nasikia watu wengi wakisema ata wanamuziki wanaimba,kwani ukinipa nitakuchezea?ndio maana yake nn?nifungueni kichwa basi.
mm sio mtoto kama unavyofikilia,bt asante kwa mchango wako.Kweli inaonesha you are still young kuuliza ilo swali.... enways
Kumchezea mtu ni ile hali ya kua na mtu
(mara nyingi mpenzi.... but hata urafiki wa kawaida)
ukionesha malengo juu yake ambayo ni tofauti kabisa
na malengo yako ya kweli rohoni....
asante,lakini inaonyesha wanaume ndio wanao fanya ivyo,alafu kumbe ni mawazo ya m2 na sio kukutamkia?Kumchezea mtu ni ile kuwa unamtumia tuu na huna malengo naye. Inawezekana ni msichana unampa matumaini ya kuwa mpenzi wako wa kudumu kumbe kichwani mwako wewe una malengo ya kutosheleza tamaa zako za kimapenzi na kumuacha bila kuwa na malengo yoyote na yeye. Wakati huo dada anatarajia labda ndoa au malengo ya maana maishani baadae.
Mkuu, kuna mikoa ukienda kuwa wazi kabisa kama unataka ku-do na kuchapa mwendo unasema na wanakubali na hawataki mambo mengi...Hiyo ni mawazo ya ndani hawezi kukutamkia wazi kuwa eti ninakutamani tuu. Anakuja na idea nyingi tuu ya kutengeneza maisha yako kumbe moyoni ana nia akuchezee akuache.
inakubidi unishauri ili lisinikute niendelee kulisikia,pole inaonekana yamekukuta.
Kumnyoa nyeti zake!nasikia watu wengi wakisema ata wanamuziki wanaimba,kwani ukinipa nitakuchezea?ndio maana yake nn?nifungueni kichwa basi.