO: Kwa sababu nilizoziainisha hapo juu ni vigumu sana kwa walimu kuungana na kudai haki zao. Rejea matusi ya aliyekuwa naibu waziri wa elimu Mwantum Mahiza na mwajiri wake JK wakati wa vuguvugu la mgomo wa walimu 2009/2010.
WALIMU MAAMUZI YA CHAMA GANI KIWE MADARAKANI YAMO MIKONONI MWETU, TUAMUE SASA KWA FAIDA YA VIZAZI VYETU.

NB: HUU NI MTAZAMO WANGU TU, UNARUHUSIWA KUPINGA AU KUBORESHA. Mathé + physics + Familia zetu fini + mshahara wa makato makubwa lazma ukonde... mshahara Mdogo kuliko matumizi.
 
...njaa zenu,walimu wanafiki,mkatwe tu mihela.mnajifanya mnatupenda wapinzani....kumbe unafiki tu.....hakuna haja ya kuwatetea waalimu...CCM wakateni tuuuuuuu............
 
Walimu bado hawajitambui, hawana umoja wa dhati katika harakati zao za kudai haki. Haki huwa zinadaiwa na kamwe huwezi kuzipata ukiwa umeketi raha mustarehe.

Ndugu zangu waalimu, bila kubadilika haraka mtaendelea kunyanyasika, jamii haitambui umuhimu wenu, watawala wanawapa ahadi kibao zisizotekelezeka.

2015 mna chance nyingine tena kuchagua wanaoweza kuwatetea na kujali umuhimu wenu katika hii sekta ya elimu.

Play your Part for changes!! vinginevyo mtaendelea kulalamika miaka nenda rudi.
 
Walimu bado hawajitambui, hawana umoja wa dhati katika harakati zao za kudai haki. Haki huwa zinadaiwa na kamwe huwezi kuzipata ukiwa umeketi raha mustarehe.

Ndugu zangu waalimu, bila kubadilika haraka mtaendelea kunyanyasika, jamii haitambui umuhimu wenu, watawala wanawapa ahadi kibao zisizotekelezeka.

2015 mna chance nyingine tena kuchagua wanaoweza kuwatetea na kujali umuhimu wenu katika hii sekta ya elimu.

Play your Part for changes!! vinginevyo mtaendelea kulalamika miaka nenda rudi.

Ukilisoma bandiko langu kwa mapana na marefu utagundua kwa nini walimu hatuna umoja na hautakuja kutokea.
 
Ukilisoma bandiko langu kwa mapana na marefu utagundua kwa nini walimu hatuna umoja na hautakuja kutokea.

kitwala mwalim mwenzangu mimi ni mwalim kama wewe natoka familia mfano wa hapo juu ila siamin kama nafanya kazi hii kwa utumwa huo unaosema wewe,ualim ni moja ya kazi ambazo mwajiriwa yupo free sana(hasa serikalini),huo muda unautumiaje????
 
Last edited by a moderator:
kitwala mwalim mwenzangu mimi ni mwalim kama wewe natoka familia mfano wa hapo juu ila siamin kama nafanya kazi hii kwa utumwa huo unaosema wewe,ualim ni moja ya kazi ambazo mwajiriwa yupo free sana(hasa serikalini),huo muda unautumiaje????
Hawezi kuutumia vyema muda kwa vile tayari keshasema ana fikra za kitumwa. Anachowaza kupata ukombozi kwa kubadili mabwana tu.

 
Usipotoshe watu na matazamo wa kipuuzi. Wewe unafikiri ukichagua UKAWA ndiyo wa div.4 wataajiriwa kuingia BOT au TRA?


[/LIST]

Siamini kama umelisoma bandiko lote na kulielewa.
 
