Kwaheri Bariadi, kwaheri Teddy

Kwaheri Bariadi, kwaheri Teddy

ngoja nimwite bestito wifi yangu mwallu hawatusemi hapa hawa jamani
Ha hahaha, he chene mamihayo pa neyo ma jashi sagala, gashinaga walile le bhugali lya bademi no kwi bunha komalambo
 
Last edited by a moderator:
lipo bhana tena ni dogo dogo halina mwelekeo ni kama limepachikwa tu pale

halafu lina kakitundu kadogo sana sema umesahau kwa kuwa unafunguliwa

Hahahaa ndo kabisaaaaa unazidi kukosea.

Ngoja nikusaidie.

Geti langu ni la rangi ya kijivu na ni automatic. Linajifungua na kujifunga lenyewe.

Kukusaidia zaidi, naishi zip code 30338.
 
Nyani Ngabu na Obe Nashukuru sn wakuu!

Turudi kwenye lugha ya taifa kwa maslahi ya Wote wakuu!

Mmenifurahisha sn wakuu!
 
Last edited by a moderator:
bestito naomba nitafsirie hapa maana yake nini?

he chene mamihayo pa neyo ma jashi sagala, gashinaga walile le bhugali lya bademi no kwi bunha komalambo

Nyani Ngabu na Obe Nashukuru sn wakuu!

Turudi kwenye lugha ya taifa kwa maslahi ya Wote wakuu!

Mmenifurahisha sn wakuu!
 
bestito naomba nitafsirie hapa maana yake nini?

he chene mamihayo pa neyo ma jashi sagala, gashinaga walile le bhugali lya bademi no kwi bunha komalambo



Hahhahaaaaa

"Ndio maana maneno mengi hovyo kumbe umekula ugali wa wachungaji Yani wachunga ng'ombe na kuongelea ktk mabwawa huko machungani"

Hiyo Ndio fasiri mamito!
 
yeruuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu !!
yaani uko state ya bongo? heeeeeeeee!

sikuwezi :bump:
Hahahaa ndo kabisaaaaa unazidi kukosea.

Ngoja nikusaidie.

Geti langu ni la rangi ya kijivu na ni automatic. Linajifungua na kujifunga lenyewe.

Kukusaidia zaidi, naishi zip code 30338.
 
hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
babito jamani umenifurahishajeee leo?
heheheheheheeeeeeeee yaani mpaka hapa ofisini wananishangaa ninavyocheka kwikwikwiiiiiiii

na hii hapa ya mwisho bestito: Ng'hana gete nkoi. Nadema no unene e mbuli ja ng'waguku.
Hahhahaaaaa

"Ndio maana maneno mengi hovyo kumbe umekula ugali wa wachungaji Yani wachunga ng'ombe na kuongelea ktk mabwawa huko machungani"

Hiyo Ndio fasiri mamito!
 
hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
babito jamani umenifurahishajeee leo?
heheheheheheeeeeeeee yaani mpaka hapa ofisini wananishangaa ninavyocheka kwikwikwiiiiiiii

na hii hapa ya mwisho bestito: Ng'hana gete nkoi. Nadema no unene e mbuli ja ng'waguku.


"Nikweli ndugu nimechunga sn Mbuzi za babu"

Umeelewa?
 
Mkuu Mentor , utakuwa unashida sana.......kutoka Ashura wa kahama, Aneth wa tanga hadi leo Teddy wa bariadi...........u need help from a shrink..hahahaha!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mentor , utakuwa unashida sana.......kutoka Ashura wa kahama, Aneth wa tanga hadi leo Teddy wa bariadi...........u need help from a shrink..hahahaha!

Mkuu Isumbwile my shrink is Teddy...please I want her back!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom