Duuuuuh, hiii hadithi kiboko. Funzo kwa wababa
Sijasoma,
ila title ni nzuri sn
Ni sad story kwa kweli, na usemacho ni kweli kabisa, many women are victims ya hii kitu.
Utashangaa kugundua wanaofanya haya ni vijana tu tena wanaojiita wasomi. Kijana ambaye hata ndugu wa binti hawamjui, anajiita boyfriend! Hao ndo wanaoongoza kwa upuuzi huu. Hao wa kwenye ndoa ni wachache sema tu tafiti hazijawahi kufanywa.
Niliwahi kumuuliza mtu wa ustawi wa jamii akasema hawana takwimu. Ila Katika wadada 10 niliowauliza kama wameshawahi kuwa physically/emotionally abused na mwanaume, 8 walikiri ndiyo. It's sad...
.
Heshima yako mkuuSijasoma,
ila title ni nzuri sn
Hujambo bestito?Nice Ngonyani mbona umeniargued kiasi hicho haya sorry kama nimekuuzi ila ndo wewe
Hujambo bestito?
sijambo bestito na niko fiti sijui wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu
uko pande zipi bestito wa ukweliii nimekumisijeeee
Mja mzito hujambo!???
Mkuu Miaghay wakati naenda kujiandikisha kwa mwenyekiti wa mtaa niliandikiwa hivi (W) Bariadi (Tarafa) Ntuzu (Kata) Nyangokolwa.
Labda wewe mwenyeji waweza kunijuza kama ni mjini au kijijini. Kamwe siwezi kujitia ujuaji kwenye miji ya watu.
Nyangokolwa..?
Nina ndugu zangu wengi sana huko!