Hawezi kuutumia vyema muda kwa vile tayari keshasema ana fikra za kitumwa. Anachowaza kupata ukombozi kwa kubadili mabwana tu.


hapa ndo tunapokosea walimu,hebu mtoa mada mwalimu kitwala tuambie mwenzetu ni mwalimu wa stashahada au shahada???
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni mwalimu wa Hisabati na Fizikia na hadi muda huu nimefanya kazi ktk vituo(shule) 4 tofauti, 3 kati ya hizo ni za serikali na 1 ni binafsi. Katika safari yangu hii nimegundua mambo yafuatayo ambayo kwa namna moja ama nyingine yametuingiza kwenye hii fani na kutuingiza kwenye mkataba wa kitumwa:

  1. Takribani asilimia 70 ya walimu wote Tanzania tunatoka familia za kawaida sana kiuchumi. Sababu hii inatufanya walimu tuwe watu wa kutegemewa na familia zetu na ikumbukwe kuwa familia nyingi za mazingira haya ni extended family. Hivyo utakuta kwa mshahara huo mdogo unasomesha wadogo zako na ndugu zako wengine kadhaa.


  1. Tatizo la ajira na ukiritimba ktk upatikanaji wa ajira. Sababu hii huwafanya watu wengi kusoma ualimu kwa ajili ya uhakika wa ajira. Kama huna ndugu idara flani ajira kwako ndoto.


  1. Gharama za masomo kwa elimu ya juu. Serikali imekuwa ikitoa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu lakini sanjali na hilo imeweka priorities kwa baadhi ya fani ikiwemo Elimu. Hali hii imepelekea watu wengi wasio na uwezo wa kujigharimia masomo yao kuangukia kwenye mtego huu.


  1. Udahili ktk vyuo, baadhi ya fani zimekuwa na competition kubwa na huku vyuo vichache vikitoa/kufundisha fani hizo. Jambo hili huwafanya wengi kukosa nafasi na hivyo kuangukia kwenye kokolo la ualimu.


  1. Ni kada hii pekee ndiyo inayotoa nafasi nyingi za ajira kwa wakati mmoja ukilinganisha na kada zingine. Hivyo kuwa na watumishi wengi kuliko kada zote.


  1. Cut off point. Baadhi ya fani zinahitaji ufaulu wa namna flani hivyo kuwafanya wale ambao hawajaqualify kutafuta alternative ambao wengi wao huangukia kwenye ualimu.


  1. Ukosefu wa ajira mbadala, mfano mwalimu wa grade A(Certificate) hana alternative na kuajiliwa sehemu nyingine yoyote tofauti na serikalini. Hivyo kumfanya mwalimu huyu wa primary kuwa mtumwa kwa serikali yake kwa sababu akiikosa ajira ya serikali ndiyo basi tena labda akajiajiri mwenyewe.

HITIMISHO: Kwa sababu nilizoziainisha hapo juu ni vigumu sana kwa walimu kuungana na kudai haki zao. Rejea matusi ya aliyekuwa naibu waziri wa elimu Mwantum Mahiza na mwajiri wake JK wakati wa vuguvugu la mgomo wa walimu 2009/2010.
WALIMU MAAMUZI YA CHAMA GANI KIWE MADARAKANI YAMO MIKONONI MWETU, TUAMUE SASA KWA FAIDA YA VIZAZI VYETU.

NB: HUU NI MTAZAMO WANGU TU, UNARUHUSIWA KUPINGA AU KUBORESHA. Mathé + physics + Familia zetu fini + mshahara wa makato makubwa lazma ukonde... mshahara Mdogo kuliko matumizi.


kama unahisi ualimu haulipi,kafanye Masters ya kitu kingine,hata Magufuli alikuwa mwalimu,sidhan kama PhD yake ameibebea School of Education
 
kitwala mwalim mwenzangu mimi ni mwalim kama wewe natoka familia mfano wa hapo juu ila siamin kama nafanya kazi hii kwa utumwa huo unaosema wewe,ualim ni moja ya kazi ambazo mwajiriwa yupo free sana(hasa serikalini),huo muda unautumiaje????

Mwalimu nimekulewa vizuri sana, huo u-free unaouzungumzia una mipaka na maeneo pia. Pengine wewe uko maeneo rafiki na pengine mna staff kubwa kiasi cha kuweza kuchepuka na kufanya shughuli zingine.
Ukweli ualimu ni moja ya kazi ngumu kuliko watu wanavyofikiria hasa utakapoamua kufuata taratibu zake zote.
 
kama unahisi ualimu haulipi,kafanye Masters ya kitu kingine,hata Magufuli alikuwa mwalimu,sidhan kama PhD yake ameibebea School of Education

Unadhani hiyo itakuwa ni muarobaini wa matatizo ya walimu?
Hapa tuwazungumzie walimu wote na ndiyo maana nimewataja walimu ktk idara zote. Walimu wote wakifuata utaratibu huo uliousema wa kufanya Masters tofauti na elimu unadhani itawezekana, na kama itawezekana hilo soko la ajira litaweza kuwaaccomodate wote?
Rejea sababu yangu ya kwanza kwenye bandiko.
 
Mimi ni mwalimu wa Hisabati na Fizikia na hadi muda huu nimefanya kazi ktk vituo(shule) 4 tofauti, 3 kati ya hizo ni za serikali na 1 ni binafsi. Katika safari yangu hii nimegundua mambo yafuatayo ambayo kwa namna moja ama nyingine yametuingiza kwenye hii fani na kutuingiza kwenye mkataba wa kitumwa:

  1. Takribani asilimia 70 ya walimu wote Tanzania tunatoka familia za kawaida sana kiuchumi. Sababu hii inatufanya walimu tuwe watu wa kutegemewa na familia zetu na ikumbukwe kuwa familia nyingi za mazingira haya ni extended family. Hivyo utakuta kwa mshahara huo mdogo unasomesha wadogo zako na ndugu zako wengine kadhaa.


  1. Tatizo la ajira na ukiritimba ktk upatikanaji wa ajira. Sababu hii huwafanya watu wengi kusoma ualimu kwa ajili ya uhakika wa ajira. Kama huna ndugu idara flani ajira kwako ndoto.


  1. Gharama za masomo kwa elimu ya juu. Serikali imekuwa ikitoa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu lakini sanjali na hilo imeweka priorities kwa baadhi ya fani ikiwemo Elimu. Hali hii imepelekea watu wengi wasio na uwezo wa kujigharimia masomo yao kuangukia kwenye mtego huu.


  1. Udahili ktk vyuo, baadhi ya fani zimekuwa na competition kubwa na huku vyuo vichache vikitoa/kufundisha fani hizo. Jambo hili huwafanya wengi kukosa nafasi na hivyo kuangukia kwenye kokolo la ualimu.


  1. Ni kada hii pekee ndiyo inayotoa nafasi nyingi za ajira kwa wakati mmoja ukilinganisha na kada zingine. Hivyo kuwa na watumishi wengi kuliko kada zote.


  1. Cut off point. Baadhi ya fani zinahitaji ufaulu wa namna flani hivyo kuwafanya wale ambao hawajaqualify kutafuta alternative ambao wengi wao huangukia kwenye ualimu.


  1. Ukosefu wa ajira mbadala, mfano mwalimu wa grade A(Certificate) hana alternative na kuajiliwa sehemu nyingine yoyote tofauti na serikalini. Hivyo kumfanya mwalimu huyu wa primary kuwa mtumwa kwa serikali yake kwa sababu akiikosa ajira ya serikali ndiyo basi tena labda akajiajiri mwenyewe.

HITIMISHO: Kwa sababu nilizoziainisha hapo juu ni vigumu sana kwa walimu kuungana na kudai haki zao. Rejea matusi ya aliyekuwa naibu waziri wa elimu Mwantum Mahiza na mwajiri wake JK wakati wa vuguvugu la mgomo wa walimu 2009/2010.
WALIMU MAAMUZI YA CHAMA GANI KIWE MADARAKANI YAMO MIKONONI MWETU, TUAMUE SASA KWA FAIDA YA VIZAZI VYETU.

NB: HUU NI MTAZAMO WANGU TU, UNARUHUSIWA KUPINGA AU KUBORESHA.

Ndugu nakubaliana na wewe katika pointi kadhaa, na niko tofauti na hapo nilipo weka red color, au wewe ulifeli na ulikuwa hauna altenative?

Unajua idara ya afya nursing wana cut point ngapi? Na ualimu certificate cutpoint ni ngapi?

Je wewe ulifeli ndio maana ukaamua kuwa mwalimu?

Kwenye hiyo pointi, mimi ningeiweka kwa mtindo huu.

Wengi hawana uelewa wa kutosha juu ya ajira na vitengo vingine tofauti na ualimu, ambavyo wanaweza kuvisomea.
 
Back
Top Bottom