Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 21,229
- 36,248
- Thread starter
- #101
My dia mjukuu. Tulikaa meza moja na bibi yako Sky Eclat tukakubaliana tumtafute msaidizi. Maana bibi yako si unajua tena kashachoka anataka msaidizi.
Sasa kama Kasie kaamua kuingia kwenye familia yetu kwa hiari yake. Basi mimi na bibi yako Sky Eclat tutamuoa kwa pamoja....
Itakuwa Sriisamu ya uzeeni kabla hatujadedi
Wewe ombea tu huyo babu wa Butiama niwe mimi yua dia babu. Utakuwa na mabibi wawili... Bonus hiyo kwako kama umenielewa vizuri
Raaahaaaa, raha tupu kupendana na wewe raha tupuuu ...🥰🥰.