Kwaherini JF

Status
Not open for further replies.

Mimi sijakata tamaa lakini kuna nafsi inaniambia sifiki mbali
 
Hey people,

Uzi huu ni wa kuwaaga wanaJF wenzangu

Nimekutwa na cancer ambayo kimsingi nimepewa taarifa kwamba ndani ya miezi miwili sitakuwepo

Naumia lakini sina jinsi
Pole sana Joanah πŸ˜”. Kuna watu wanapita kwenye maisha yetu na kuacha alama ambayo haiwezi kufutika. Wewe ni mmoja wao. Sitaki kusema mengi, ila kuna wema wako ambao nitauweka moyoni daima. Mungu akupe nguvu, faraja na amani katika kipindi hiki kigumu. πŸ™πŸ½β€οΈ
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…