GE2025 Kwako ndugu January Makamba

GE2025 Kwako ndugu January Makamba

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Joined
Jul 30, 2025
Posts
97
Reaction score
324
Nimebubujikwa na machozi ya furaha baada ya kusikia ndugu yangu January Makamba kaachwa kwenye uteuzi wa ubunge, ushauri wangu kwako ndugu yangu umri wako bado mdogo unaweza jiunga na VETA ukasomea fani ya ufundi UMEME maana kazi ni nyingi mtaani pia ujenzi umeongezeka. Ni hayo tu ndugu yangu
 
Daah sijui Kwanini makamba kapoteza mvuto ghafla now days ......

Zamani January makamba alikuwa na mvuto wa pekee Hadi akaitwa presidential material

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Nimebubujikwa na machozi ya furaha baada ya kusikia ndugu yangu January makamba kaachwa kwenye uteuzi wa ubunge, ushauri wangu kwako ndugu yangu umri wako bado mdogo unaweza jiunga na VETA ukasomea fani ya ufundi UMEME mana kazi ni nyingi mtaani pia ujenzi umeongezeka. Ni hayo tu ndugu yangu
Hela alizokula kwa jina la CCM hata hutakaa uziote ukitoboa sana udiwana mshahara ni 350,000 wenzako wamesafisha mabillioni kwa kupitia jina la jamhuri
 
Lucas Mwashambwa

Watu mnapenda kucopy vya watu hata sio sawa.
Moderator hii sio sawa nasimama na shemegi angu chawa mwandamizi Lucas
Sijapenda kabisa walichokifanya Moderator na sijajua kwanini wameruhusu jambo hili kumpatia mtu ID inayofanana na mimi isipokuwa kwa herufi moja tu. Hii siyo sawa na siyo haki hata kidogo.
 
Back
Top Bottom