T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,934
- 30,093
Dah!!pole sana mkuu,,,,,kwani hapa Bariadi ulikiwa na mishe gani??maana kama nakupata vile au siyo wewe???Teddy namjua sababu ni jirani yangu!!!
https://www.youtube.com/watch?v=2kyPAh5gDQE
Kwa hisani ya BAK nauweka na lyrics zake hapa ili mpwa wangu Mentor akumbuke enzi za Teddy
Mentor wimbo huu alinifundisha Mama yangu mzazi miaka mingi iliyopita wakati najifunza kiingereza, alinisaidia sana na sijui kwanini Mama aliupenda sana wimbo huu, sasa Mama yuko 80 plus na huwa namuimbia wimbo huu just the same alivyokuwa ananiimbia.
Bazazi kila siku uwa nakushauri..ukijiunga na uadishi wa vitabu utatajirika sana..Achana na Teddy
ahhaaha tutayaona
Endelea kuomba Mungu
its very possible ilibidi umpige ili upate fundisho la maisha
I pray that she forgives and come back to your arms.....
Unapajua Ntuzu eneo la Nyangokowa?
Hapo ndipo nilipokuwa naishi. Kina Teddy walikuwa Gambosi...daah Teddy wangu!!! #sad
[/B][/COLOR]
Umekua sasa!!!
too bad its a bit late!!!
mwallu kwa niaba yake (na wanaume wengine wote waliowahi kuwapiga wapenzi/wake zao) ...kwako na kwa wanawake wengine waliyopitia uliyopitia naomba MSAMAHA ni ujinga ulitujaa. Hatukujua njia tofauti za kusuluhisha tofauti zetu.ghafla tu nimekumbuka vipigo nilivyowahi pokea kipindi fulani cha maisha yangu
naskia hasira
ila...Thank God yashapita
Harudi ng'oo ndo ujifunze....mxiiiuuu mi mwanaume anayepiga akafie mbele huko
Kwani bado hujampata wa kuchukua nafasi ya teddy? Miaka yote iyo ?
Mimi ni Polisi: Muiseke wangu Nyamughe" Leo ni Tedy...Najaribu kufikiria ni nini tunatafuta kwa viumbe hawa maana hata umpate the said Cleopatra bado ukikutana na Sikitu wa Katavi hutakosa sifa shawishi zaidi,japo ni kwa muda mfupi!
Dah!!pole sana mkuu,,,,,kwani hapa Bariadi ulikiwa na mishe gani??maana kama nakupata vile au siyo wewe???Teddy namjua sababu ni jirani yangu!!!
Ahaahahaaaaaa, nimefurahi sana nkwela Mentor kwani umeitaja vizuri sana mitaa yangu! Umenifanya nipamisi home, dah!
Is it Ennie? None of us is married yet for all I know.
mwallu kwa niaba yake (na wanaume wengine wote waliowahi kuwapiga wapenzi/wake zao) ...kwako na kwa wanawake wengine waliyopitia uliyopitia naomba MSAMAHA ni ujinga ulitujaa. Hatukujua njia tofauti za kusuluhisha tofauti zetu.
Ni ujinga wetu kudhani ukimpiga mwanamke basi ataona unampenda na kumuonea wivu.
Ni ujinga..hatukujua.
Tuwieni radhi...na mtusamehe.
NB: Teddy wewe nisamehe na kunipokea tena, nimejifunza mpenzi.
Kha shem hadi wewe? Ni kosa kama makosa mengine shem. La maana ni kujitambua na kubadilika shem.
Ni kosa kama ubazazi kwa babu Asprin..tusameheane!
Bado mkuu....
Nikipata jibu nitakuambia mkuu Horseshoe Arch. Kwa sasa najua namtaka Teddy tu. Wengine wote kwake hawafui dafu!!!
Everyone has a story to tell. ..am glad it is in the past Elli...maana kwa sasa najiona I was soo dumbAyaaaaa yaani kumbe hata wewe ilipitia ukatili huu? Pole sana Mama. Nilijiapisha kuwa kamwe sitakaaa nimpige mke wangu achilia mbali mpenzi
Once a beater. ......Is it Ennie? None of us is married yet for all I know.
mwallu kwa niaba yake (na wanaume wengine wote waliowahi kuwapiga wapenzi/wake zao) ...kwako na kwa wanawake wengine waliyopitia uliyopitia naomba MSAMAHA ni ujinga ulitujaa. Hatukujua njia tofauti za kusuluhisha tofauti zetu.
Ni ujinga wetu kudhani ukimpiga mwanamke basi ataona unampenda na kumuonea wivu.
Ni ujinga..hatukujua.
Tuwieni radhi...na mtusamehe.
NB: Teddy wewe nisamehe na kunipokea tena, nimejifunza mpenzi.
Kha shem hadi wewe? Ni kosa kama makosa mengine shem. La maana ni kujitambua na kubadilika shem.
Ni kosa kama ubazazi kwa babu Asprin..tusameheane!
Bado mkuu....
Nikipata jibu nitakuambia mkuu Horseshoe Arch. Kwa sasa najua namtaka Teddy tu. Wengine wote kwake hawafui dafu!!!
Ni 'Nyangokolwa' bana. Huwezi ukawa unayaharibu majina ya kwetu ilhali Mnyatunzu Chapa Ya Ng'ombe nipo hapa!
Ni 'Gamboshi' na siyo Gambosi!
Na Bariadi iko mkoa wa Simiyu. Haipo tena Shinyanga.
Ahhhahhha ni sawa nimeng'atwa na nyoka kila nikiskia mtikisiko wa majani nakimbia 🙂🙂
Unampiga mtu hadi unamjeruhi shem...... Kweli??
Kumbe nawe ni nkwela wangu Nyani Ngabu...nadhani utakuwa unamfahamu Teddy basi. Nisaidieni na mimi nilete ng'ombe kwao.
Nakumbuka alikuwa akinitania kuwa kwa weupe wake ni lazima nipeleke ng'ombe 100 kwa baba ake.
We ulikutana na Teddy tu?
Lucy na Mariamu je? Hukukutana nao?
Mkuu naona visanga juu ya visanga, mtoto wa kike hupigwa na upande wa kanga bana...
We ulikutana na Teddy tu?
Lucy na Mariamu je? Hukukutana nao?
Ahaahahaaaaaa, nimefurahi sana nkwela Mentor kwani umeitaja vizuri sana mitaa yangu! Umenifanya nipamisi home, dah!
nataka kusema kitu lakini nabaki nasita sijui niseme au? :A S-eek::A S-eek: