Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,200
- 27,255
Nitakuja na andiko. Na nitatoa way forwardMkuu inabidi uje na andiko maalum
Naona jamaa zako walimu,wanashambuliwa sana
Ova
Nitakuja na andiko. Na nitatoa way forwardMkuu inabidi uje na andiko maalum
Naona jamaa zako walimu,wanashambuliwa sana
Ova
Aise ila tanzania walimu wanasharaulika sana na mfumo
Muda sana nliendaga Namibia nlipokelewaga na mtanzania ambaye
Alikuwa mwalimu huku akalaga kona
Kwenda huko kufanya ualimu..
Aise maisha ya tu super
Kwa sasa tanzania ukimuliza mtoto anakuambia anataka kuwa kama mondi,au harmonise zuchu nandy
Au baba level mwijaku st3ve Nyerere
Ualimu ahh anaona kama kitu cha ajabu
Walimu tanzania licha ya kufanya kazi kubwa lakini wanatumika kama toilet paper
Ova
Ndo wanavyolipwaga?Sasa mshahara wa laki 480,000 utakusaidia nn?
Anakojolea mkono uliomlisha hapo awaliUkiona unamdharau mwalimu Basi ujue we ndo huna akili au pengine hujui hata maana ya mwalimu
Kuna watu wanaishi kwa mshahara wa laki mbili na wanafamilia mke joblessNdo wanavyolipwaga?
Duh. Hapo kama we ni bachela huwezi kuoa maisha.
Duuuhhhh.....Kuna watu wanaishi kwa mshahara wa laki mbili na wanafamilia mke jobless
Hapa wasubirie deal za sensa,deal za wakat wa uchaguzi basiKwanza walimu popote walipo ni watu wavurugu sana halafu hawana exposure ya mambo mengine ya kidunia hata vyuoni wao ndio huvaa kishamba sana, walimu wajanja walisoma ualimu Tanzania wakaruka Botswana kwenye ile miradi ya elimu vijijini huko wako na waganda na wakenya, wanalipwa hadi milioni tatu ya bongo kwa mwenye diploma tu, kwahiyo ukiacha hali ngumu lakini walimu wa bongo nao miyeyusho tu
Mkuu inaelekea una mentality ya kijima sana, hatutegemei mtu mwenye kujielewa akajenga this assertion ,sorry to say that!Ukiona unamdharau mwalimu Basi ujue we ndo huna akili au pengine hujui hata maana ya mwalimu
Kuna watu Wana ujinga mwingi sana mkuu 🤣🤣🤣Kuna mtu anamuonea wivu Mwalimu? Natamani kumjua huyo mtu
Katelephone naye alikiwa teacher huyo 🤣🤣🤣CC; Katelephone Mmepewa-jaaliya.
Walimu hawana mishahara midogo.Sasa mshahara wa laki 480,000 utakusaidia nn?
Viboko kama vyote.Katelephone naye alikiwa teacher huyo 🤣🤣🤣
Kwa mfano mwl gani alieleta mjadala wa reasoning mbovu humu?!Yanawakuta kutokana na aina ya reasoning yao, kuna muda unasoma baadhi ya mawazo yao kwenye mijadala hadi unajiuliza “huyu ndiye anafundisha wanetu?”
Hapa wasubirie deal za sensa,deal za wakat wa uchaguzi basi
Ova