We ulikutana na Teddy tu?
Lucy na Mariamu je? Hukukutana nao?
We sema tu....
nimekuwa nakuogopa siku hizi sijui kwanini?
maana nikitaka kusema nabaki na kigugumizi
maana wewe mkaliiiiiii
Ni 'Nyangokolwa' bana. Huwezi ukawa unayaharibu majina ya kwetu ilhali Mnyatunzu Chapa Ya Ng'ombe nipo hapa!
Ni 'Gamboshi' na siyo Gambosi!
Na Bariadi iko mkoa wa Simiyu. Haipo tena Shinyanga.
L..shindo loko!
Ndo mmeamua kunisema kilugha sio...
Hahahaaaaaa
Wandya obosaji bhoko ! Le wanga lyako!
Hapana shemeji! Hatukusemi!
Ila Huyu Nyani Ngabu atakua alikua mchunga ng'ombe sn! Maana Ana maneno Huyu!
Hebu itoe kwanza hiyo 'Mrs...' halafu rudia kuandika...
Acha hizo wewe, unaniogopa kwani mi simba?
Halafu utaniogopaje wakati tuna interface kupitia mtandao?
hahahahahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
interface???????
mhm!! mbona mm huwaga ukitoka pale home kwako
katika lile geti jeusi nakuonaga jamani?
...oko bhakafumelaga bhalogi, chalo sha gamboshi! Chuu, alo o bhebe